Mtakufa malofa na moto mtauingia kwa kuendekeza mpira

Mtakufa malofa na moto mtauingia kwa kuendekeza mpira

Mchambuzi mmoja ana maneno kama cherehani.Akimaliza timu hii anaunganisha na ile ya ulaya.Majina ya wachezaji wa ulimwengu mzima na magoli wanayofunga na pahala walipofunga vinatiririka kama maji.Nakumbuka kama alipata kifo cha ghafla na mashabiki sijui hata kama walikumbuka kwenda kumzika.Akaisihia hapo hapo.
Kashasha Mwl.
 
Wakati wanafanya hayo mapinduzi hakukuwa na ujinga huu wa akina premier league, la liga na maujinga mengine. Kwa sasa wanakula matunda ya wazee wao na ndiyo sababu wanapata muda wa starehe kama za mipira.

Wazungu wamepitia vurugu nyingi sana mpaka kupata maendeleo. Unfortunately kwa Africa tunafanya kinyume, starehe kabla ya maendeleo!

Mfano hoja ya uzalendo, huwa najiuliza, mwafrika yupo Karatu anapenda Man U au Arsenal kuliko timu yake ya kijijini anawezaje kuwa na uzalendo kwa nchi? Timu zipo thousands of kilometres away ambazo probably utaishi maisha yako yote bila kuziona inakuwaje zinakukosesha usingizi?

Sometimes we hear people talking about the new world order, that to me is part of the new world order...kuna fala alijiua Kenya kwa arsenal kufungwa na man u...new world order inafanya kazi, tumetengezewa agenda na zikatuingia mpaka tumekuwa mazuzu!
Unamshangaa mtu anayependa arsenal na kuhoji uzalendo wake,wakati umechapa hii post ukiwa umevaa nguo za china pengine na mtumba wa wazungu,huzitaki za KTM mbagala,jifunze michezo ikianza lini ulaya na mapinduzi ya viwanda yalitokea lini,hutaki tumshangilie Usain bolt Bali tuwashangilie wanariadha wetu konokono!!..michezo Haina nchi
 
Unamshangaa mtu anayependa arsenal na kuhoji uzalendo wake,wakati umechapa hii post ukiwa umevaa nguo za china pengine na mtumba wa wazungu,huzitaki za KTM mbagala,jifunze michezo ikianza lini ulaya na mapinduzi ya viwanda yalitokea lini,hutaki tumshangilie Usain bolt Bali tuwashangilie wanariadha wetu konokono!!..michezo Haina nchi
Umeongea ujinga sana na upuuzi

I am sorry

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.

Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.

Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.

Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Kwa hiyo hutaki watu waingize pesa
 
Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.

Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.

Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.

Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Wewe Ni mjinga ulie advance ukawa mpumbavu.

Ni Nini unafanya humu jukwaani.
 
Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.

Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.

Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.

Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Ulevi HIZI dini za mzungu na mwarabu sometime zinawafanya Watu wanakua mazwazwa.

Wanapoteza Ile sense ya ufahamu.
 
Kwa hiyo hutaki watu waingize pesa
Ingiza pesa halali kwa kufanya kazi za kujenga taifa sio kubeti.Unachukua pesa za bure na wenzako wanalia na hakuna kilichozalishwa. Kwa namna hiyo nchi inaporomoka chini.
 
Wewe usiyeshabikia unamiliki nini?
Japo sijafikia kumiliki kama wanaomiliki wengine walio juu yangu.Nikijilinganisha na mashabiki wa mpira najiona na furaha sana.Kwanza sina ugonjwa wa presha.
Mashabiki wa mpira wanasikitisha sana.Mtu anapiga makelele uwanjani,halafu anarudi vijiweni na hata barabarani akikutana na wenzake.Vipi huko?.Jana vipi?.Si uwendawazimu huo..Kwenye daladala na mwendo kasi nako pia hawezi kukaa kimya.
 
Japo sijafikia kumiliki kama wanaomiliki wengine walio juu yangu.Nikijilinganisha na mashabiki wa mpira najiona na furaha sana.Kwanza sina ugonjwa wa presha.
Mashabiki wa mpira wanasikitisha sana.Mtu anapiga makelele uwanjani,halafu anarudi vijiweni na hata barabarani akikutana na wenzake.Vipi huko?.Jana vipi?.Si uwendawazimu huo..Kwenye daladala na mwendo kasi nako pia hawezi kukaa kimya.
Una uhakika unavyomiliki ni zaidi ya walivyonavyo mashabiki wote? Kwa mfano unamzidi hela sandaland shabiki wa simba? Na je una uhakika hamna wasio mashabiki wa mpira ambao ni maskini wa kutupwa? Una uhakika pressure inawapata mashabiki tu? Mapenzi je?
 
