inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Mtaukataa Sana ukweli,Ila ukweli haufichiki..wazungu wanasilimu,kubwa ni wazungu hufuata hojaNingekuelewa ungesema Elimu imechangia kuenea kwa Uislam Ulaya. Kazi nyingi za ujuzi kuanzia Udaktari, Uhandisi na IT zimeshikiliwa na wahamiaji kutoka Egypt, Syria, Iran na hata Pakistani.
Hawa wanalipwa mishahara kutokana na ujuzi wao na ni washika dini haswa. Wakiamua kuweka 10% ya mshahara mwaka mmoja tu katika unoja wao wamenunua jengo lolote na kuligeuza msikiti.
Mungu yupo,ukiangalia tu umbile lako unajua mungu yupo...una macho yanayoona tu kwenye mwanga,duniani Kuna mwanga..macho yalijuaje duniani Kuna mwanga hata uwe nayo!?..Kuna mtu kakusanifu,huyo ndiyo mungu,hivyohivyo kwa pua na oksijeni,kinywa na umeng'enyaji...Thibitisha Mungu yupo, thibitisha roho ipo.
Thibitisha habari za kuwapo Mungu na roho si hadithi za kutungwa na watu tu.
Huna muda au huna hoja!?Nimeandika nimemaliza sina muda wa kubishana na wewe.
Google,acha uvivuulaya kwa jins walivyo bize na maendeleo kitechnolojia sijui kama ilo ni ukwel. labda wew mwenye uzi ndio unatumia mwanya huu kutusilimisha.
ulaya wazee ndio uhudhuria makanisani kwa wingi, vijana kazikazi na usipofanya kazi ulaya utapahis kama kuzimu.
Ahueni ya maisha inatokana na rasilimali na matumizi mazuri ya rasilimali,haitokani na imaniMiddle east na afrika ya magharib wengi ni waislamu,nawengi huzamia ulaya na usa kwenda kutafuta ahueni ya maisha.
Mbona unaongea kishabiki ina maana kama hizi Jf zinaanzishwa na Waislamu tu wkt jana Annunaki alianzisha nyuzi kama hii ya Waislamu wengi kusilimu mpk mimi nikacomment "Kwani wakisto si mnasema hamna habari za kishamba kufuatilia nani au wangapi wamekubali dini yao ?"Mwanzoni Wakati naona nyuzi za namna hizi nilipotezea tu ila sasa mnakela muno. Kila sehemu mumekazana na nadharia hii ambayo hata kwa 20% haijafikia.
Alafu siku hizi nyuzi za hivi JF ndiyo zimetamalaki. Hakuna Mkristo anayeweza kubadili dini kwa ushawishi wa hivi.
Hawa ni mashetani kama wale wanaopiga machine vitoto vya miaka 9 , huyo ni devil yupo kazini
Hao Watu walio kwenye pp yako, umewatoa wapi ayseee....[emoji38]Nasikitika sana, una uwezo mdogo sana wa kuelewa, hayo majibu hayatishelezi mtu kubadili dini kaka, zipo sababu mbali mbali za binadamu kubadili dini moja kwenda nyingine, ila usilojua ni kwamba wahamiaji wengi wa ulaya ni kutoka nchi zenye asili ya kiarabu ambao ndo wanaongeza population siku hadi siku ilhali wazawaza wana kasi ndogo ya kuongezeka, na ndio mana leo Ufaransa, ujeruman na nchi nyingine idadi ya watu inqongezwa na wahamiaji ambao wengi ni waislam.
Ah kudadadeki imani ya kipimbi kabisa hii yaan mbinguni badala ya kumsifu MUNGU mkanyundane?Sasa hapi ndiyo umetumia akili ? Kijana nikisema Wakristo mmenyimwa akili katika hili, huwezi kuwafananisha Waislamu na wasio kuwa Waislamu katika umakini wa mambo ya DINI, kufanya hivyo ni kujidanganya.
Sasa lishindikane hilo kwanini ? Wakati hayo ni malipo kwa walio fanya wema ? Kwani kufanya jimai ni jambo baya ? Hapo watu hawazini, hao mabikira 72 ni kwa ajili ya kustareheka nao, peponi hakuna kufanya ibada zaidi ya kumsabihi Allah na kufurabia tulichokipanda, huko ni kustarehe kwa kwenda mbele.
Sasa wapi umetumia akili katika hili kijana ?
Waislamu wengi wao kama sio wote wana akili kama za Ng'ombe hawawezi kuelewa mambo na kuyanyambua wao hukariri tu mtindo mmoja.
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Hawa jamaa wana akili ndogo sana. Hawa walishashikwa akili na waarabu hawajielewi, kuna baadhi ya maandiko kwenye Quran wakristo hatuyapingi kwasababu kwa tafakuri ya kawaida ni uhalisia unaotokana na fikra ambazo ni matunda ya roho mtakatifu. Hapa kuna utata sana Kwasababu Roho mtakatifu hawamwamini. Kwa tafsiri ya kawaida hawatambui utendaji kazi wa nguvu ya Roho wa MUNGU kwenye maisha yao na ndiyo maana ni mazuzu. MUNGU amewapa kidogo kulingana na imani yao.Waislamu wengi wao kama sio wote wana akili kama za Ng'ombe hawawezi kuelewa mambo na kuyanyambua wao hukariri tu mtindo mmoja.
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Hata mkojo wako unaweza kunywa kama ndio Njia pekee ya kuokoa maisha , lakini katika mazingira ya kawaida huwezi kunywa na haushauliwa kutumia kama kinywaji...Bado haujaona mantiki hapo?Umesema Quran haina ukinzani wenyewe kwa wenyewe. Nakukumbusha kuwa, Quran inasema nguruwe ni haramu pia inaruhusu kula nguruwe ili usife njaa.
Jadili mada au uwe msomaji tu inasaidia pia sio unatukana tu watu bila mchango wowote ,huo ung'ombe unaouona kwetu unaweza ukawa mmetuzidi mara mbili au tatu .Waislamu wengi wao kama sio wote wana akili kama za Ng'ombe hawawezi kuelewa mambo na kuyanyambua wao hukariri tu mtindo mmoja.
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
How ?,tupe summaryHuo uislamu wenyewe ulianzishwa na mapadre wa jesuit.
Iweje sasa uislamu utaweza iteka Ulaya.
JF ni jukwaa huru kila mtu anahaki ya kutoa mawazo yake bila kuvunja amani na Sheria ,Mambo yahusio dini hayakwepeki kizungumzika sababu ndio yaliyo tuzunguka katika jamii yetuMwanzoni Wakati naona nyuzi za namna hizi nilipotezea tu ila sasa mnakela muno. Kila sehemu mumekazana na nadharia hii ambayo hata kwa 20% haijafikia.
Alafu siku hizi nyuzi za hivi JF ndiyo zimetamalaki. Hakuna Mkristo anayeweza kubadili dini kwa ushawishi wa hivi.
Sikiliza hioHow ?,tupe summary