Mtandao wa tiGO wabadili jina, sasa kuitwa YAS

Mtandao wa tiGO wabadili jina, sasa kuitwa YAS


Kampuni ya Mawasiliano ya Tigo Tanzania imebadilishwa jina na sasa itajulikana kama YAS kuanzia leo. Mabadiliko haya yametangazwa mchana huu jijini Dar es Salaam katika hafla iliyohudhuriwa na watu mbalimbali na kuongozwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa.

Taarifa zaidi zitaendelea kufuatia.
Kwani kesi yao na Jasusi Michael Clifford ilifikia wapi???
 

Kampuni ya Mawasiliano ya Tigo Tanzania imebadilishwa jina na sasa itajulikana kama YAS kuanzia leo. Mabadiliko haya yametangazwa mchana huu jijini Dar es Salaam katika hafla iliyohudhuriwa na watu mbalimbali na kuongozwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa.

Taarifa zaidi zitaendelea kufuatia.
Something fishy
 
Washakwepa kodi, hapo TRA wakija kudai chao watasema sisi sio tigo.....sisi ni YAS kwahiy watafuteni tigo
 
ni jina marufu sana hasa likiusishwa na mambo ya vijana yani kule kwa mpalange nahisi ata kampini imeona hili jina linawatia zambi sana si bure ni ngumu kubadili kitu kilichozoeleka
 
20241127_072140.jpg


20241127_072138.jpg


20241127_072136.jpg


20241127_072134.jpg
 
Niliwahi kusikia kwamba makampuni kubadili majina mara nyingi kunatokana na ukwepaji wa kodi, hivi ni kweli?
Siyo ukwepaji kodi, bali ni upangaji kodi.

Wanatumia mianya ya sheria kupanga na kupunguza makali ya kodi. Hili siyo kosa kisheria. Sheria inampa mwekezaji unafuu wa kodi pale anapoanza biashara.

Kwa hiyo hiyo hutumia mwanya huo kuuza hisa za kampuni kwa mwekezaji 'mpya' na ndiyo maana majina yanabadilishwa.
 
From Tigo kama Tigo to Yas, sii wangeiita Nyash tu...

Iwe from Tigo to Nyash...



Cc: Mahondaw
 
Wakwepa kodi wakubwa bila kuvunja sheria na wanamwalika Waziri wa habari kwenye uzinduzi wa jina jipya ili kusafisha uchafu wao..
 
Back
Top Bottom