Mtangazaji Captain G. Habash alazwa JKCI kwa tatizo la Shinikizo la Damu

Mtangazaji Captain G. Habash alazwa JKCI kwa tatizo la Shinikizo la Damu

Pombe inaweza kuwa sababu ya moyo...figo...ini nk lakin acheni kunywa madawa kiholela..mfano unakuta mtu ni H.I.V positive so inabid aanze dawa za A.R.V ,s na hiz dawa zinapelekea sana kuua figo....endapo mgonjwa atatumia kwa muda mrefu..sasa unakuta mtu anazitumia na bado anakunywa pombe kupita kiasi...kwanza pole yake maradhi ni ya kila mtu...wapo wanao kufa kwa ajali...wapo wanaopata ukilema...cha kushukuru tu kama una afya njema...Mshukuru tu Mungu...stop dealing with side effects...just deal with causatve....unamwita mlevi sawa ushawah kaa nae ukamuuliza kwa nn anakunywa? Anyway Mwenyezi Mungu ampe afya njema
 
Ni suala la muda tu

Fanya utafiti kuhusu athari za pombe kali kwenye mwili wa binadamu
Ni suala la muda tu

Fanya utafiti kuhusu athari za pombe kali kwenye mwili wa binadamu

Janabi alisema ukipima kiuno chako ukakuta kipimo ni "37-40 in" ujue upo kwenye hatari ni mgonjwa wa kisukari mtarajiwa, presha na maradhi mengine mengi
MwenyeziMungu amfanyie wepesi arudi katika afya yake imara
 
Back
Top Bottom