Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye simu yangu ya kitochi ya Nokia tayari imetick YASKwenye iphone yangu bad inasoma tigo
wamebadili logoTigo wamebadili jina kwa Mara ya nne
Kutoka bazi ni bomba mpaka kuwa kuwa YAS
Je wataalamu wa Sheria hii Ina maana gani?
Kuna Siri gani juu ya kubadili majina haya?
Je uwa wanakwepa Nini jina limeshakuwa popular kwa watu na wanaobadilisha na kuleta jina jipya!!
Halotel tu ndio kampuni pekee ambayo haijabadili jina toka ianzishwe!!!
Kodi kodi hakuna namnaTigo wamebadili jina kwa Mara ya nne
Kutoka bazi ni bomba mpaka kuwa kuwa YAS
Je wataalamu wa Sheria hii Ina maana gani?
Kuna Siri gani juu ya kubadili majina haya?
Je uwa wanakwepa Nini jina limeshakuwa popular kwa watu na wanaobadilisha na kuleta jina jipya!!
Halotel tu ndio kampuni pekee ambayo haijabadili jina toka ianzishwe!!!
kumbuka kuna mwanasheria wake wa kimataifa, swala hilo liko nje kimataifaTumia akili, kampuni ya kimataifa km tigo ibadili jina kwa nyau moja tu km Tundu Lissu? Be serious
Umeamua kumpiga chura teke, tusibiri press release nyingine. Soon.Tigo wamebadili jina kwa Mara ya nne
Kutoka bazi ni bomba mpaka kuwa kuwa YAS
Je wataalamu wa Sheria hii Ina maana gani?
Kuna Siri gani juu ya kubadili majina haya?
Je uwa wanakwepa Nini jina limeshakuwa popular kwa watu na wanaobadilisha na kuleta jina jipya!!
Halotel tu ndio kampuni pekee ambayo haijabadili jina toka ianzishwe!!!
Imekaribia kabisa kuwa NYASH.Mtandao wa tiGO wabadili jina, sasa kuitwa YAS
Huu ushauri uzingatiwe.TTCL nao wabadili jina,labda watafufuka
Mobitel 👉🏾 Buzz 👉🏾 tiGo 👉🏾 Yas 👉🏾Nyashi
Kampuni ya Mawasiliano ya Tigo Tanzania imebadilishwa jina na sasa itajulikana kama YAS kuanzia leo. Mabadiliko haya yametangazwa mchana huu jijini Dar es Salaam katika hafla iliyohudhuriwa na watu mbalimbali na kuongozwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa.
Taarifa zaidi zitaendelea kufuatia.
hata mm nashangaa kwanini serikali isipunguze iwe mwaka mmoja au miwili tu au waifute kabisa hiyo sheria na pengine kampuni inayofanya mchezo huu ifukuzwe nchini na kutaifisha mali zake zote zikiwemo akaunti zao za benki ili serikali nayo isitoke patupu maana kampuni imechuma faida kubwa kipindi cha grace period..ila ukimya wa serikali kuhusu hii sheria ya kuruhusu kuibiwa kihalali sio bure kuna watu wetu wanakula pamoja nao.!Yeah, jina jipya literally ni kama kampuni mpya, sasa ile ya Kibongobongo ya 5yrs grace period wanayowapa wawekezaji kwenye kodi eti kuvutia investors hapo ndipo mahala pake.
Chenga flani ya kimtindo.
Kanyaga twende TUNDU ANTIPAS MUGHWAI LISU..... KANYAGANi kesi ya tundu lissu au sababu za kibiashara?!
Naona tigo wanapita mule mule 0715