Mtakufa malofa na moto mtauingia kwa kuendekeza mpira

Mtakufa malofa na moto mtauingia kwa kuendekeza mpira

Mechi inachezwa dakika 95 tu ila uchambuzi wake ni wiki nzima, sijui hata huwa wanachambua nini.
Mchambuzi mmoja ana maneno kama cherehani.Akimaliza timu hii anaunganisha na ile ya ulaya.Majina ya wachezaji wa ulimwengu mzima na magoli wanayofunga na pahala walipofunga vinatiririka kama maji.Nakumbuka kama alipata kifo cha ghafla na mashabiki sijui hata kama walikumbuka kwenda kumzika.Akaisihia hapo hapo.
 
Hiyo ndio frusa ya kupigia fedha kwa wenye akili but ,by the way bora hivyo sababu inaleta umoja wa kitaifa,regardless our social,political and religion affiliation watanzania kuna kitu kina waunganisha ,kuliko baadhi ya nchi watu hawali chungu kimoja sababu ya ukabila,udini ,rangi
 
Hiyo ndio frusa ya kupigia fedha kwa wenye akili but ,by the way bora hivyo sababu inaleta umoja wa kitaifa,regardless our social,political and religion affiliation watanzania kuna kitu kina waunganisha ,kuliko baadhi ya nchi watu hawali chungu kimoja sababu ya ukabila,udini ,rangi
Wanasiasa hasa CCM nao hupita humohumo kutupumbaza huku wakiuza bandari na wanataka wetu
 
Me sio mpenzi wa mpira ila nakumbuka kipindi Cha nyuma mpira ulikuwa Mara Moja Moja siku hizi mpira naona Ni mar kwa Mara mfano juzi kumbe kulikuwa na mpira Jana nafika job ndo nasikia watu wanazungumzia sijui tumepita hatua flani kumbe timu ya taifa imefuzu hatua flani

Na hii mipira naona imewekwa kutusahaulisha mambo ya Ovyo yanayofanywa na CCM


Haiwezekani Kuna shule wanakaa chini madaraja hakuna hospital madawa hakuna afu watu wanacheza mpira unawapa 10milion per goal kwani hawana mishahara?
Tawilee, wachezaji wenyewe wanavuta pesa mingi hawarudishi kwa jamii wanatajirika makwao tu, wabinasfi Sana.
 
Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.

Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.

Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.

Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.


Kama unavyopenda Ngono na kuhonga wanawake na kupoteza fedha na mda, na na sisi tunapenda mpira.
 
Mwanafalsafa mzuri. Vyote ulivyovitaja kama mfanano na mpira bado havilanganiki na mpira.Ukifanya ngono kwa mke wako ni halali na huenda mkapata mtoto.Ukienda kuangalia wanyama unaburudika na kupata mazingatio na kunoa akili yako.Pesa uliyotoa huko inalipa kabisa
Sasa niambie unapoingia uwanjani kuangalia vijana waliochonga viduku na kusuka nywele unapata nini ?
Kwaiyo kuangalia wanyama na binadam wenzako wewe unaona Bora ukaangalie wanyama kwa akili hizo uweza kuwa na ubongo wa wanyama
 
Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.

Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.

Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.

Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Duniani kuna starehe mbalimbali, ipo ya wewe kuponda wenzako kisa waona hawashabikii, hawaamini, hawapendi ukitakacho wewe!
Zipo za kuvuta tumbaku, bangi, pombe, mirungi, wanawake, unazi wa kidini kupita kiasi, siasa, michezo mbalimbali nk nk.
Wengine tunadhani penda, amini, fanya na furahia chochote utakacho Duniani bila kuvunja taratibu, sheria na amani za NCHI.
Sasa mwenzetu wataka tupende ukipendacho wewe umekuwa TALIBAN, KIM WA KOREA KASKAZINI, IRAN NK NK ?!
 
Kwaiyo kuangalia wanyama na binadam wenzako wewe unaona Bora ukaangalie wanyama kwa akili hizo uweza kuwa na ubongo wa wanyama
Binadamau wenzako unaoangalia tena wanaume wenzako. ni dalili za ushoga
 
Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.

Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.

Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.

Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Bado natafuta mwalimu wa kufundisha courses za computer kama vile word excel PowerPoint publisher adobe acrobat chatgpt windows operating system etc.kama una hiyo skillset usisite kunicheki
 
Binadamau wenzako unaoangalia tena wanaume wenzako. ni dalili za ushoga
Alikili yako imetawaliwa na ushoga inaonekana ushafanyiwa ukatili unaohisiana na ushoga omba mungu Hilo pepo likutoke
 
Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.

Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.

Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.

Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Nipe mifano ya watu 10 unaowafahamu ambao walifilisika kwa kulipia visimbuzi, na 20 waliofilisika kwasababu ya kushabikia mpira.
 
Aisee inafikirisha Sana
Another interesting observation: Azam wamefanikiwa kudhoofisha kama si kuua influence ya premier league bongo kupitia udhamini na matangazo ya live Tv.

Kama huyo bwana alivyoandika, mpaka mechi za vichochoroni za akina IHEFU zinawashaghulisha watu wazima na vijana!

Maongezi na mazungumzo ya mpira yametawala maisha ya vijana 24/7. Ukichanganya na betting ni hatari sana!
 
Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.

Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.

Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.

Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Ni jana tu nlikuwa namwambia mtu...wakati sisi tumeshughulishwa na mipira, wenye mipira yao wanatengeneza hela tu!
 
Huko kwenye mapinduzi ya kiuchumi,sayansi na vingine ndiko kuliko na michezo mingi
Wakati wanafanya hayo mapinduzi hakukuwa na ujinga huu wa akina premier league, la liga na maujinga mengine. Kwa sasa wanakula matunda ya wazee wao na ndiyo sababu wanapata muda wa starehe kama za mipira.

Wazungu wamepitia vurugu nyingi sana mpaka kupata maendeleo. Unfortunately kwa Africa tunafanya kinyume, starehe kabla ya maendeleo!

Mfano hoja ya uzalendo, huwa najiuliza, mwafrika yupo Karatu anapenda Man U au Arsenal kuliko timu yake ya kijijini anawezaje kuwa na uzalendo kwa nchi? Timu zipo thousands of kilometres away ambazo probably utaishi maisha yako yote bila kuziona inakuwaje zinakukosesha usingizi?

Sometimes we hear people talking about the new world order, that to me is part of the new world order...kuna fala alijiua Kenya kwa arsenal kufungwa na man u...new world order inafanya kazi, tumetengezewa agenda na zikatuingia mpaka tumekuwa mazuzu!
 
Back
Top Bottom