Mtangazaji Captain G. Habash alazwa JKCI kwa tatizo la Shinikizo la Damu

Mtangazaji Captain G. Habash alazwa JKCI kwa tatizo la Shinikizo la Damu

Mtangazaji nguli wa show za jioni kutoka Kituo cha Redio cha Clouds FM, Gadner G. Habash amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kutokana na kusumbuliwa na tatizo la Pressure (Shinikizo la Damu).

Kwa mujibu wa taarifa aliyoitoa mwenyewe kupitia mahojiano yake na kipindi cha XXL, Kaptein amesema alianza kujisikia vibaya wiki chache zilizopita baadaye akapelekwa Hospitali ambako aligundulika kuwa na shida ambayo ilisababisha alazwe JKCI.

rip
 
Addiction pekee inayonisumbua ni kupenda punani
Punani kwa sana inaua
Pombe nyingi sana inaua
Sigara ukivuta kwa kiasi haina madhara

Niambie mlevi gani wa ngano anaefikisha Miaka 98 karne hii? Wavuta sigara kibao wanagonga miaka 98/99 hawaumwi presha kisukari sijui nini

NB: Siwasapoti wavuta Sigara Ila Pombe na Sigara kwangu Mimi Bora Sigara SIO Pombe, Sigara haileweshi Pombe inatibua ubongo inatibua Moyo inapandisha mapigo ya moyo inapandisha msukumo wa Damu
 
Punani kwa sana inaua
Pombe nyingi sana inaua
Sigara ukivuta kwa kiasi haina madhara

Niambie mlevi gani wa ngano anaefikisha Miaka 98 karne hii? Wavuta sigara kibao wanagonga miaka 98/99 hawaumwi presha kisukari sijui nini

NB: Siwasapoti wavuta Sigara Ila Pombe na Sigara kwangu Mimi Bora Sigara SIO Pombe, Sigara haileweshi Pombe inatibua ubongo inatibua Moyo inapandisha mapigo ya moyo inapandisha msukumo wa Damu
Wenyewe wanakwambia piga vyote kwa pamoja ubalance mzani, piga gambe na fegi.

Fegi sijui inabana mabafu, gambe inatanua.

Pombe haiui ila ulevi ndo unaua, ukiwa unakunywa kwa kiasi na unakula fresh haitakudhiru.

Mshua alikula 70+ yrs na alianza kugambeka akiwa bado chalii tu ila sijawahi kumuona akimiss msosi hata kwa bahati mbaya, milo yote 3.

Sasa walevi wengi wa kisasa wanasema wanakula ila deepdown hawali, mtu anakula vimishkaki viwili na ndizi mbili anaenda kuchapa Vant.

Na kingine walevi wengi wanaendeshwa na tamaa, mtu anajua hajala vizuri ila akiitwa kijiweni akale pombe anaenda, walevi wengi hawajui kukataa pombe.
 
Mtangazaji nguli wa show za jioni kutoka Kituo cha Redio cha Clouds FM, Gadner G. Habash amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kutokana na kusumbuliwa na tatizo la Pressure (Shinikizo la Damu).

Kwa mujibu wa taarifa aliyoitoa mwenyewe kupitia mahojiano yake na kipindi cha XXL, Kaptein amesema alianza kujisikia vibaya wiki chache zilizopita baadaye akapelekwa Hospitali ambako aligundulika kuwa na shida ambayo ilisababisha alazwe JKCI.


Niliwahi kuandika Life After Life: Je, Wafu huwaita watu kifoni? Kuna walio hai huamua kuwafuata Wafu? Wapenzi mmoja akitangulia, mwenzake anafuata!
Wanabodi,

Jee Roho za Waliokufa Zinaweza Kuwaita Walio Hai?.
Jibu ni yes, ndio maana kwa baadhi ya mila, wamama wajawazito hawaruhusiwi kwenda makaburini, ili waliolala wasije wakaviita vichanga, na matokeo yake vikaitika na kupata still born.
Kwenye mahusiano kuna kitu kinaitwa Soul Mates, na hii ndio subject matter ya uzi wangu huu.

