Mtandao wa tiGO wabadili jina, sasa kuitwa YAS

Mtandao wa tiGO wabadili jina, sasa kuitwa YAS

Mshitakiwa hata akibadilisha jina haiondoi uwezekano wa kuendekea na mashitaka! Kesi itaendelea tu.
 
Tigo wamebadili jina kwa Mara ya nne

Kutoka bazi ni bomba mpaka kuwa kuwa YAS

Je wataalamu wa Sheria hii Ina maana gani?

Kuna Siri gani juu ya kubadili majina haya?

Je uwa wanakwepa Nini jina limeshakuwa popular kwa watu na wanaobadilisha na kuleta jina jipya!!

Halotel tu ndio kampuni pekee ambayo haijabadili jina toka ianzishwe!!!
wamebadili logo
 
Tigo wamebadili jina kwa Mara ya nne

Kutoka bazi ni bomba mpaka kuwa kuwa YAS

Je wataalamu wa Sheria hii Ina maana gani?

Kuna Siri gani juu ya kubadili majina haya?

Je uwa wanakwepa Nini jina limeshakuwa popular kwa watu na wanaobadilisha na kuleta jina jipya!!

Halotel tu ndio kampuni pekee ambayo haijabadili jina toka ianzishwe!!!
Kodi kodi hakuna namna
 
Tigo wamebadili jina kwa Mara ya nne

Kutoka bazi ni bomba mpaka kuwa kuwa YAS

Je wataalamu wa Sheria hii Ina maana gani?

Kuna Siri gani juu ya kubadili majina haya?

Je uwa wanakwepa Nini jina limeshakuwa popular kwa watu na wanaobadilisha na kuleta jina jipya!!

Halotel tu ndio kampuni pekee ambayo haijabadili jina toka ianzishwe!!!
Umeamua kumpiga chura teke, tusibiri press release nyingine. Soon.
 
Wameona waache kutumia umaarufu wa "Tigo ya asili" maana ushindani ulikua mkali
 

Kampuni ya Mawasiliano ya Tigo Tanzania imebadilishwa jina na sasa itajulikana kama YAS kuanzia leo. Mabadiliko haya yametangazwa mchana huu jijini Dar es Salaam katika hafla iliyohudhuriwa na watu mbalimbali na kuongozwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa.

Taarifa zaidi zitaendelea kufuatia.
Mobitel 👉🏾 Buzz 👉🏾 tiGo 👉🏾 Yas 👉🏾Nyashi
 
Yeah, jina jipya literally ni kama kampuni mpya, sasa ile ya Kibongobongo ya 5yrs grace period wanayowapa wawekezaji kwenye kodi eti kuvutia investors hapo ndipo mahala pake.
Chenga flani ya kimtindo.
hata mm nashangaa kwanini serikali isipunguze iwe mwaka mmoja au miwili tu au waifute kabisa hiyo sheria na pengine kampuni inayofanya mchezo huu ifukuzwe nchini na kutaifisha mali zake zote zikiwemo akaunti zao za benki ili serikali nayo isitoke patupu maana kampuni imechuma faida kubwa kipindi cha grace period..ila ukimya wa serikali kuhusu hii sheria ya kuruhusu kuibiwa kihalali sio bure kuna watu wetu wanakula pamoja nao.!
 
Back
Top Bottom