Django Doer
JF-Expert Member
- Jun 30, 2023
- 2,865
- 5,184
7Gb!Package ya 10k unapata gb ngapi per month?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
7Gb!Package ya 10k unapata gb ngapi per month?
Mkuu hakika wewe ni great thinker of the year.Yas-pesa ukiweka kidogo herufi nyash yani bado wako mulemule 😁
Kwani kesi yao na Jasusi Michael Clifford ilifikia wapi???
Kampuni ya Mawasiliano ya Tigo Tanzania imebadilishwa jina na sasa itajulikana kama YAS kuanzia leo. Mabadiliko haya yametangazwa mchana huu jijini Dar es Salaam katika hafla iliyohudhuriwa na watu mbalimbali na kuongozwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa.
Taarifa zaidi zitaendelea kufuatia.
Something fishy
Kampuni ya Mawasiliano ya Tigo Tanzania imebadilishwa jina na sasa itajulikana kama YAS kuanzia leo. Mabadiliko haya yametangazwa mchana huu jijini Dar es Salaam katika hafla iliyohudhuriwa na watu mbalimbali na kuongozwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa.
Taarifa zaidi zitaendelea kufuatia.
Aiseee, je huko iliko kesi inakoendelea wameona upepo unawaendea vibaya, kabla ya hukumu wanaanza kujisafisha?Bado ipo.
Umeshawahi kusikia buzz ni bomba?Acha uongo Mara ya nne? Lini waliitwa bazi ni bomba?
3 Tu
1.Mobitel
2.Tigo
3.Yas
Kampuni inaongozwa na vizee vichawi havina ubunifu wowote.TTCL nao wabadili jina,labda watafufuka
We utakuwa kitoto cha elfu2Acha uongo Mara ya nne? Lini waliitwa bazi ni bomba?
3 Tu
1.Mobitel
2.Tigo
3.Yas
Siyo ukwepaji kodi, bali ni upangaji kodi.Niliwahi kusikia kwamba makampuni kubadili majina mara nyingi kunatokana na ukwepaji wa kodi, hivi ni kweli?
Tupo nao hatuwaachi. Sahivi mtaro tunaubadili jina utaitwa YASNadhani wameona jina lao limechafuliwa na wazibua mitaro wala tigo.
Sio kweli story za vijiweni tuNiliwahi kusikia kwamba makampuni kubadili majina mara nyingi kunatokana na ukwepaji wa kodi, hivi ni kweli?