Una uhakika unavyomiliki ni zaidi ya walivyonavyo mashabiki wote? Kwa mfano unamzidi hela sandaland shabiki wa simba? Na je una uhakika hamna wasio mashabiki wa mpira ambao ni maskini wa kutupwa? Una uhakika pressure inawapata mashabiki tu? Mapenzi je?
Kumiliki pesa chafu ni bora kuwa maskini. Sandaland yawezekana hana furaha kuliko wale wanaomiliki baskeli na wanaolala kwenye nyumba za nyasi.
 
Muandishi na mshairi maarufu wa zama za Warumi, Juvenal, katika kitabu chake Satire. (Kejeli), aliandika kwamba, mtawala ukitaka kuwatawala watu wengi wa kawaida, wape vitu viwili, mkate (chakula cha chini kabisa cha Warumi) na michezo.

Bread and circuses.

Ndicho kinachotokea.

Ila msiwanyanyapae watu kwa kupenda wanachopenda.

Ni haki yao ya kikatiba.

Si lazima kila mtu awe tajiri na msomi.

Tumia fursa hiyo kujiongeza wewe binafsi.

Wewe hapo ulipo huamini uwepo wa Mungu. So, Mleta mada ni Muislam, hivyo ni wajibu wake kutoa nasaha, na huenda ikawa ni sababu ya waliomo humu na walipo nje kuacha ushabiki wa mpira na kumrudia Mwenyezi Mungu. Usome Uislamu upate kujua!
 
Kumiliki pesa chafu ni bora kuwa maskini. Sandaland yawezekana hana furaha kuliko wale wanaomiliki baskeli na wanaolala kwenye nyumba za nyasi.

Uliona juzi ajali yauwa mashabiki watano wa namungo! Yani mtu anatoka anaenda dar kuangalia mpira, binaadam tumekua na kibri sana. Tunaendekeza mambo ya kijinga tunaacha ya maana, tunamkimbilia SHEITWAN.
Chochote alichokiharamisha Mwenyezi Mungu kina madhara, lakini mtu ukimpa nasaha anakuona mpumbavu mara oh una mambo ya kizee. Aise, Jahannam itasomba wengi sana
 
Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.

Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.

Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.

Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.


Jana saa 1 mpaka 3 nilikuwa naangalia mpira, na sasa nipo kwenye shughuli za Maokoto, swali: jana saa 1 mpaka 3 usiku umeingiza kiasi gani wewe kenge?
 
Jana saa 1 mpaka 3 nilikuwa naangalia mpira, na sasa nipo kwenye shughuli za Maokoto, swali: jana saa 1 mpaka 3 usiku umeingiza kiasi gani wewe kenge?
Huo muda uliokuwa unaangalia mpira mimi nilikuwa na shughuli zangu nyengine na baadae nikaenda kupumzika.Wewe ulipotoka hapo naamini ulikuwa unatafuta mashabiki wenzako mjadili kile kile ulichokiona mwenyewe. Na ukienda kupumzika usingizi hauji vizuri unaota watu wanarusha na kukimbizana na mpira.
1695274535136.png
 
Uliona juzi ajali yauwa mashabiki watano wa namungo! Yani mtu anatoka anaenda dar kuangalia mpira, binaadam tumekua na kibri sana. Tunaendekeza mambo ya kijinga tunaacha ya maana, tunamkimbilia SHEITWAN.
Chochote alichokiharamisha Mwenyezi Mungu kina madhara, lakini mtu ukimpa nasaha anakuona mpumbavu mara oh una mambo ya kizee. Aise, Jahannam itasomba wengi sana

Kwahiyo mpira umeharamishwa? Ni burudani zipi na michezo ipi iliyo hararishwa na Mungu?
 
Bhana, hii shida iko nchini hapa kiasi hua sielewi, hapa sasa hv nimechomoka kanisani, nimekaa kwenye kijiwe cha kahawa lakini story zote ni mpira tu, kila kona ya nchi ni mpira tu, na hawana wanancho ingiza kwa kuongelea mpira

Watu wanawaza mademu, watu wanawaza wanaume wa kuwachuna, wanawaza kwenda club, maongezi ya kawaida mitaani ni ya kipuuzi puuzi tu yasiyo na tija, yaani taifa linaanguka hivi hivi na wale wanaosema wanashughulika na jamii wanakula tu bata.

Wadada muda wote wako TikTok, Instagram, Facebook na wanajaribu ku-copy maisha ya huko ili yawe halisi

Kuna hatari baadae ktk kizazi
Wewe unayewaza na kuzungumza mambo yenye tija uko wapi!? Kwa taarifa yako hata kushinda JF kama wewe ni yaleyale tu.
 
Wewe hapo ulipo huamini uwepo wa Mungu. So, Mleta mada ni Muislam, hivyo ni wajibu wake kutoa nasaha, na huenda ikawa ni sababu ya waliomo humu na walipo nje kuacha ushabiki wa mpira na kumrudia Mwenyezi Mungu. Usome Uislamu upate kujua!
Umejuaje sijasoma Uislamu?

Unaweka vipi hoja ya kuungaunga na kukisiakisia kwa "huenda" katika kujibizana nami?
 
Back
Top Bottom