Mtalii kutoka Marekani aichana makavu Tanzania kwenye Luninga

Mtalii kutoka Marekani aichana makavu Tanzania kwenye Luninga

Geographical area ya Tanzania ni sawa na eneo la Kenya, Uganda. Rwanda and Burundi combined. Lichabya idadi ya watu kati ya Kenya na Tanzania kulingana.

Road network ya tanzania ukiiweka Kenya au Uganda utakuta ni lami mpaka vijijini. Au kama ni internet means ingekuwa 5g mpaka kijijini.

Issue ya lugha ni non sense. Wasilaziishe kuimpose their culture on us. Kwanini tujue lugha yao wakati tunayakwetu. Wajifunze lugha yetu ambayo tunajivunia nayo. The Chinnese, the indians, the Russians hata nchi za Sweeden, denmark finland. Sehemu kubwa ya raia wake hawajui kiingereza, and they are proud of it
 
mi nadhani yeye alitakiwa ajivunie kuona watu wanazungumza kiswahili kwakua ndio lugha ya africa kwa sasa sasa anazunguzia lugha mbona waarabu awajui kingereza na wamepiga hatua kubwa sana hao ndio watalii wa mchongo wa LGBTQ
Sasa ni bora hujui kingereza lkn unafanya maendeleo kama hao warabu, sasa wewe na kiswahili chako lkn pia maendeleo hakuna.
Hata bara Asia wengi hawatumii kingereza lkn wanapiga hatua kubwa kila kukicha....
 
Jambo jambo?

Hii video ilikuwa mahojiano ya kipindi maalum ambacho huwahoji watalii kutoka duniani na waliotembelea Kenya, Uganda, na Tanzania, in short ni EAC.

Jamaa amewapa makavu kuwa Tanzania inaiishi miaka 30 nyuma ya dunia huku nchi jirani zikiendelea kuchapa mwendo.

Lakini tusisahau kuwa sisiem wanatuambia kuwa nchi inafunguka na maendeleo tunayoyafanya yanaendana na nchi nyingi Afrika.

Mtaalii huyo ameenda mbali na kusema Kenya ni kama Indonesia kwa kuchapa maendeleo huku Tanzania ni kama Cambodia miaka 30 nyuma.

Ametetea point yake kwa kulinganisha yafuatayo:

- Internet Kenya iko kasi na ni very cheap huku Tanzania internet iko slow licha ya mitandao ya simu kuwa mingi na ni ghali.

- Road network Kenya na Uganda ziko vizuri huku Tanzania hali ikiwa tete mpaka kuna maeneo mjini hayana miundombinu mizuri.

- Lugha ya Kiingereza Kenya inazungumzwa kwa ufasaha na kwa wingi tofauti na Tanzania na Kenya wageni hawapati taabu.

- Ushirikiano kati ya diaspora na African Americans waliopo nchini Tanzania ni mfinyu sana huku Kenya na Uganda ikitupiga gepu.

- Mengine jazia kwa video.

My Take: Sitaki kufuatilia sana upande wa pili lakini ni dhahiri kuwa nchi hii sisiem wametuchelewesha sana na rasimali zetu zinapigwa minada waziwazi huku tukijinasibu kuwa tuna miaka 60 ya uhuru na hata Jiji la Mwanza mpaka leo halina maji licha ya kuwa jirani na Ziwa.

#Royotuwa
#Anaupigamwingi
#anafunguanchi
#nani kama mama

TULIJIROGA WENYEWE

View attachment 2670315

Kwasasa
Kahama,Tanzania
Mchawi ni ccm, wanajua w anachokifanya, kama kwa uzwazwa wetu huu, tumeweza kuwa na chadema, na tundulisu mmoja, na tunawachachafya ma ccm mpaka sasa hv yanatishia kutupoteza hadharani! Fikiria nchi ikifunguka, tukawa na Tundu lisu 20! Si yatakufa kihoro!
 
Watanzania IQ rating yenu iko chini sana ndio maana mtu akitoa maoni yake kuhusu anavyoiona nchi yenu mnaanza kumkandia hasa pale mtizamo wake unapokuwa hauwapendezei.

