Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
TIGO=?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vodacom ndio haijawahi kubadilika..Tigo wamebadili jina kwa Mara ya nne
Kutoka bazi ni bomba mpaka kuwa kuwa YAS
Je wataalamu wa Sheria hii Ina maana gani?
Kuna Siri gani juu ya kubadili majina haya?
Je uwa wanakwepa Nini jina limeshakuwa popular kwa watu na wanaobadilisha na kuleta jina jipya!!
Halotel tu ndio kampuni pekee ambayo haijabadili jina toka ianzishwe!!!
nataka kufungua kampuni nakuipa jina tiGO je kuna tatizo
Kampuni ya Mawasiliano ya Tigo Tanzania imebadilishwa jina na sasa itajulikana kama YAS kuanzia leo. Mabadiliko haya yametangazwa mchana huu jijini Dar es Salaam katika hafla iliyohudhuriwa na watu mbalimbali na kuongozwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa.
Taarifa zaidi zitaendelea kufuatia.
Yas "feel the beat"Nadhani wameona jina lao limechafuliwa na wazibua mitaro wala tigo.
Tigo walipe Kodi kwanza,kabla hawajabadilisha jina.
Kampuni ya Mawasiliano ya Tigo Tanzania imebadilishwa jina na sasa itajulikana kama YAS kuanzia leo. Mabadiliko haya yametangazwa mchana huu jijini Dar es Salaam katika hafla iliyohudhuriwa na watu mbalimbali na kuongozwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa.
Taarifa zaidi zitaendelea kufuatia.
Ni tatizo. Nitakushitakinataka kufungua kampuni nakuipa jina tiGO je kuna tatizo
Tangazo lile walikuwa wanazungusha duara kwa vidole 😄Yas "feel the beat"
Yas = Yansh/nyash,
yote tisa hivi ni nani alipopularize jina la tigo limaanishe anus 🤔, maana jina la kampuni ya tigo kuhusianishwa na anus nakumbuka ilianza waay back kabla hata ya YouTube na insta, miaka ya 2007 Mzee wa kupambania Infropreneur The only mrangi DIVISHENI FOO
Kampuni ya Mawasiliano ya Tigo Tanzania imebadilishwa jina na sasa itajulikana kama YAS kuanzia leo. Mabadiliko haya yametangazwa mchana huu jijini Dar es Salaam katika hafla iliyohudhuriwa na watu mbalimbali na kuongozwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa.
Taarifa zaidi zitaendelea kufu
Ila Ile maana PENDWA ibaki vile vile tunavyoiitaga huku Telegram - TIGO.
Kampuni ya Mawasiliano ya Tigo Tanzania imebadilishwa jina na sasa itajulikana kama YAS kuanzia leo. Mabadiliko haya yametangazwa mchana huu jijini Dar es Salaam katika hafla iliyohudhuriwa na watu mbalimbali na kuongozwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa.
Taarifa zaidi zitaendelea kufuatia
Itakuwa ulikuwa hujazaliwaAcha uongo Mara ya nne? Lini waliitwa bazi ni bomba?
3 Tu
1.Mobitel
2.Tigo
3.Yas
Na huko NYASH sasa ni zaidi ya tigoNadhani wameona jina lao limechafuliwa na wazibua mitaro wala tigo.
Hakuna kampuni inaitwa tiGO,hii ni brand kwa hiyo wamebadilisha tu brand. Swala la kukwepa kodi halipo.nataka kufungua kampuni nakuipa jina tiGO je kuna tatizo