Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Ni suala la muda tukuna watu wanakula gambe ila hadi leo wako sawa sana tena wengi kuliko wanao pata madhara
Fanya utafiti kuhusu athari za pombe kali kwenye mwili wa binadamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni suala la muda tukuna watu wanakula gambe ila hadi leo wako sawa sana tena wengi kuliko wanao pata madhara
kuna watu wanakula gambe ila hadi leo wako sawa sana tena wengi kuliko wanao pata madhara
Mgonjwa ni mlevi sana ....ila pole yake...... toka nimejua huyu wana kuanzia mida ya saa moja usiku sijawahi kumuona akiwa mzimaMtangazaji nguli wa show za jioni kutoka Kituo cha Redio cha Clouds FM, Gadner G. Habash amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kutokana na kusumbuliwa na tatizo la Pressure (Shinikizo la Damu).
Kwa mujibu wa taarifa aliyoitoa mwenyewe kupitia mahojiano yake na kipindi cha XXL, Kapitein amesema alianza kujisikia vibaya wiki chache zilizopita baadaye akapelekwa Hospitali ambako aligundulika kuwa na shida ambayo ilisababisha alazwe JKCI.
😂😂Ana mke? Mda huu uitaji wa mke unaongezeka?!?! Wazee wa kataa ndoa kuna kuumwa eti.
Aisee hii inakuwa ni majuto. Unatamani husingeishi life style hiyo uko nyuma.Huyu na Prof Jay walikuwa watu wa gambe kali sana
Nguvu za ujana wengi zinawadanganya ukiwashauri kuhusu pombe kali na athari zake wanakuona mshamba tu
Ila umri unaposogea kimtindo tunaanza kuelewana
I wish him a speedy recovery
AsantePole sana kwake.....
What about moderate drinking from ur experience nao pia wanakumbwa na same fate?Ungekuwa unafanya kazi hapo muhimbili kitengo cha moyo ungeujua ukweli wote
Pombe lazima mwisho wake uwe mbaya I speak from my experience
Huwa ni kipindi kigumu sana kwa mgonjwa awe mgonjwa kitandani halafu anaandamwa na majuto huwa mpaka wanalia wenyewe tu. Inasikitisha sanaAisee hii inakuwa ni majuto. Unatamani husingeishi life style hiyo uko nyuma.
Akipata nafuu atakuwa mfuatiliaji mtiifu wa zile video za Dr. JanabiAisee hii inakuwa ni majuto. Unatamani husingeishi life style hiyo uko nyuma.
Mungu amsaidie apone yule x kutwa kuulizia yukoje bado anajikongoja dezee dozee mara viatu kachanganya vyombo ndiyo yupo hospital sasa hajikongoji tena!Mtangazaji nguli wa show za jioni kutoka Kituo cha Redio cha Clouds FM, Gadner G. Habash amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kutokana na kusumbuliwa na tatizo la Pressure (Shinikizo la Damu).
Kwa mujibu wa taarifa aliyoitoa mwenyewe kupitia mahojiano yake na kipindi cha XXL, Kapitein amesema alianza kujisikia vibaya wiki chache zilizopita baadaye akapelekwa Hospitali ambako aligundulika kuwa na shida ambayo ilisababisha alazwe JKCI.
Bora mbususuHuyu na Prof Jay walikuwa watu wa gambe kali sana
Nguvu za ujana wengi zinawadanganya ukiwashauri kuhusu pombe kali na athari zake wanakuona mshamba tu
Ila umri unaposogea kimtindo tunaanza kuelewana
I wish him a speedy recovery
Nilitaka kusema hv ..hospital waangalie na figoMungu amsaidie...inawezekana pombe ikawa imechangia
Ndio mana ya platform kila mtu ana uwanja mpana apa kwa iyo wacha kila mtu aongee mkúuTumpe pole na kumuombea uponyaji.Naona wengine mnaingilia maisha binafsi ya mtu bila kujua kua kila mtu anaweza kuumwa kwa namna yake iwe unafanya ayo ambayo unaona mwenzako anayofanya anakosea.Na kufa kuko pale pale ata uishi maisha ya namna gani.Pole sana captain.