Mtakufa malofa na moto mtauingia kwa kuendekeza mpira

Mtakufa malofa na moto mtauingia kwa kuendekeza mpira

Usinifokee, mtu Kama hakuombi msaada wako ya Nini kujisumbua na maisha Yake.Acha kila mtu aishi maisha Yake
Hii kitu hakiwaathiri mashabiki peke yao.Kina maambukizi mengi katika jamii.Majirani hawalali kwa raha.Zinakuja sauti za kushtukizia watu wanashangilia goli.Kibaya zaidi wakati mwengine tuko katikati ya swala watu nyumba ya jirani wanachanganya sauti zao na za kisomo cha Imamu.Kipi kitaondosha ghadhabu za Mwenyezi Mungu hapo.
 
Hii kitu hakiwaathiri mashabiki peke yao.Kina maambukizi mengi katika jamii.Majirani hawalali kwa raha.Zinakuja sauti za kushtukizia watu wanashangilia goli.Kibaya zaidi wakati mwengine tuko katikati ya swala watu nyumba ya jirani wanachanganya sauti zao na za kisomo cha Imamu.Kipi kitaondosha ghadhabu za Mwenyezi Mungu hapo.
Acha ulofa wewe wengine sisi mpira umebadilisha maisha yetu na tunapesa sababu ya betting Sasa wewe umekaa hapa kiboya unaongelea mchezo unaotuingizia pesa duniani acha ujinga fata mambo Yako mpira ni Kwa sisi wanaume ukiona mtu anapinga mpira ujue shoga au demu
 
Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.

Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.

Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.

Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Tofauti ni ndogo kubeti Uingereza itamfunga Ukrain na tapeli ataingia motoni akiondoka Duniani.....
mwisho wa siku Odds za ile ya Kwanza ni 1.17 hii ya pili ni zaidi ya milioni....
 
Acha ulofa wewe wengine sisi mpira umebadilisha maisha yetu na tunapesa sababu ya betting Sasa wewe umekaa hapa kiboya unaongelea mchezo unaotuingizia pesa duniani acha ujinga fata mambo Yako mpira ni Kwa sisi wanaume ukiona mtu anapinga mpira ujue shoga au demu
Wanaume wanaoshangilia wanaume wenzao ni rahisi sana kuwa mashoga.Siku akipapaswa na yule anayemshangilia basi atacheka cheka na akisogelewa zaidi anajilegeza.Mwanamme umevaa vizuri huwezi kushangilia wachezaji wanaume wenzako na ukasalimika.
Angalia sana huyu rafiki yako
1694278717210.png
 
Wanaume wanaoshangilia wanaume wenzao ni rahisi sana kuwa mashoga.Siku akipapaswa na yule anayemshangilia basi atacheka cheka na akisogelewa zaidi anajilegeza.Mwanamme umevaa vizuri huwezi kushangilia wachezaji wanaume wenzako na ukasalimika.
Angalia sana huyu rafiki yako
View attachment 2744205mashoga ni kawaida yenu mkikosa soko mnashibokea wanaume Sasa wewe mpira hushabikii unawashwa nini bwege wewe fata maisha Yako choko wewe Kila mtu ataondoka kivyake duniani boya wewe
 
Wape chakula na michezo mingi sana watasahau mapinduzi. Huu ni usemi maarufu wa mwana falsafa na mshairi wa kiroma karne ya kwanza aitwaye Juvenal. Binadamu wa zama hizi hawana akili na wapo bize na michezo, miziki na habari za kuvuma.

Hii ni mbinu maarufu ya serikali kutawala watu wajinga. Kila siku kuna mechi kila siku redioni ni matangazo ya michezo. Kumbuka ya kwamba kwa mara ya kwanza.

Anguko la kizazi hiki ni michezo na starehe.
Fuatilia redio na televisheni nyingi.
Kwenye vipindi vya michezo na hasa mpira wa miguu ambapo wanatumia muda mwingi kwenye uchambuzi.
Fuatilia muda unaotumika kwenye kilimo, biashara na ujasiriamali.
 
Muandishi na mshairi maarufu wa zama za Warumi, Juvenal, katika kitabu chake Satire. (Kejeli), aliandika kwamba, mtawala ukitaka kuwatawala watu wengi wa kawaida, wape vitu viwili, mkate (chakula cha chini kabisa cha Warumi) na michezo.

Bread and circuses.

Ndicho kinachotokea.

Ila msiwanyanyapae watu kwa kupenda wanachopenda.

Ni haki yao ya kikatiba.

Si lazima kila mtu awe tajiri na msomi.

Tumia fursa hiyo kujiongeza wewe binafsi.

Na bia ni 1500/-..

Watu wanaingia bar wanatazama mpira na kunywa bia comfortably....
 
Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.

Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.

Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.

Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
....Ndio maana Bandari inaondoka hawana habari !
.... Ndio maana Nchi inauzwa hawana habari !
....Ndio maana Wamasai wanasumbuliwa kama Sio Nchi Yao, wanajitia haliwahusu !!

....Waambie kuhusu Yanga au Simba Uone wanavyoishupaza Mishipa ya Shingo !!! [emoji35][emoji35]
 
Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.

Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.

Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.

Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Mimi huwanafuatilia kombe la Dunia tu.
 
Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.

Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.

Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.

Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Maskini wewe,unafikiri Kila mtu kapuku kama wewe,
 
Fuatilia redio na televisheni nyingi.
Kwenye vipindi vya michezo na hasa mpira wa miguu ambapo wanatumia muda mwingi kwenye uchambuzi.
Fuatilia muda unaotumika kwenye kilimo, biashara na ujasiriamali.
Mechi inachezwa dakika 95 tu ila uchambuzi wake ni wiki nzima, sijui hata huwa wanachambua nini.
 
Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.

Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.

Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.

Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Niliwahi kukosa huduma dukani sababu muuzaji anaangalia Mpira na hataki kunyanyuka kwenye kiti
 
Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.

Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.

Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.

Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Bhana, hii shida iko nchini hapa kiasi hua sielewi, hapa sasa hv nimechomoka kanisani, nimekaa kwenye kijiwe cha kahawa lakini story zote ni mpira tu, kila kona ya nchi ni mpira tu, na hawana wanancho ingiza kwa kuongelea mpira

Watu wanawaza mademu, watu wanawaza wanaume wa kuwachuna, wanawaza kwenda club, maongezi ya kawaida mitaani ni ya kipuuzi puuzi tu yasiyo na tija, yaani taifa linaanguka hivi hivi na wale wanaosema wanashughulika na jamii wanakula tu bata.

Wadada muda wote wako TikTok, Instagram, Facebook na wanajaribu ku-copy maisha ya huko ili yawe halisi

Kuna hatari baadae ktk kizazi
 
Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu
Hapo kwenye ving'amuzi sasa, kuna mmoja katuona mapoyoyo kabisa kutwa kupandisha bei ya hayo makitu yake et tu kwa sababu anaonyesha ligi ya wale mahasimu wachawi wawili wanaopokezana kikombe
 
Karibu Yanga
Karibu Arsenal
Daah Mad max tupo pamoja na Brazil upo huyo tura anaamini muda wote ni kujenga na kulima tuu hajui kuwa pana muda unaitafuta Spaniola kuangalia Derby ya Barcelona vs Madrid maisha yanaenda tuu...
 
Back
Top Bottom