Mbuzi ni mbuzi tu, kubali hali yako mwenyewe.Tena ntakuwa mbuzi dume Beberu.
Na wewe ni mbuzi jike.
ntakupanda mara 6 kwa siku mpka ukubali show
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbuzi ni mbuzi tu, kubali hali yako mwenyewe.Tena ntakuwa mbuzi dume Beberu.
Na wewe ni mbuzi jike.
ntakupanda mara 6 kwa siku mpka ukubali show
Mbuzi ni mbuzi tu, kubali hali yako mwenyewe.
Acha UMBUMBUMBU wewe. Eti nchi za EA hazitofautianiInategemea na mtazamo wake kwake hivyo kulingana na eneo alipofikia kwa hapa tz unaweza kuta alitua kia akafika arusha from nairobi lazima ataona tupo nyuma miaka 30.
ila ukweli bado upo palepale hizi nchi za east Africa hazitofautiani sana.
Huyo muongo... Mazingira ya tz duni kuliko uganda? MuongoJambo jambo?
Hii video ilikuwa mahojiano ya kipindi maalum ambacho huwahoji watalii kutoka duniani na waliotembelea Kenya, Uganda, na Tanzania, in short ni EAC.
Jamaa amewapa makavu kuwa Tanzania inaiishi miaka 30 nyuma ya dunia huku nchi jirani zikiendelea kuchapa mwendo.
Lakini tusisahau kuwa sisiem wanatuambia kuwa nchi inafunguka na maendeleo tunayoyafanya yanaendana na nchi nyingi Afrika.
Mtaalii huyo ameenda mbali na kusema Kenya ni kama Indonesia kwa kuchapa maendeleo huku Tanzania ni kama Cambodia miaka 30 nyuma.
Ametetea point yake kwa kulinganisha yafuatayo:
- Internet Kenya iko kasi na ni very cheap huku Tanzania internet iko slow licha ya mitandao ya simu kuwa mingi na ni ghali.
- Road network Kenya na Uganda ziko vizuri huku Tanzania hali ikiwa tete mpaka kuna maeneo mjini hayana miundombinu mizuri.
- Lugha ya Kiingereza Kenya inazungumzwa kwa ufasaha na kwa wingi tofauti na Tanzania na Kenya wageni hawapati taabu.
- Ushirikiano kati ya diaspora na African Americans waliopo nchini Tanzania ni mfinyu sana huku Kenya na Uganda ikitupiga gepu.
- Mengine jazia kwa video.
My Take: Sitaki kufuatilia sana upande wa pili lakini ni dhahiri kuwa nchi hii sisiem wametuchelewesha sana na rasimali zetu zinapigwa minada waziwazi huku tukijinasibu kuwa tuna miaka 60 ya uhuru na hata Jiji la Mwanza mpaka leo halina maji licha ya kuwa jirani na Ziwa.
#Royotuwa
#Anaupigamwingi
#anafunguanchi
#nani kama mama
TULIJIROGA WENYEWE
View attachment 2670315
Kwasasa
Kahama,Tanzania
Huyo muongo... Mazingira ya tz duni kuliko uganda? Muongo
Yote aliyosema yanahusu exposure pekee (digital civilization)lkn maendeleo ni mjumuisho wa vitu vingi,sio mabundle ya internet na Barabara pekee.kuna kipato Cha mtu na nchi,ustawi na maisha bora,na huduma muhimu za kijamii.
huyu mtalii ni mjinga, anafikiri hatujafika kenya, uganda na Ulaya?
Wakenya ukuwasifia wako tayari kukupa hata 071330yrs behind? atakuwa ameogeza chumvi, ukweli kabisa ni kama 18yrs honestly.
Mungu wabariki WazunguJambo jambo?
Hii video ilikuwa mahojiano ya kipindi maalum ambacho huwahoji watalii kutoka duniani na waliotembelea Kenya, Uganda, na Tanzania, in short ni EAC.
Jamaa amewapa makavu kuwa Tanzania inaiishi miaka 30 nyuma ya dunia huku nchi jirani zikiendelea kuchapa mwendo.
Lakini tusisahau kuwa sisiem wanatuambia kuwa nchi inafunguka na maendeleo tunayoyafanya yanaendana na nchi nyingi Afrika.
Mtaalii huyo ameenda mbali na kusema Kenya ni kama Indonesia kwa kuchapa maendeleo huku Tanzania ni kama Cambodia miaka 30 nyuma.
Ametetea point yake kwa kulinganisha yafuatayo:
- Internet Kenya iko kasi na ni very cheap huku Tanzania internet iko slow licha ya mitandao ya simu kuwa mingi na ni ghali.
- Road network Kenya na Uganda ziko vizuri huku Tanzania hali ikiwa tete mpaka kuna maeneo mjini hayana miundombinu mizuri.
- Lugha ya Kiingereza Kenya inazungumzwa kwa ufasaha na kwa wingi tofauti na Tanzania na Kenya wageni hawapati taabu.
- Ushirikiano kati ya diaspora na African Americans waliopo nchini Tanzania ni mfinyu sana huku Kenya na Uganda ikitupiga gepu.
- Mengine jazia kwa video.
