LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Ni uchawi huo mkuu. " deja vuu"Mkuu tumeandika karibu sawa kwa pamoja bila kuwasiliana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni uchawi huo mkuu. " deja vuu"Mkuu tumeandika karibu sawa kwa pamoja bila kuwasiliana.
Uchawi ni jibu la kwanza la watu wanaopenda kujibu bila uchunguzi.Ni uchawi huo mkuu. " deja vuu"
Inaitwa Synchronicity . It is something spiritualUchawi ni jibu la kwanza la watu wanaopenda kujibu bila uchunguzi.
All that is needed here is knowledge of the story and ability to make connections to the present.
Uchawi hauhitajiki hapo.
ExactlyWape chakula na michezo mingi sana watasahau mapinduzi. Huu ni usemi maarufu wa mwana falsafa na mshairi wa kiroma karne ya kwanza aitwaye Juvenal. Binadamu wa zama hizi hawana akili na wapo bize na michezo, miziki na habari za kuvuma.
Hii ni mbinu maarufu ya serikali kutawala watu wajinga. Kila siku kuna mechi kila siku redioni ni matangazo ya michezo. Kumbuka ya kwamba kwa mara ya kwanza.
Anguko la kizazi hiki ni michezo na starehe.
SIUUUUUUUUUUUUnakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.
Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.
Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.
Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Hata Johnnie Walker nayo ni something spiritual.Inaitwa Synchronicity . It is something spiritual
KUWAZA kuhusu mpira ni hesabu ambazo uki zi aply kwenye maisha haufeli!!Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.
Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.
Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.
Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Akili huna kubeti sio faida Mimi naingiza pesa nyingi sana Kwa mwezi kupitia betting unasema sio faida wakupime akili Mimi kazi yangu ni kubet tu na ndio inaniingizia pesa nyingi sanaShida si kushabikia mpira shida ni hakuna balance.
Siku nzima mwanaume yupo kijiweni anaongelea mpira, hakipo cha ziada anachowaza maishani mwake.
Hawa na bodaboda hawana tofauti, kutwa kushinda kwenye vivuli vya miti ambayo hawakupanda na kuharass wanawake wanaopita.
Hata hivyo ni vizuri michezo kuendelea kukua, ili kusaidia kudiversify economy ya nchi, lakini inabidi uwaze, je mimi nitafaidika vipi na hizi fursa? (kupiga domo na kubeti sio faida).
Mhmmm... ila bora Watz wanashabikia mpira wa nchi yao kuliko hizo nchi nyingine za Africa wanaofuatilia ligi za Ulaya kama vile walikuwa kitaa kimoja na Haaland.
Hivi huu utaratibu wa kupangiana maisha umeanza lini? Chukua time yako bro usipende kuingilia mambo yasiyokuhusu, unajikosesha amani bure!!Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.
Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.
Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.
Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Hao ndio hua wanapasuliwa mtaani Kwa kufuatilia mambo ya watuHivi huu utaratibu wa kupangiana maisha umeanza lini? Chukua time yako bro usipende kuingilia mambo yasiyokuhusu, unajikosesha amani bure!!
Hawa wazee wa miaka hiyo wana makasiriko sana wanaona kama kuna namna kizazi chao kilipunjika na kizazi cha sasa kinafaidika sana wanashindwa kuelewa ya kwamba kila zama na kitabu chakeSasa mkuu mtu kuna mtu kaja kukuomba pesa kisa anashabikia mpira ? Au kipindi hamshabikii mpira kama taifa mlifanya kitu gani cha muhimu 🤔😂😂
Huu ni ushauri wa bure tena wa siri.Sio kupangiana maisha.Ingekuwa mnaoshabikia mpira muko sayari nyengine wala isingekuwa tabu.Lakini kumbe mnatupigia makele chini ya penu za nyumba zetu wakati mkifungwa na barabara mnazotumia mkaleta msongamano ni hizi hizi tunazotumia sote. Na pesa mnazopeleka kubeti ndio hizi hizi mngetumia kutafuta wake mkaowa.Na muda ambao mnatumia kupanga na kupangua majina ya wachezaji ndio huo huo mngetumia kulima mpunga na muhogo au kufanya shughuli nyengine za kiuchumi.Hivi huu utaratibu wa kupangiana maisha umeanza lini? Chukua time yako bro usipende kuingilia mambo yasiyokuhusu, unajikosesha amani bure!!
Sasa unashaurije mtu ambae anatumia pesa zake kuangalia mpira hujioni kama chizi sababu hajawai kukuomba hata mia ya kulaHuu ni ushauri wa bure tena wa siri.Sio kupangiana maisha.Ingekuwa mnaoshabikia mpira muko sayari nyengine wala isingekuwa tabu.Lakini kumbe mnatupigia makele chini ya penu za nyumba zetu wakati mkifungwa na barabara mnazotumia mkaleta msongamano ni hizi hizi tunazotumia sote. Na pesa mnazopeleka kubeti ndio hizi hizi mngetumia kutafuta wake mkaowa.Na muda ambao mnatumia kupanga na kupangua majina ya wachezaji ndio huo huo mngetumia kulima mpunga na muhogo au kufanya shughuli nyengine za kiuchumi.