Mtakufa malofa na moto mtauingia kwa kuendekeza mpira

Unazungumzia Zamani ipi mkuu? Zamani watu walikuwa wanabishana hadi mechi ya kwenye makaratasi ya kwenye gazeti la Sani, Bush Stars vs Born Town.
 
Ni uchawi huo mkuu. " deja vuu"
Uchawi ni jibu la kwanza la watu wanaopenda kujibu bila uchunguzi.

All that is needed here is knowledge of the story and ability to make connections to the present.

Uchawi hauhitajiki hapo.
 
Uchawi ni jibu la kwanza la watu wanaopenda kujibu bila uchunguzi.

All that is needed here is knowledge of the story and ability to make connections to the present.

Uchawi hauhitajiki hapo.
Inaitwa Synchronicity . It is something spiritual
 
Exactly
 
SIUUUUUUUUUUU
 
Na wewe utakufa ukiwa lofa kwa kuendekeza Siasa..cha muhimu tusipangiane..pita huku napita kule
 
Umefanana na kak angu ananishanga sna ninavyo kuwa mnazi wa mpira Tena huu wa Tanzania nadata saa yanga anacheza nafunga Hadi ofc niende bar kutazama
 
Shida si kushabikia mpira shida ni hakuna balance.
Siku nzima mwanaume yupo kijiweni anaongelea mpira, hakipo cha ziada anachowaza maishani mwake.
Hawa na bodaboda hawana tofauti, kutwa kushinda kwenye vivuli vya miti ambayo hawakupanda na kuharass wanawake wanaopita.
Hata hivyo ni vizuri michezo kuendelea kukua, ili kusaidia kudiversify economy ya nchi, lakini inabidi uwaze, je mimi nitafaidika vipi na hizi fursa? (kupiga domo na kubeti sio faida).
Sema bora Watz wanaoshabikia mpira wa nchi yao kuliko hizo nchi nyingine za Africa wanaofuatilia ligi za Ulaya utafkiri walikuwa kitaa na Haaland.
 
Sio lazma wote tufanane ww ukipiga pesa inatosha na sio lazma wote tufanikiwe
Sku zote wachache ndo uongoza weng so acha mbambamba pambana na maisha yako
 
KUWAZA kuhusu mpira ni hesabu ambazo uki zi aply kwenye maisha haufeli!!

Nilianza uraibu huu advanced level hadi leo sijutii KABISA!!
 
Akili huna kubeti sio faida Mimi naingiza pesa nyingi sana Kwa mwezi kupitia betting unasema sio faida wakupime akili Mimi kazi yangu ni kubet tu na ndio inaniingizia pesa nyingi sana
 
Hivi huu utaratibu wa kupangiana maisha umeanza lini? Chukua time yako bro usipende kuingilia mambo yasiyokuhusu, unajikosesha amani bure!!
 
Hivi huu utaratibu wa kupangiana maisha umeanza lini? Chukua time yako bro usipende kuingilia mambo yasiyokuhusu, unajikosesha amani bure!!
Hao ndio hua wanapasuliwa mtaani Kwa kufuatilia mambo ya watu
 
Sasa mkuu mtu kuna mtu kaja kukuomba pesa kisa anashabikia mpira ? Au kipindi hamshabikii mpira kama taifa mlifanya kitu gani cha muhimu πŸ€”πŸ˜‚πŸ˜‚
Hawa wazee wa miaka hiyo wana makasiriko sana wanaona kama kuna namna kizazi chao kilipunjika na kizazi cha sasa kinafaidika sana wanashindwa kuelewa ya kwamba kila zama na kitabu chake
 
Hivi huu utaratibu wa kupangiana maisha umeanza lini? Chukua time yako bro usipende kuingilia mambo yasiyokuhusu, unajikosesha amani bure!!
Huu ni ushauri wa bure tena wa siri.Sio kupangiana maisha.Ingekuwa mnaoshabikia mpira muko sayari nyengine wala isingekuwa tabu.Lakini kumbe mnatupigia makele chini ya penu za nyumba zetu wakati mkifungwa na barabara mnazotumia mkaleta msongamano ni hizi hizi tunazotumia sote. Na pesa mnazopeleka kubeti ndio hizi hizi mngetumia kutafuta wake mkaowa.Na muda ambao mnatumia kupanga na kupangua majina ya wachezaji ndio huo huo mngetumia kulima mpunga na muhogo au kufanya shughuli nyengine za kiuchumi.
 
Sasa unashaurije mtu ambae anatumia pesa zake kuangalia mpira hujioni kama chizi sababu hajawai kukuomba hata mia ya kula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…