Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?


asante sana bk@ ntakutafuta
 
Fanya biashara ya mazao masasi mtwara unanunua kwa tsh 500 unauza kwa tsh 770 unatoa gharama za yshuru chama cha msingi 50/kg halnashauri 25/kg usafiri 40/kg onayobaki zidisha kwa mzigo utakaonunua ndio faida yako unaweza kukusanya tani 20 kwa wiki kama mzunguko umesimama vixuri je haujatoka hapo.
 
 
Safi, ng'ombe ni uzalishaji mzuri sana!

Fuga usiache kwa kuwa hata samadi inauzwa au kama una shamba sehemu hii itaongeza mavuno ambayo yatasaidia kutunza familia yako na chakula cha mifugo yenyewe.
 
oh yes ....hapo ni mazao gani yanapatikana masasi mtwara?
 
 

inategemea na sehem vipande vingi vya dsm vina maji yw chumvi
 
Nunua Bajaji 3 uzisimamie na upasuke kichw kidogo zitakulipa soon baada ya mwaka unaweza ukawa nazo 7...ila kama unapenda hayo mambo ya biashara za usafiri

hahaha this is something impossible kaka bei ya bajaj moja kwa sasa ni tsh 6.5m mpaka 7m na hioo 10m kivip umiliki bajaj 3 ahah na hata ivyoo bajaj per week inapeleka hesabu kwa bosi ya 105,000/= kwa mwaka piga 54 weeks x 105,000= 5,670,000/=
hapo mwaka umeisha hata pesa uloinunulia bajaj moja haijarud kivip sasa baada ya mwaka uwe na bajaj 7???????????
na bajaj maintenance costs pia unatakiwa uzipigie hapo sioo kumpa mtu ushauriii ambao utamcost baaadae.
 



Ooooh kumbe bajaji kwa wiki ni 15,000/=
 
Habari za asubuhi,

Mimi ni kijana wa miaka 24,ni mwenyeji wa Dar es salaam. Katika kuhangaika nimejitahidi nimekusanya fedha kidogo kiasi cha milion 7,Naombeni ushauri ni biashara gani ya kufanya katika sekta yoyote.

Naombeni michango yenu ya kimawazo
.
 
Watu wengine ni wavivu wa kujisomea. Kuna miradi kibao hapo juu. Ingia kwenye thread ya million 10 utapata idea kibao.
 
Kuwa speculator nunua dollar au paundi au pesa yeyote unayoona inalipa after sime days ikipanda utauza na faida utapata
 
Kijana kuna uzi nimeuweka unahusu biashara ya viatu vya mtumba vya kike na kiume kutoka jamhuri ya korea

viatu tunauza kwa bero na vinakuwa mchangayiko kama vile open shoes simple viatu vya mpira boot vya ofisi raba n.k

bei zetu ni kama ifuatavyo.

vya wanaume sh. 220000 kwa bero moja na inapungua kutegemeana na idadi ya bero za mteja

vya kike 130,000 na inapungua kulingana na idadi ya bero anazochukua mteja


NB. bero moja la viatu vya kiume lina wastani wa viatu pair 55 hadi 60 Kwa kawaida 60
vya kike pair 80 hadi 90

PIGA SIMU NAMBA 0758176058 kwa maelezo zaidi na jinsi ya kuweka oda ya mzigo. Pia inapatikana kwa watsap

Viatu ni vya ubora wa hali ya juu na vinaenda na wakati na vingi vinakuja vikiwa kama vipya kwa maana havijatumika sana

TUNAPATIKANA CHANG'OMBE DAR.


KARIBU SANA NA HUWEZI JUTA......
 

Malila plz nitafute pm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…