MULA OMARY
Member
- May 1, 2015
- 11
- 10
Fanya biashara ya kuuza vipuri vya pikipiki,bajaji,guta e.t.c utakuja kunishukuru
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa. Lakini niliwaza kuweka yote kwa sababu ni mtaji usihitaji kununua kitu zaidi ya kulipa kodi na marekebisho ya ofisi tu.. kwa maana hata kama hakuna mzunguko kwa miezi 6 niliyolipa kodi kama uliweka 9m itabaki vile vile, kama sijakutana na wale matapeliKwanini usianze na millioni tano hiyo tano, nyingine ikae pembeni uone mzunguko upoje.
Biashara hii inahitaji angalau mtaji wa sh ngapi na return yake ikoje kwa mtaji utakaoupendekeza? Ikiwa tayar umeshalipia frem na kuiandaaFanya biashara ya kuuza vipuri vya pikipiki,bajaji,guta e.t.c utakuja kunishukuru
Milioni 10 mtaji, utavuna 1M to 1.5M kwa mwezi kama utakaa golini mwenyewe. Kama utaweka mfanyakazi toa gharama zakeBiashara hii inahitaji angalau mtaji wa sh ngapi na return yake ikoje kwa mtaji utakaoupendekeza? Ikiwa tayar umeshalipia frem na kuiandaa
Sawa shukran kwa mawazoMilioni 10 mtaji, utavuna 1M to 1.5M kwa mwezi kama utakaa golini mwenyewe. Kama utaweka mfanyakazi toa gharama zake