Mimi naungana na huyo mzungu kwa maoni yake hayo kwani ni ukweli kwamba Tanzania pamoja na kuwa na rasilimali lukuki lakini haina cha kuonyesha kimaendeleo inayoendana na rasilimali hizo.

Ni ukweli usiopingika kwamba Tanzania imerudishwa nyuma na serikali ya ccm kwa kuachwa iitawale nchi hii toka uhuru hadi sasa huku wakiwa wamelewa madaraka na huku wakiwa hawana hofu ya kuweza kuondolewa madarakani.
 
Hayo ndio majibu ya Mam Uturuki
Jambo jambo?

Hii video ilikuwa mahojiano ya kipindi maalum ambacho huwahoji watalii kutoka duniani na waliotembelea Kenya, Uganda, na Tanzania, in short ni EAC.

Jamaa amewapa makavu kuwa Tanzania inaiishi miaka 30 nyuma ya dunia huku nchi jirani zikiendelea kuchapa mwendo.

Lakini tusisahau kuwa sisiem wanatuambia kuwa nchi inafunguka na maendeleo tunayoyafanya yanaendana na nchi nyingi Afrika.

Mtaalii huyo ameenda mbali na kusema Kenya ni kama Indonesia kwa kuchapa maendeleo huku Tanzania ni kama Cambodia miaka 30 nyuma.

Ametetea point yake kwa kulinganisha yafuatayo:

- Internet Kenya iko kasi na ni very cheap huku Tanzania internet iko slow licha ya mitandao ya simu kuwa mingi na ni ghali.

- Road network Kenya na Uganda ziko vizuri huku Tanzania hali ikiwa tete mpaka kuna maeneo mjini hayana miundombinu mizuri.

- Lugha ya Kiingereza Kenya inazungumzwa kwa ufasaha na kwa wingi tofauti na Tanzania na Kenya wageni hawapati taabu.

- Ushirikiano kati ya diaspora na African Americans waliopo nchini Tanzania ni mfinyu sana huku Kenya na Uganda ikitupiga gepu.

- Mengine jazia kwa video.

My Take: Sitaki kufuatilia sana upande wa pili lakini ni dhahiri kuwa nchi hii sisiem wametuchelewesha sana na rasimali zetu zinapigwa minada waziwazi huku tukijinasibu kuwa tuna miaka 60 ya uhuru na hata Jiji la Mwanza mpaka leo halina maji licha ya kuwa jirani na Ziwa.

#Royotuwa
#Anaupigamwingi
#anafunguanchi
#nani kama mama

TULIJIROGA WENYEWE

View attachment 2670315

Kwasasa
Kahama,Tanzania
Uturuki ndio majibu
 
Ni mtazamo wake, ila ni vizuri pia kuparekebisha pale penye tatizo
Umeongea point nzuri sana, ingawa wengi wanaponda na hata kumuita shoga
Lazima tubadilike kwa vitendo
Wenzetu wanaendelea kwa kujituma na wabunge wao wanaishinikiza serikali kupeleka mambo mbele

Tuko nyuma sana
 
Jambo jambo?

Hii video ilikuwa mahojiano ya kipindi maalum ambacho huwahoji watalii kutoka duniani na waliotembelea Kenya, Uganda, na Tanzania, in short ni EAC.

Jamaa amewapa makavu kuwa Tanzania inaiishi miaka 30 nyuma ya dunia huku nchi jirani zikiendelea kuchapa mwendo.

Lakini tusisahau kuwa sisiem wanatuambia kuwa nchi inafunguka na maendeleo tunayoyafanya yanaendana na nchi nyingi Afrika.

Mtaalii huyo ameenda mbali na kusema Kenya ni kama Indonesia kwa kuchapa maendeleo huku Tanzania ni kama Cambodia miaka 30 nyuma.

Ametetea point yake kwa kulinganisha yafuatayo:

- Internet Kenya iko kasi na ni very cheap huku Tanzania internet iko slow licha ya mitandao ya simu kuwa mingi na ni ghali.

- Road network Kenya na Uganda ziko vizuri huku Tanzania hali ikiwa tete mpaka kuna maeneo mjini hayana miundombinu mizuri.

