Zile hela anazokweli? Mbona amechoka sana???Halafu jamaa aliyeuza Twitter huyu hapa, Jack Patrick Dorsey.
Zile dola za kimarekani Billion 44, Sijui kawekeza wapi?
View attachment 3186504
kesho ntamuulizaHalafu jamaa aliyeuza Twitter huyu hapa, Jack Patrick Dorsey.
Zile dola za kimarekani Billion 44, Sijui kawekeza wapi?
View attachment 3186504
Hao aliowapoteza ni Us, na sababu kubwa ni uchaguzi.From X to Bluesky: why are people fleeing Elon Musk’s ‘digital town square’?
Musk’s platform has lost 2.7 million active US users in two months, while its rival has gained 2.5 millionamp.theguardian.com
Hela hazijifishi bwasheeHuyu kaburu wa south Afrika anajiona ni juu ya Kila mtu hapa Duniani, arrogant alafu mbaguzi anaingilia hata serikali za nchi nyingne Ana twit upumbavu.. Mara nyingne
Kampuni karbu zote anazoendesha baadhi zilikuwepo tayari.. Mkesema yeye ndio tajiri Namba Moja Duniani
Mfalme wa Saudia akawe wapi, wamiliki wa Toyota Japan je? Wamiliki wa apple je?
Dunia inaendeshwa kwa uwongo na Forbes ni waongo wakuu kwa kutunga ranks kutokana maslahi nao wanachukua rushwa pia.
Inatakiwa serikali ya marekani itangaze Nani tajiri Namba Moja Duniani ndio watu wangeshangaa
.. Hata hapa bongo Kuna redio wamiliki wake wamejificha na wanao jitangaza ni zao wanapiga kelele ni zao
Ila serikali haisemi japo inazo document na wanajua ukweli wote.
ushasema neno dick ni kiungo na hii ndio maana yake dick sio tusi inategemea imetumika katika mazingira gani, hata neno mkono, miguu, nywele ni viungo na sio tusi ila inategemea na mazingira utakayo tumia
nikikupa mfano nitakuwa nime maanisha tusi hivyo ninakuwa nimetukana kwahiyo sitakupa mfano jiongeze mwenyeweMfano wa mazingira yatakayoonesha kwamba mkono ni tusi
Jamaa sijui hela kawekeza wapi?Zile hela anazokweli? Mbona amechoka sana???
Wakuje JamiiForums , They are warmly welcomedMtandao wa X uliokuwa maarufu kwa Serikali na viongozi wake umepoteza heshima baada ya kuitwa X, viongozi wengi wa Serikali duniani wameupuuzia mbali
Zamani ukiitwa Twitter, viongozi wengi wa Serikali na dini duniani waliutumia kama chombo cha mawasiliano cha watu wenye hadhi kubwa duniani
Baada ya kuitwa X viongozi wengi wa Serikali duniani wameacha kutumia huku wengine wakiwa wamefuta account zao wakidai ni mtandao usio na heshima kama ulivyokuwa ukiitwa zamani Twitter
Tajiri Elon Musk alikosa washauri wazuri wakati alipokuwa akinunua kampuni ya Twitter kama sivyo lengo lake lilikuwa kuharibu kabisa Twitter kama kawaida yake amekuwa mtu wa kutaka kununua makampuni lakini akishafanikiwa anaharibu kwa kuita majina mabaya yasiyofaa
Elon Musk haishii hapo tu, aliwahi kutoa dau la $1B kwa kampuni ya Wikipedia na kuwaeleza kuwa angetaka kununua kampuni hiyo lakini kwa sharti moja la Wikipedia kubadilisha jina na kuitwa Dickipedia
Baada ya kutoa sharti hilo kampuni ya Wikipedia ilisema haiuzwi kwasababu Dick kwa slang ya Marekani ni tusi linamaanisha kiungo cha uzazi cha mwanaume
Elon Musk amekuwa na changamoto kwasababu akili yake nikama inawaza matusi
X nikifupi cha maudhui ya ngono
Dick ni sehemu ya siri ya mwanaume
Kwanini amekuwa mtu wa kuwaza tu matusi???
nikikupa mfano nitakuwa nime maanisha tusi hivyo ninakuwa nimetukana kwahiyo sitakupa mfano jiongeze mwenyewe
kwa kifupi amini kila kitu kinaweza kuwa kibaya na pia kinaweza kuwa kizuri, kila kitu kina negative na positive sawaUnazunguka sana
Ningeweza kujiongeza nisingeomba huo mfano
kwa kifupi amini kila kitu kinaweza kuwa kibaya na pia kinaweza kuwa kizuri, kila kitu kina negative na positive sawa
nimeshindwa kwasababu sitaki kutukana nikikupa mifano nakuwa natukana umeelewa?SIdhani kama ni kila kitu
Umeona mwenyewe umeshindwa kutolea mfano wa ulichoandika