Mtalii kutoka Marekani aichana makavu Tanzania kwenye Luninga

Mtalii kutoka Marekani aichana makavu Tanzania kwenye Luninga

Sasa kama watu wenyewe ni kama mtoa mada mnawaza upumbavu hata pale ambapo hamna uwezo wa kutenda hamtaki kusaidiwa mnaanza kuzusha upuuzi wenu wa Kijamaa mara ooh tunapigwa sijui majizi mara tumeuzwa nk

Kwa jinsi Tanzania ilivyojaa uswazi na jinsi Miundombinu yetu Mingi inafanywa kienyeji enyeji Kwa siasa uchwara Yuko sahihi Kwa sababu inaonesha kwamba zaidi ya nusu ya Watalii wakija Tzn Huwa hawarudi..

Mwisho mlaumuni Babu yenu wa Taifa ambae aliona ni Bora kusaidia.Nchi zingine Kwa rasilimali za Taifa na watu wake badala ya kusaidia watu wa Tanzania.

Umejiunga bando la jero,unakomenti harakaharaka kabla hazijakata.

Hovyoooo
 
niliwahi kumbandu demu wa kikenya.
Aisee amna kitu,hawajui kunyanduana.

Kwa xperience yako huko, ni kweli kuwa hawajui kitu au nilikutana na maandazi?
Mi nilikuwaga na mluhya alikuwa vizuri.

Shida ya wakenya ni aggresiveness

Utasikia si ukwende

Nipe Thao 2 nikasuke

Ukichelewa anakukaba
 
Mi nilikuwaga na mluhya alikuwa vizuri.

Shida ya wakenya ni aggresiveness

Utasikia si ukwende

Nipe Thao 2 nikasuke

Ukichelewa anakukaba

pengine wanaume wao ni dhaifu.

Imagine amwambie mwanaume wa kitanzania maneno kama hayo kama hajajikuta ICU[emoji23]
 
Jambo jambo?

Hii video ilikuwa mahojiano ya kipindi maalum ambacho huwahoji watalii kutoka duniani na waliotembelea Kenya, Uganda, na Tanzania, in short ni EAC.

Jamaa amewapa makavu kuwa Tanzania inaiishi miaka 30 nyuma ya dunia huku nchi jirani zikiendelea kuchapa mwendo.

Lakini tusisahau kuwa sisiem wanatuambia kuwa nchi inafunguka na maendeleo tunayoyafanya yanaendana na nchi nyingi Afrika.

Mtaalii huyo ameenda mbali na kusema Kenya ni kama Indonesia kwa kuchapa maendeleo huku Tanzania ni kama Cambodia miaka 30 nyuma.

Ametetea point yake kwa kulinganisha yafuatayo:

- Internet Kenya iko kasi na ni very cheap huku Tanzania internet iko slow licha ya mitandao ya simu kuwa mingi na ni ghali.

- Road network Kenya na Uganda ziko vizuri huku Tanzania hali ikiwa tete mpaka kuna maeneo mjini hayana miundombinu mizuri.

- Lugha ya Kiingereza Kenya inazungumzwa kwa ufasaha na kwa wingi tofauti na Tanzania na Kenya wageni hawapati taabu.

- Ushirikiano kati ya diaspora na African Americans waliopo nchini Tanzania ni mfinyu sana huku Kenya na Uganda ikitupiga gepu.

- Mengine jazia kwa video.

My Take: Sitaki kufuatilia sana upande wa pili lakini ni dhahiri kuwa nchi hii sisiem wametuchelewesha sana na rasimali zetu zinapigwa minada waziwazi huku tukijinasibu kuwa tuna miaka 60 ya uhuru na hata Jiji la Mwanza mpaka leo halina maji licha ya kuwa jirani na Ziwa.

#Royotuwa
#Anaupigamwingi
#anafunguanchi
#nani kama mama

TULIJIROGA WENYEWE

View attachment 2670315

Kwasasa
Kahama,Tanzania
Au Mzungu hana taarifa sahihi na Au wewe jamaa huijui Nchi yako Vizuri!

