Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hii kidogo tu? Mimi kila siku jioni baada ya mihangaiko mingi ya mchana huwa natulia mahali,nagonga k vant moja ndogo na maji lita,itanipa shida pia? Nimeogopa sana.Pombe Siyo Chai
Na wewe si ni ngombe? Eti?Kwa wale wanaotaka kuacha pombe
Kuna mbege tamu sana kibamba
MkuuHata hii kidogo tu? Mimi kila siku jioni baada ya mihangaiko mingi ya mchana huwa natulia mahali,nagonga k vant moja ndogo na maji lita,itanipa shida pia? Nimeogopa sana.
MkuuHata hii kidogo tu? Mimi kila siku jioni baada ya mihangaiko mingi ya mchana huwa natulia mahali,nagonga k vant moja ndogo na maji lita,itanipa shida pia? Nimeogopa sana.
Lishe inayolewesha,usichanganye mambo.Mbege siyo pombe? Acha utani
Asante sana mkuu, niungie hiyo,kuqnzia kesho niachane na grants,konyagi,vant, fanya chap mtu wangu.Mkuu
Acha Na Pombe Tunazoziita Inueni Mioyo, Twainua Kwa Bwana
Ambazo Ukinywa Unakunja Sura Mdomo Unanuka
Piga Hii Zabibu Kwa Afya Yako View attachment 2954751View attachment 2954751View attachment 2954751
Yaanu unaoa ili ukiumwa mkeo akutibu, au! Ndoa ni upumbavu.
Hizo ni story tu mimi baba yangu mkubwa now ana 95 anapiga gambe na fegi ..baba yangu nae kafariki na 82yrz akiwa na figo,maini yake yako fiti...presha humpata mtu kuanzia miaka 60 kuendelea,hao wala urojo na plau ndio wagonjwa wa sukari n presha,figo balaaaUngekuwa unafanya kazi hapo muhimbili kitengo cha moyo ungeujua ukweli wote
Pombe lazima mwisho wake uwe mbaya I speak from my experience
Kunywa beer mbili kwa wiki sio mbaya. Huyu ndugu yenu kuanzia asubuhi Kama hayuko kazini. Alikua anatanua moyo na ku overwork ini.Tuache kunywa beer? Aisee
Hizo ni story tu mimi baba yangu mkubwa now ana 95 anapiga gambe na fegi ..baba yangu nae kafariki na 82yrz akiwa na figo,maini yake yako fiti...presha humpata mtu kuanzia miaka 60 kuendelea,hao wala urojo na plau ndio wagonjwa wa sukari n presha,figo balaaa
Nafikiri yule mama wa kibamba wauza mbege karibu wote wa dar wanachukulia kwake ni very OGMbege siyo pombe? Acha utani
Ni OG Kutoka Moshi? Hawachanganyi na Gongo?
Hazina madhara,mbege ni lishe tuHazina madhara tuhamie huko? [emoji23][emoji23][emoji23]
Haya toa location mkuu!Mbege ni lisheNafikiri yule mama wa kibamba wauza mbege karibu wote wa dar wanachukulia kwake ni very OG
Ya kuanzia mwezi wa sita au wa saba ndio inakuwaga kiwango zaidiHazina madhara,mbege ni lishe tu
Ni nani huyo?Mtangazaji nguli wa show za jioni kutoka Kituo cha Redio cha Clouds FM, Gadner G. Habash amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kutokana na kusumbuliwa na tatizo la Pressure (Shinikizo la Damu).
Kwa mujibu wa taarifa aliyoitoa mwenyewe kupitia mahojiano yake na kipindi cha XXL, Kaptein amesema alianza kujisikia vibaya wiki chache zilizopita baadaye akapelekwa Hospitali ambako aligundulika kuwa na shida ambayo ilisababisha alazwe JKCI.
We mbona kama mwana kabisa Hadi viwiko vyake unavijua?Pole Gardner, ila pombe aache sasa, muda sana ashaambiwa, hadi viwiko vya mikono ina vifundo vikubwa ni hatari sana..!!