Mpemba Mimi
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 1,656
- 2,483
Mkuu - Kuna watu wanajua kuigiza hii dunia....shauri yako...hata mkae mpaka 60 - unakimbiwa tu...Tofauti yangu na wewe ni experience, usiharakishe, utakuja nielewa, mwanamke ni wa Muhimu, hasa unayekuwa naye mda mrefu, ups and down ans create bond
Huwezi oa mke ukina wa 30 mkavumiliana mpaka mkafika 45 au 50 akakimbia, hao ni mahawara wenu.