My Take: Sitaki kufuatilia sana upande wa pili lakini ni dhahiri kuwa nchi hii sisiem wametuchelewesha sana na rasimali zetu zinapigwa minada waziwazi huku tukijinasibu kuwa tuna miaka 60 ya uhuru na hata Jiji la Mwanza mpaka leo halina maji licha ya kuwa jirani na Ziwa.
#Royotuwa
#Anaupigamwingi
#anafunguanchi
#nani kama mama
TULIJIROGA WENYEWE
View attachment 2670315
Kwasasa
Kahama,Tanzania
Huyo ni mwehu tu ila sisi kama Tanzania tunapaswa tujitafakari...sizani kama tunatumia akili zetu vizuri .
Duh kama minyama vile hadi morphology yetu ipo hovyo sana.Ukiambiwa ukweli usimaindi bali uchukue ukweli wake uudadisi na kuufanyia kazi.
Nimepitia komenti kadhaa na nimeona wabongo wengi tupo kwenye kakisiwa chetu cha comfort zone.
Na jamaa kaja kutuamsha kwa kutumwagia maji ya baridi tumemaindi, tunataka tumdunde eti kwa nini hajatuamsha na nyoya laini la njiwa.
Kwa sasa inatakiwa tuamke tutake tusitake, tutafute panapovuja turekebishe kama anavyofanya mchina.View attachment 2670444
Sasa kama watu wenyewe ni kama mtoa mada mnawaza upumbavu hata pale ambapo hamna uwezo wa kutenda hamtaki kusaidiwa mnaanza kuzusha upuuzi wenu wa Kijamaa mara ooh tunapigwa sijui majizi mara tumeuzwa nkJambo jambo?
Hii video ilikuwa mahojiano ya kipindi maalum ambacho huwahoji watalii kutoka duniani na waliotembelea Kenya, Uganda, na Tanzania, in short ni EAC.
Jamaa amewapa makavu kuwa Tanzania inaiishi miaka 30 nyuma ya dunia huku nchi jirani zikiendelea kuchapa mwendo.
Lakini tusisahau kuwa sisiem wanatuambia kuwa nchi inafunguka na maendeleo tunayoyafanya yanaendana na nchi nyingi Afrika.
Mtaalii huyo ameenda mbali na kusema Kenya ni kama Indonesia kwa kuchapa maendeleo huku Tanzania ni kama Cambodia miaka 30 nyuma.
Ametetea point yake kwa kulinganisha yafuatayo:
- Internet Kenya iko kasi na ni very cheap huku Tanzania internet iko slow licha ya mitandao ya simu kuwa mingi na ni ghali.
- Road network Kenya na Uganda ziko vizuri huku Tanzania hali ikiwa tete mpaka kuna maeneo mjini hayana miundombinu mizuri.
- Lugha ya Kiingereza Kenya inazungumzwa kwa ufasaha na kwa wingi tofauti na Tanzania na Kenya wageni hawapati taabu.
- Ushirikiano kati ya diaspora na African Americans waliopo nchini Tanzania ni mfinyu sana huku Kenya na Uganda ikitupiga gepu.
- Mengine jazia kwa video.
My Take: Sitaki kufuatilia sana upande wa pili lakini ni dhahiri kuwa nchi hii sisiem wametuchelewesha sana na rasimali zetu zinapigwa minada waziwazi huku tukijinasibu kuwa tuna miaka 60 ya uhuru na hata Jiji la Mwanza mpaka leo halina maji licha ya kuwa jirani na Ziwa.
#Royotuwa
#Anaupigamwingi
#anafunguanchi
#nani kama mama
TULIJIROGA WENYEWE
View attachment 2670315
Kwasasa
Kahama,Tanzania
Sasa Kwa akili kama hizi unadhani mtaendelea kweli? Mkiambiwa nyie ni wajinga mtabisha? Manaa mnakataa wawekezaji wakati uwezo hamna ,hapo ni kukumbatia umaskiniNa bandari tumegawa
Sasa sio Jiji la Utalii,huko huko kwenye Majiji ya Utalii mambo ni hovyo,hata mnazoita lami ni upuuzi vibarabara vya kienyeji enyeji.Hapo kwenye Road network namuunga mkono kwasababu huwa najiuliza Jiji kubwa la Dar es salaam ambalo ni kitovu cha biashara/ uchumi lakini lakini kuna sehemu kibao hazina lami na maji, mfano ni huku kwetu mbezi ya Mpiji, makabe na msumi.
Kwa Barabara Wako mbele ya Tanzania sana tuuHata mm namshangaa huyu mtalii. Uganda iko mbele ya Tanzania kwa mtandao wa barabara na kasi ya internet??
Vitu vya ukweli ktk maelezo ya huyu mjinga ni kasi ya internet na gharama huko Kenya..
Wingi na umahiri wa kuzungumza kiingereza. Lkn kiingereza ni lugha tu kama ilivyo kiha na kinyamwezi wala hakileti ugali mezani
Nilikua sijui hiiMkuu hujui ukiwa wa 1 kukomenti hautakiwi kuqoute uzi.
sisiemu ndo vichaa
Inawezekana wale wanaonunua mabando makubwa Kuna nafuu ila.kwa bando za kawaida wako too expensiveKenya Internet ni ghali sana, nimeishi huko
Kenya barabara ni finyu sana na mbovu sana, ukitaka nenda Nai, Eld ndo utaelewa