Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What about moderate drinking from ur experience nao pia wanakumbwa na same fate?
Too late,point of no return...Aisee hii inakuwa ni majuto. Unatamani husingeishi life style hiyo uko nyuma.
Kweli. Mfano wa Maradhi kama diabetes siku hizi kisababishi ni pombe. Healthy life Kadiri ya uwezo wako ina faida sana.Ungekuwa unafanya kazi hapo muhimbili kitengo cha moyo ungeujua ukweli wote
Pombe lazima mwisho wake uwe mbaya I speak from my experience
Mwanamke ambaye hajaolewa ndio huwa haumwi sio?
Sasa katika hali hiyo anahitajika mke au madaktari?
Shirikisha ubongo wako kabla ya kucomment
Kuna wakati hadi mida ya alfajiri walikamatwa na trafiki ikarushwa mtandaoniKuna kipindi capt G na Kibs ilikua wakitoka tu kwa kipindi saa 1 usiku ni tungi mpk 12 alfajiri
Professor Janabi is typing.........Mtangazaji nguli wa show za jioni kutoka Kituo cha Redio cha Clouds FM, Gadner G. Habash amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kutokana na kusumbuliwa na tatizo la Pressure (Shinikizo la Damu).
Kwa mujibu wa taarifa aliyoitoa mwenyewe kupitia mahojiano yake na kipindi cha XXL, Kapitein amesema alianza kujisikia vibaya wiki chache zilizopita baadaye akapelekwa Hospitali ambako aligundulika kuwa na shida ambayo ilisababisha alazwe JKCI.
Pombe Siyo ChaiUngekuwa unafanya kazi hapo muhimbili kitengo cha moyo ungeujua ukweli wote
Pombe lazima mwisho wake uwe mbaya I speak from my experience
Tofauti yangu na wewe ni moja tu, umri na experience, Hakuna haraka, utakuwa utanielewa.
Ukute tayari 🤠
Wenzako walikimbiwa na wake zao wakiwa hoi vitandani wagonjwaTofauti yangu na wewe ni moja tu, umri na experience, Hakuna haraka, utakuwa utanielewa.
Yeah..Nakumbuka sanaKuna wakati hadi mida ya alfajiri walikamatwa na trafiki ikarushwa mtandaoni
Mkuu unafikiri ukiwa na mwanamke ndo atakuokoa na mauti au maradhi ?
Wenzako walikimbiwa na wake zao wakiwa hoi vitandani wagonjwa
Mama zao wakabaki kuwauguza bega kwa bega wakiwa pembeni ya vitanda vyao mpaka walipopona au umauti ulipowafikia
Nenda mahakamani ukaone kama talaka zinachagua umriHuwezi oa mke ukina wa 30 mkavumiliana mpaka mkafika 45 au 50 akakimbia, hao ni mahawara wenu.