Sasa unafikiri wanajenga kwa pesa za mjomba ako!!!
Iwe kwa mkopo haibadiliki chochote, kwasababu bado ni pesa za watanzania! Ikijenga kwa Mkopo hiyoulichokijenga ni chako na utakuwa umejenga kwa nguvu zako! Kwani huo Mkopo utalipwa na aliyekukopesha?
Ni pesa zetu za ndani ni pesa za Watanzania haijalishi hata kama ni mkopo