Mtandao wa Quora unawezekana ukawa sababu ya wakristo wengi wa Ulaya kusilimu na kuwa Waislamu

Mtaukataa Sana ukweli,Ila ukweli haufichiki..wazungu wanasilimu,kubwa ni wazungu hufuata hoja
 
ulaya kwa jins walivyo bize na maendeleo kitechnolojia sijui kama ilo ni ukwel. labda wew mwenye uzi ndio unatumia mwanya huu kutusilimisha.

ulaya wazee ndio uhudhuria makanisani kwa wingi, vijana kazikazi na usipofanya kazi ulaya utapahis kama kuzimu.
 
Thibitisha Mungu yupo, thibitisha roho ipo.

Thibitisha habari za kuwapo Mungu na roho si hadithi za kutungwa na watu tu.
Mungu yupo,ukiangalia tu umbile lako unajua mungu yupo...una macho yanayoona tu kwenye mwanga,duniani Kuna mwanga..macho yalijuaje duniani Kuna mwanga hata uwe nayo!?..Kuna mtu kakusanifu,huyo ndiyo mungu,hivyohivyo kwa pua na oksijeni,kinywa na umeng'enyaji...
 
Middle east na afrika ya magharib wengi ni waislamu,nawengi huzamia ulaya na usa kwenda kutafuta ahueni ya maisha.
 
Google,acha uvivu
 
Middle east na afrika ya magharib wengi ni waislamu,nawengi huzamia ulaya na usa kwenda kutafuta ahueni ya maisha.
Ahueni ya maisha inatokana na rasilimali na matumizi mazuri ya rasilimali,haitokani na imani
 
Mbona unaongea kishabiki ina maana kama hizi Jf zinaanzishwa na Waislamu tu wkt jana Annunaki alianzisha nyuzi kama hii ya Waislamu wengi kusilimu mpk mimi nikacomment "Kwani wakisto si mnasema hamna habari za kishamba kufuatilia nani au wangapi wamekubali dini yao ?"
 
Hao Watu walio kwenye pp yako, umewatoa wapi ayseee....[emoji38]
 
Ah kudadadeki imani ya kipimbi kabisa hii yaan mbinguni badala ya kumsifu MUNGU mkanyundane?

Braza tumia akili ya kawaida, mbinguni hakuna matamanio ya kimwili, unakula karanga na supu ya pweza 4 what? Au kule unajaliwa nguvu za kiume zaidi ya mkongo ili iweje? Yaan mabikra 72 ni kunyunda tu 4 what yaan huu ni upimbi kudadadeki.

Yaan mbinguni hakuna furaha inayozidi ile kumsifu MUNGU milele kwasababu utukufu wa MUNGU ni zaidi ya furaha.

Halafu unanishauri nihamie dini ya wapenda ngono. Mtanisamehe sana lakini nyinyi ni mafala.
 
Waislamu wengi wao kama sio wote wana akili kama za Ng'ombe hawawezi kuelewa mambo na kuyanyambua wao hukariri tu mtindo mmoja.


Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Waislamu wengi wao kama sio wote wana akili kama za Ng'ombe hawawezi kuelewa mambo na kuyanyambua wao hukariri tu mtindo mmoja.


Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Hawa jamaa wana akili ndogo sana. Hawa walishashikwa akili na waarabu hawajielewi, kuna baadhi ya maandiko kwenye Quran wakristo hatuyapingi kwasababu kwa tafakuri ya kawaida ni uhalisia unaotokana na fikra ambazo ni matunda ya roho mtakatifu. Hapa kuna utata sana Kwasababu Roho mtakatifu hawamwamini. Kwa tafsiri ya kawaida hawatambui utendaji kazi wa nguvu ya Roho wa MUNGU kwenye maisha yao na ndiyo maana ni mazuzu. MUNGU amewapa kidogo kulingana na imani yao.

Na ndiyo maana wanaongea upuuzi tu. Eti wakristo wengi kwasababu ni matajiri pepo yao ni hapahapa duniani wakienda wakifa ni motoni😁 dah halafu unanishauri niwe muislamu ah kudadadeki hata kwa vipi siendi ng'o. Yaani kuhamia uislamu ni sawa na kujipeleka motoni kwa hiyari yako.
 
Umesema Quran haina ukinzani wenyewe kwa wenyewe. Nakukumbusha kuwa, Quran inasema nguruwe ni haramu pia inaruhusu kula nguruwe ili usife njaa.
Hata mkojo wako unaweza kunywa kama ndio Njia pekee ya kuokoa maisha , lakini katika mazingira ya kawaida huwezi kunywa na haushauliwa kutumia kama kinywaji...Bado haujaona mantiki hapo?

Swali ngamia ni halali kwa misingi ya bibilia? ,kama ni haramu vipi ukapata emergency katika scenario kam hii? ,bibilia na mafundisho ya ukiristo yanataka ufanyaje ?
 
Waislamu wengi wao kama sio wote wana akili kama za Ng'ombe hawawezi kuelewa mambo na kuyanyambua wao hukariri tu mtindo mmoja.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Jadili mada au uwe msomaji tu inasaidia pia sio unatukana tu watu bila mchango wowote ,huo ung'ombe unaouona kwetu unaweza ukawa mmetuzidi mara mbili au tatu .

Jadili mada ,weka hoja mwenye majibu atakujibu that's how we do
 
JF ni jukwaa huru kila mtu anahaki ya kutoa mawazo yake bila kuvunja amani na Sheria ,Mambo yahusio dini hayakwepeki kizungumzika sababu ndio yaliyo tuzunguka katika jamii yetu
 
QURAN isiyokinzana inasema mungu Aliumba Dunia Kwa siku ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…