Mtangazaji Captain G. Habash alazwa JKCI kwa tatizo la Shinikizo la Damu

Hata hii kidogo tu? Mimi kila siku jioni baada ya mihangaiko mingi ya mchana huwa natulia mahali,nagonga k vant moja ndogo na maji lita,itanipa shida pia? Nimeogopa sana.
Mkuu
Acha Na Pombe Tunazoziita Inueni Mioyo, Twainua Kwa Bwana
Ambazo Ukinywa Unakunja Sura Mdomo Unanuka

Piga Hii Zabibu Kwa Afya Yako
 
Ungekuwa unafanya kazi hapo muhimbili kitengo cha moyo ungeujua ukweli wote

Pombe lazima mwisho wake uwe mbaya I speak from my experience
Hizo ni story tu mimi baba yangu mkubwa now ana 95 anapiga gambe na fegi ..baba yangu nae kafariki na 82yrz akiwa na figo,maini yake yako fiti...presha humpata mtu kuanzia miaka 60 kuendelea,hao wala urojo na plau ndio wagonjwa wa sukari n presha,figo balaaa
 


Ina maana Unataka kusema kwakuwa babu yako na baba hawajapata madhara basi sigara na pombe ni safe .

??????
 
Mbege ni lisheNafikiri yule mama wa kibamba wauza mbege karibu wote wa dar wanachukulia kwake ni very OG

Ya kuanzia mwezi wa sita au wa saba ndio inakuwaga kiwango zaidiHazina madhara,mbege ni lishe tu
Haya toa location mkuu!
 
Ni nani huyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…