- Lugha ya Kiingereza Kenya inazungumzwa kwa ufasaha na kwa wingi tofauti na Tanzania na Kenya wageni hawapati taabu.

- Ushirikiano kati ya diaspora na African Americans waliopo nchini Tanzania ni mfinyu sana huku Kenya na Uganda ikitupiga gepu.

- Mengine jazia kwa video.

My Take: Sitaki kufuatilia sana upande wa pili lakini ni dhahiri kuwa nchi hii sisiem wametuchelewesha sana na rasimali zetu zinapigwa minada waziwazi huku tukijinasibu kuwa tuna miaka 60 ya uhuru na hata Jiji la Mwanza mpaka leo halina maji licha ya kuwa jirani na Ziwa.

#Royotuwa
#Anaupigamwingi
#anafunguanchi
#nani kama mama

TULIJIROGA WENYEWE

View attachment 2670315

Kwasasa
Kahama,Tanzania


100% correct.
 
Jambo jambo?

Hii video ilikuwa mahojiano ya kipindi maalum ambacho huwahoji watalii kutoka duniani na waliotembelea Kenya, Uganda, na Tanzania, in short ni EAC.

Jamaa amewapa makavu kuwa Tanzania inaiishi miaka 30 nyuma ya dunia huku nchi jirani zikiendelea kuchapa mwendo.

Lakini tusisahau kuwa sisiem wanatuambia kuwa nchi inafunguka na maendeleo tunayoyafanya yanaendana na nchi nyingi Afrika.

Mtaalii huyo ameenda mbali na kusema Kenya ni kama Indonesia kwa kuchapa maendeleo huku Tanzania ni kama Cambodia miaka 30 nyuma.

Ametetea point yake kwa kulinganisha yafuatayo:

- Internet Kenya iko kasi na ni very cheap huku Tanzania internet iko slow licha ya mitandao ya simu kuwa mingi na ni ghali.

- Road network Kenya na Uganda ziko vizuri huku Tanzania hali ikiwa tete mpaka kuna maeneo mjini hayana miundombinu mizuri.

- Lugha ya Kiingereza Kenya inazungumzwa kwa ufasaha na kwa wingi tofauti na Tanzania na Kenya wageni hawapati taabu.

- Ushirikiano kati ya diaspora na African Americans waliopo nchini Tanzania ni mfinyu sana huku Kenya na Uganda ikitupiga gepu.

- Mengine jazia kwa video.

My Take: Sitaki kufuatilia sana upande wa pili lakini ni dhahiri kuwa nchi hii sisiem wametuchelewesha sana na rasimali zetu zinapigwa minada waziwazi huku tukijinasibu kuwa tuna miaka 60 ya uhuru na hata Jiji la Mwanza mpaka leo halina maji licha ya kuwa jirani na Ziwa.

#Royotuwa
#Anaupigamwingi
#anafunguanchi
#nani kama mama

TULIJIROGA WENYEWE

View attachment 2670315

Kwasasa
Kahama,Tanzania
Anasema ukweli hakuna Maendeleo Tanzania ipo kama Cambodia kimaendeleo bado tuko nyuma kwa kila kitu CCM haiendelezi nchi kwenda mbele V,ongozi wa CCM wanakula wao nchi inazidi kudidimia kimaendeleo hata mimi ninamuunga mkono huyu M-Marekani Mweusi.
 
Aliosema ni 100% true hakuna la uongo kabisa km data ndio balaa,Ttcl ndio amawauzia infrastructure plus data kampuni zote za mitandao nchini and then wao wanauza wanavyotaka and no one cares.
Barabara zinakumbukwa wkt wa uchaguzi tu nothing else.
Proactive ya matatizo haipo mpk litokee janga ndio watu wanazinduka,nakupa mfano sasa hivi kuna adhakubwa sn kwenye Mwendokasi watuwanajaa kupindukia and wanakaa muda mrefu vituoni cku janga łikitokea utasikia unda tume while ilitakiwa kidhibitiwa sasa.
Kongole kwa mtalii
 
Back
Top Bottom