Mtangazaji Adam Mchomvu amwomba radhi JPM kwa kutompigia Kura mwaka jana

kejeli flani hivi...anachokisema anamaanish vice versa

Kumbe Kiswahili unakijua vizuri tu sasa ' Shobo ' zote zile kutuandikia kwa Kiingereza zilikuwa za nini? Haya malizia basi tutafsirie hapo katika neno ' vice versa ' kwani umeniacha tena sijakuelewa Mkuu!
 

Mbona ' unapovuka ' hivi Mkuu? Taratibu kwani huu mchezo hauhitaji hasira!
 
Njaa mbaya jamani!
Acha kujipendekeza kwa mwanaume mwenzie
Niseme tu kutojitambua nao ni wendawazimu.

Unajua mtu akikosa cha maana anabakia kusifia hata ujinga.
Mulize ccm imefanya nini??. Utasikia oooh aaaah, ila jibu la moja kwa moja hatatoa.
 
Anatangaza kipindi gani huyo mshikaji wako?
 
ukweli utabaki ukweli tu!!
magufuli anafanya kazi nzuri sana .
na anayoyafanya ndiyo yale badiliko halisi ambayo watanzania waliyahitaji..
huyu mtangazaji kafanya maamuzi sahihi yanayopaswa kuigwa na vijana.
ukiweka kando ushabiki wa siasa ni wazi rais anastahili pongezi
 
Unajua mtu akikosa cha maana anabakia kusifia hata ujinga.
Mulize ccm imefanya nini??. Utasikia oooh aaaah, ila jibu la moja kwa moja hatatoa.

mmmh!!hadi leo hujui kazi alizozfanya rais wetu!!?daaah upo Tz ip
 
Sawa sawa msemaji wao... Shasahau...kumbe anafanyia kile kituo cha..... Mk fm.... Kaendeleza utamaduni wao wa nitoke vipi.
 
Gentamycine hivi we mkuu wa wilaya wapi vile nikumbushe kidogo nimesahau
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Kwani we mwanamke
 
mmmh!!hadi leo hujui kazi alizozfanya rais wetu!!?daaah upo Tz ip
IPTL....ESCROW.....NEW KATIBA.....LUGUMI.hizi bado pamoja na mahakama ya Fisadi...DARAJA LA KIGAMBONI....KAWATUMBUWA MAFISADI.....MACHINGA RUKSA BIASHARA BARABARANI...WAKUU WAPYA WA MIKOA NA WILAYA..... UWANJA DODOMA NA BONGE LA MSIKITI....NDEGE MBILI MPYA....etc etc.hizi tayari na zingine zaja.
 
Alimpigia Mh.Magufuri anatafuta kick tuu huyo ni ukizingatia akili ya kuzaliwa tee na shule hana kabisa amejitahidi sana kwa mtu aliekosa vyote hivyo japo kuwa hivyo alivyo.,
 
Hivi bado kuna wilaya hazijapangiwa wakuu wa wilaya au wakurugenzi!!?

Wale waliotumbuliwa Mwanza (RAS na mwenzake) nafikiri nafasi zao bado ziko wazi.... Any way, mambo mengine yanatoa picha halisi ya ule utafiti wa kila wa-TZ wanne mmoja ni MAJINUNI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…