Sasa si uombe kazi ili ukatangaze wewe! Haya makasiriko yako yanakusaidia nini ndugu!!Jamaa maneno meeeengi hata hayahusiani na game yenyewe. Akimtaja mchezaji ataanza kumchambua weeee hadi club alizopita, badala ya kutangaza mpira unaochezwa uwanjani yeye ni ujuaji na story tu. Yaani utafikiri yupo kwenye kipindi cha majadiliano.
Too much boring.
Halafu hata tone/sauti yake haiko kiutangazaji wa soka, utafikiri anaimba shairi
Povu hilo,kama vipi kaombe hiyo kazi utangaze wewe maana una hasira sanaKama ni wewe nakushauri unapotangaza mpira jaribu kukaza sauti, pia focus kwenye mchezo uwanjani na sio kuanza story za na maneno ya MIPASHO. Jifunze kwa manguli kama Chales Hilary. Pia fuatilia watangazaji wa ligi kubwa kama EPL au Laliga uone wenzako wanapojikita na yanayoendelea kwenye pitch.
Eti mtangazaji unatangaza mpira unaanza kusema " huyu Keita anazuia pale na kumuambia wewe siwezi kukuruhusu kirahisi unipite, kwanza hujui mimi ni kisiki cha mpingo waulize wenzako, mimi nimeaga kwetu na taifa linanitegemea kwahiyo hapa ni ngome ya vifaru na mizinga, huyu keita ni mzaliwa wa .... ni baba wa watoto watatu japo hii ni ndoa yake ya pili, pia kijiji Chao kinaitwa.....alikuwa kwa tabu sana huyu".
Imagine umbea wote huo anaoeleza wakati huo game inaendelea na haizungumzii. Halafu anarudi tena kwa mchezaji mwingine anaitwa labda Koulbaly utasikia " Koulbaly anapiga chenga pale anamuambia beki utanijua mimi ni nani, huyu ni mzaliwa wa kijiji kinachoitwa.... alianza mpira kwa kupelekwa academy na mjomba wake ambaye alikuwa na wanawake wanne"
Mmezoea porojo tu. And this is one of the weakness of Kiswahili language. Ni lugha maneno meeeengi halafu kilichomo hakijai hata kijiko, yaani ni kama furushi la pamba wakati uzito ni robo.Sasa si uombe kazi ili ukatangaze wewe! Haya makasiriko yako yanakusaidia nini ndugu!!
Tbc wameecha kutangaza washindi wa pakua mkwanja kati kati ya mechi? Yaani unaweza kushangaa timu inafanya shambulizi la hatari ila wao wako busy wanatoa formula ya kushinda pesaWapi hapo washa TBC
Tatizo wabongo english inatupiga chenga kwahiyo wakati tunaangalia epl au uefa tunakuwa hatuelewi kama kati kati ya utangazaji kuna kuongelea historia za wachezaji ndo maana tunawashangaa kina Nurdin maana wanatumia lugha yetuLabda kama unashida na tune yake... Lakin ukija upande wa historia hata watangazaji wakubwa huko ulaya wanatabia za kutoa historia za wachezaji na binafsi navutiwa sana na inaonesha kuwa mtangazaji kabla ya Mechi kafanya homework yake vizuri
WameachaTbc wameecha kutangaza washindi wa pakua mkwanja kati kati ya mechi? Yaani unaweza kushangaa timu inafanya shambulizi la hatari ila wao wako busy wanatoa formula ya kushinda pesa
Sasa Bosi wangu mimi na utangazaji wapi na wapi! Mimi nimekushauri tu upunguze hasira.Mmezoea porojo tu. And this is one of the weakness of Kiswahili language. Ni lugha maneno meeeengi halafu kilichomo hakijai hata kijiko, yaani ni kama furushi la pamba wakati uzito ni robo.
Hata vikao vinavyoendeshwa kwa kiswahili huchukua muda mrefu sana wakati agenda ni mbili tu. Fuatilia hata mijadala ya Bunge letu.
Nadhani hata ahadi za kujenga barabara, maji na Umeme huenda zingeshafaniwa kazi kama tu hizo ahadi zingetolewa kwa Lugha ya Kizungu
Kwa hiyo hata nyie watangazaji mnaotumia muda mwingi kupiga porojo msamehewe tu
Atakuwa mtu wa pwani au visiwaniJamaa maneno meeeengi hata hayahusiani na game yenyewe. Akimtaja mchezaji ataanza kumchambua weeee hadi club alizopita, badala ya kutangaza mpira unaochezwa uwanjani yeye ni ujuaji na story tu. Yaani utafikiri yupo kwenye kipindi cha majadiliano.
Too much boring.
Halafu hata tone/sauti yake haiko kiutangazaji wa soka, utafikiri anaimba shairi
Hasira zinahamia kwa watangazajiKosa ni la wachezaji wenyewe kushindwa kushinda
Nurdin ukizingua tunakusema tuNurdin Seleman ndio mtangazaji bora kabisa kwa taarifa yako, style yake ya utangazaji inatukosha wengi, jana niliposikia anatangaza yeye nikaangalia gemu ya saa 5 azam sports 3, kumbuka mechi zote za afcon naangaliaga Dstv channel 222.Nikimsikia Nurdin nard azam tv.Acha wivu wa kike.
Jamaa maneno meeeengi hata hayahusiani na game yenyewe. Akimtaja mchezaji ataanza kumchambua weeee hadi club alizopita, badala ya kutangaza mpira unaochezwa uwanjani yeye ni ujuaji na story tu. Yaani utafikiri yupo kwenye kipindi cha majadiliano.
Too much boring.
Halafu hata tone/sauti yake haiko kiutangazaji wa soka, utafikiri anaimba shairi
Dah haya unayasema nimetoka kuyasikia jana usiku kwenye mechi ya DRC Congo vs Guinea. Yaani ni style ya kijinga haswa sijui kaipendea nini.Kama ni wewe nakushauri unapotangaza mpira jaribu kukaza sauti, pia focus kwenye mchezo uwanjani na sio kuanza story za na maneno ya MIPASHO. Jifunze kwa manguli kama Chales Hilary. Pia fuatilia watangazaji wa ligi kubwa kama EPL au Laliga uone wenzako wanapojikita na yanayoendelea kwenye pitch.
Eti mtangazaji unatangaza mpira unaanza kusema " huyu Keita anazuia pale na kumuambia wewe siwezi kukuruhusu kirahisi unipite, kwanza hujui mimi ni kisiki cha mpingo waulize wenzako, mimi nimeaga kwetu na taifa linanitegemea kwahiyo hapa ni ngome ya vifaru na mizinga, huyu keita ni mzaliwa wa .... ni baba wa watoto watatu japo hii ni ndoa yake ya pili, pia kijiji Chao kinaitwa.....alikuwa kwa tabu sana huyu".
Imagine umbea wote huo anaoeleza wakati huo game inaendelea na haizungumzii. Halafu anarudi tena kwa mchezaji mwingine anaitwa labda Koulbaly utasikia " Koulbaly anapiga chenga pale anamuambia beki utanijua mimi ni nani, huyu ni mzaliwa wa kijiji kinachoitwa.... alianza mpira kwa kupelekwa academy na mjomba wake ambaye alikuwa na wanawake wanne"