Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Vipi mkuu mbona kama umeghafilika 🤣🤣Duu mshahara hapewi 🤣🤣🤣🤣🤣,una,nasikia wale watoto wa Kings nao walikuwa hapewi hata ganji wanalala sebureni au hawa hufaam.
Ila jamaa unadata za WCB,ila za King's hauna.
Mimi sitegemei uwasigie Wasafi na haitokuja kutokea.
Amng'oe vipi mzee baba huyo Dozen akienda Wasafi ni ameenda tawi lile lile la Clouds, au umesahau Kusaga anazimiliki zote?Bado hatamsaidia huyu.
Avunje tu kibubu amung'oe dozen na demu mmoja wapo pale xxl
Wewe tena bingwa wa kuhamisha magoli 🤣🤣🤣 wewe na Robidinho 1 3 3.Vipi mkuu mbona kama umeghafilika 🤣🤣
Bango ni kubwa sana,bango linawaka mti wa x-mas,bango limeanza kutembea.Waliopo karibu na innocent dependent wamshike asijeakajinyonga jamani.
🤣 Bango limeunguaBango ni kubwa sana,bango linawaka mti wa x-mas,bango limeanza kutembea.
Lily Ommy anapata mshahara wa ki-MVP Jonijo akaona kama demand yake imechukuliwa poa-poaWewe tena bingwa wa kuhamisha magoli 🤣🤣🤣 wewe na Robidinho 1 3 3.
Hahah linateketea kabisa.🤣 Bango limeungua
Bango halijalipiwa luku.Hahah linateketea kabisa.
Wale jamaa bado wapo ukiwasikia kwa mara ya kwanza huwezi kudhani kama ni Radio yenye masafa machache.Kings ilianza kusikika vizuri sana,sijajua kwa sasa kama bado wana moto uleule wa mwanzo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Me pia SISHANGAI unapolazimisha tusifie...tuendelee kutoshangaana bro.Hata wewe si shangai.
Kama ulikuwa humjui n ww boss..Haya ana kipaji alafu anafanya kazi Radio Abood angefahamika kiasi hiki?
Alikuwa Times alikuwa na huu umaarufu?
Wasafi bwana wanafurahisha sana hahahahahaaaaaaa..wanajikutaga wanajuuuuuua haya WASANII WANAKIMBIA,WATANGAZAJI WANAKIMBIA,WANAWAKE MLOZAA NAO WANAKIMBIA mna matatizo gani?Taarifa zinasema kwamba mtangazaji na interviewer mwenye kipaji cha kipekee hapa bongo "Jonijoo" ametoka wasafi na kusajiliwa na Majizo wa EFM na TVE
Jonijoo kwa wakati alipokua Wasafi Media alihost vipindi kadhaa ikiwemo "The Bar tender" na baadhi ya interview za wasafi FM.
Wangekimbiwa wengine ungesikia kashfa zao kunguru hao...eeeh hajui biashara,hajui nn, kama walivyoondoka madogo wa KINGS wao wakasahau kabisa kama hata mavoko na MMAKONDE waliondoka kwao pia, sasa kaondoka JONIJOO wamekuwa baridiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kama hawapo sheeeenzi.Walimdanganya Jamaa wakachukua idea yake ya kipindi cha Now you Know Wakaamishia Bartender Sasa kijana kastuka kakimbia
Kwa sisi wapenda mpira ABOOD kwetu bonge la redio na YAHAYA LIMANGWE ni Bonge la mtangazaji watu wanatutangazia hadi game za klabu bingwa Afrika tena wanasafiri kabisaaaa huyo hajui anachoongeaKwani Mkuu Abood unaichukulia simple simple eehh..? Endelea hivyo hivyo na zarau zako
Labda ww ndo umemjua kupitia wasafi..mabos wako wenyewe walimjua kabla ndo maana wakamsaini.Umaarufu alionao sasa kaupatia YouTube? Funny [emoji16]