Hayo yamesemwa na Kiongozi wa jopo la watetezi wa haki za Binadamu Anna Hega wakati walipokutana na waandishi wa habari jana.
My take:
1. Jambo kubwa kama hili la Uhaini haliwezi kupelekwa mahakamani bila prior approval/ or the President to be informed. Anna Hega, sahau hilo. Lazima Samia alikuwa briefed na akawapa GO AHEARD
2. Ukimya huu wa Rais Samia kuhusu bandari saga, most likely is not her own making, ni "syndicate" ya washauri wake wa karibu hasa vyombo vya usalama wa taifa kuwa wapuuze usijibu, hivyo kila linalofanyika kuhusu sakata la bandari, "UHAINI" lazima awe notified PRIOR na yeye kutoa go ahead
3. Msisahau ya Mbowe na ugaidi, anarudia mle mle alilokwisha lifanya kwa wengine, ni katika ku consolidate power. Sidhani kama kweli hakuna watu waliomwendea kuwa hili unalolifanya haliko sawa, lkn mkumbuke alivyoshupaza shingo mpaka baada ya miezi 8 ya mateso ya Mbowe.
4. Finally, Samia is becoming AGRESSIVE SUPREME OF POWER and CONSOLIDATION of the same. Ni vigumu kuacha mbinu zozote ambazo washauri wake wanamshauri kuwa zitawanyamazisha wapinzani wake!
5. THIS SAGA IS NOT GOING TO END ANY TIME SOON!
My take:
1. Jambo kubwa kama hili la Uhaini haliwezi kupelekwa mahakamani bila prior approval/ or the President to be informed. Anna Hega, sahau hilo. Lazima Samia alikuwa briefed na akawapa GO AHEARD
2. Ukimya huu wa Rais Samia kuhusu bandari saga, most likely is not her own making, ni "syndicate" ya washauri wake wa karibu hasa vyombo vya usalama wa taifa kuwa wapuuze usijibu, hivyo kila linalofanyika kuhusu sakata la bandari, "UHAINI" lazima awe notified PRIOR na yeye kutoa go ahead
3. Msisahau ya Mbowe na ugaidi, anarudia mle mle alilokwisha lifanya kwa wengine, ni katika ku consolidate power. Sidhani kama kweli hakuna watu waliomwendea kuwa hili unalolifanya haliko sawa, lkn mkumbuke alivyoshupaza shingo mpaka baada ya miezi 8 ya mateso ya Mbowe.
4. Finally, Samia is becoming AGRESSIVE SUPREME OF POWER and CONSOLIDATION of the same. Ni vigumu kuacha mbinu zozote ambazo washauri wake wanamshauri kuwa zitawanyamazisha wapinzani wake!
5. THIS SAGA IS NOT GOING TO END ANY TIME SOON!