Hitimisho.
Kwa vile kwa sisi binadamu wote hapa duniani tuko safari tuu, kuelekea kwenye makao ya milele na maisha ya milele, tusiwalilie waliotangulia na kuhuzunika saana kwa kuwakosa, tuhuzunike kibinaadamu, kwa kulia kwa kiasi tuu, kisha maisha ni lazima yaendelee, bali pia tujiangalie sisi wenyewe, kwa nafsi zetu, jee tumejiandaa kuitika wito wakati siku yetu na saa yetu ikitakapofika?.

Kesheni mkiomba kwa maana hamjui siku wala saa.
RIP Ephraim Kibonde na Ruge Mutahaba na wengine wote waliotangulia, nyinyi mbele sisi tuko nyuma yenu, sote sisi ni wa Kwake na Kwake tutarejea.
Paskali
Marafiki waliotangulia, wanazidi kuitana...

View: https://youtube.com/shorts/KMVmvFPjui4?si=G28gCVGn1VUc-Jbr
nyinyi mbele sisi tuko nyuma yenu, sote sisi ni wa Kwake na Kwake tutarejea.
Rip Gardner G Habash, Kapitain
Paskali
 
Mimi pia Ni shuhuda niliweka Uzi wangu wa ajari humu..

Still nipo kwenye mazoezi ya kukanyagia mguu wangu ndio najifunza Tena kusimama na kutembea with CRUTCHES Kama mtoto

For sure unayo yaeleza wife ameyafanya, anayafanya na Mara ya mwisho kuyafanya Ni siku ya Jana amekua msaada Sana mkuu vijana Hawa tuwaelimishe

Mimi nilijiona imara Sana na sikuwai waza Wala kujua naweza pata ajari Wala kuja kuvunjika mpaka Sasa siwezi kufanya movement kutembea so vijana wanasumbuliwa na KIBURI cha uzima

Still nipo na recovery wiki hii niweweza kulala kiubavu ubavu pande zote mbili kulia na kushoto owky ngoja niamke nikafanye mazoezi ya kukanyagia mguu kwa kutembea with CRUTCHES

NB.
Upo sahihi na yote uliyo yaeleza Ni ya kweli na Mimi Ni mhanga wa uliyo yapitia vijana kataa ndoa wajifunze
Pole sana brother.
 
No need to feel sorry for his inevitable and ultimate demise, given the conscious choices he made in life and the fact that he was an obviously very intelligent individual.
 
Hata hii kidogo tu? Mimi kila siku jioni baada ya mihangaiko mingi ya mchana huwa natulia mahali,nagonga k vant moja ndogo na maji lita,itanipa shida pia? Nimeogopa sana.
K- vant inasaidia nini au ina ladha gani? Naomba unieleweshe
Huwa mnasema pombe chungu, kwanini mnakunywa?
Tuepuke vitu vinavyoepukika mfano pombe
Kwanini tusiopt maji ukizidiwa piga mtindi
 
Msipende sana kusingizia pombe hizo ni athari za dawa za kufubaza virusi vya ukimwi.miaka 15 yote unatumia vidonge unategemea nini? Unadhani figo yako na maini yatakuwa salama?
Kuna watu nawajua tangu utotoni wanakunywa pombe mpaka sasa wapo na miaka 80,75,70
Kabisa mkuu, matumizi ya dawa yoyote Kwa muda mrefu sio jambo zuri Kwa afya .
 
Hivi kuna mtu amewahi kupelekwa JKCI kwa shida ya moyo akapona?

Shida ni nini?

Utaalamu mdogo au tunachelewa kwenda hapo?

Rest easy Gardner.
 
Back
Top Bottom