Ati network ya Barabara TZ tuko vibaya? NI AIBU NA HUJATEMEA HII NCHI VIZURI!

Yako Mambo Kenya wako Vizuri na wala siyo kwa Sababu ya Kiingereza tu..ni suala zima la ujuzi...wakenya wengi wana Skills zaidi ys Accademics...

Kwa hivo wanaajirika kiurahisi kwa Sababu ya Mfumo wao wa Elimu...but ndicho anachofanya Prof Mkenda sasa!

Ipe TZ miaka 10 kutoka hapa tulipo ndo utajua!!!
 
Au Mzungu hana taarifa sahihi na Au wewe jamaa huijui Nchi yako Vizuri!

Ati network ya Barabara TZ tuko vibaya? NI AIBU NA HUJATEMEA HII NCHI VIZURI!

Yako Mambo Kenya wako Vizuri na wala siyo kwa Sababu ya Kiingereza tu..ni suala zima la ujuzi...wakenya wengi wana Skills zaidi ys Accademics...

Kwa hivo wanaajirika kiurahisi kwa Sababu ya Mfumo wao wa Elimu...but ndicho anachofanya Prof Mkenda sasa!

Ipe TZ miaka 10 kutoka hapa tulipo ndo utajua!!!

umetembea wapi na wapi hapo kenya na uganda ili u “justify” hoja yako?
 
Kabisa namuunga mkono 100%. Na mara nyingi nimewambia hapa Kenya hatuingii hata nusu kwa Kenya kuanzia siasa zao,katiba, democracy,haki za binadamu na maendeleo,kwenye miundombinu kama barabara n.k Kenya wametuacha mbali sana. Ni kipofu tu bado ataendelea kubisha. Hii nchi bado sana. Tatizo kubwa ni uongozi na siasa zake
 
Mtalii huyo kwio, akajambe mbele. Na ni kama hao wanaomhoji wanashabikia akituponda watz. Tuna kazi sana na hawa majirani wetu 😏
 
Amesema ukweli mpeni maua yake.Watu walikataa wakina Elon wasiwekeze ili waendelee kuupiga mwingi.Kuenjoy Internet atleast kuanzia 3000 na kuendelea,bundle lenyewe linakikomo cha muda wa kutumia.Hela yako ila unapangiwa mwisho lini wa kuitumia haijalishi umetumia yote au la.
 
Hapo kwenye Road network namuunga mkono kwasababu huwa najiuliza Jiji kubwa la Dar es salaam ambalo ni kitovu cha biashara/ uchumi lakini lakini kuna sehemu kibao hazina lami na maji, mfano ni huku kwetu mbezi ya Mpiji, makabe na msumi.
Kenya ni nusu ya tanzania
 
The way ana yo rembua tu vimacho vyake withno doubt he is LGBTQ ss amekuja Tz akakuta mambo meusi kuhusu izo issue lzm aropoke
 
Viongozi wa hii nchi wengi wamesoma Kwa kuunga unga kufail kwingi imagine PayPal haifanyi kazi bongo sababu za maana hakuna , kupata visa ya kutoboka nje tuu milolongo mirefu , mikataba ndo hyo unamwambia mwekezaji akianza kupata faida basi akufikrie na ww
Kama hii ya Paypal, inawatesa vijana wengi wanaopiga kazi za freelancer.
 
Sasa ww shomile hutaki kusoma wenzako mashomile wana masters za kutosha ww unalima kahawa kama mwehu
 
kenya-flag-std.jpg
 
Kenya Internet ni ghali sana, nimeishi huko

Kenya barabara ni finyu sana na mbovu sana, ukitaka nenda Nai, Eld ndo utaelewa
Eldoret Southern Bypass(U/C), Gatuzi la Uasin Gishu.
eldoret-bypass.jpg

Eldoret Town
b22080ff524f71611f712597006da5ee.jpg

Nai.
Expressway-1.jpg

Nairobi-Expressway-768x501.jpeg

Freeway Interchange, Nairobi Southern Bypass
video_preview_0000.jpg
 
Back
Top Bottom