Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli haijawahi kuitwa Buzz hili lilikuwa neno la ku- promote mtandao wa Mobitel, ila hiyo Mobitel ilinunua wateja wa kampuni ya Tritel baada kampuni hiyo kushindwa kuendesha biashara hapa nchini.Umeshawahi kusikia buzz ni bomba?
Wewe kitoto Cha bukuWe utakuwa kitoto cha elfu2
Hata Yas unaendana na "Nyash" ni mlemle tu!!Nadhani wameona jina lao limechafuliwa na wazibua mitaro wala tigo.
Kwani buzz ilitoka mwaka gani?We utakuwa kitoto cha elfu2
Hao hata wabadili brand watashika mkia tu, akina tigo na voda ndio watafanya vizur waki change brandTTCL nao wabadili jina,labda watafufuka
Ana hisa lakini si mali yake, na asilimia kubwa ya hisa si zake, ni za tajiri kutoka Asia, hakai africaTigo mali ya Rostam ina kipi cha kuifanya ya kimataifa?
Bado hawajajipata tu
View attachment 3162165
TI GOO
LIVE IT LOVE IT