Mtangazaji mpira Azam Tv anaboa sana

Mtangazaji mpira Azam Tv anaboa sana

Anakupa wasaha wa kimfahamu vzr mchezaji mkuu,bila shaka unamsemea ghalib mzinga??
 
Nurdin Seleman ndio mtangazaji bora kabisa kwa taarifa yako, style yake ya utangazaji inatukosha wengi, jana niliposikia anatangaza yeye nikaangalia gemu ya saa 5 azam sports 3, kumbuka mechi zote za afcon naangaliaga Dstv channel 222.Nikimsikia Nurdin nard azam tv.Acha wivu wa kike.
Nakubaliana na wewe
 
Jamaa maneno meeeengi hata hayahusiani na game yenyewe. Akimtaja mchezaji ataanza kumchambua weeee hadi club alizopita, badala ya kutangaza mpira unaochezwa uwanjani yeye ni ujuaji na story tu. Yaani utafikiri yupo kwenye kipindi cha majadiliano.

Too much boring.

Halafu hata tone/sauti yake haiko kiutangazaji wa soka, utafikiri anaimba shairi
Hiuo kujua historia ya wachezaji ni kigezo kimojawapo kilimfanya apate hiyo ajira.

Unatangazaje mpira wakati hujui abc za timu na historia za wachezaji.

Hiyo ndiyo maana halisi ya kuujua mpira pia.

Na angalao na sheria za mpira uzijue kidogo.

Punguza akili nyingi na ujuaji wa kibabalevo na kimwijaku.
 
Hiuo kujua historia ya wachezaji ni kigezo kimojawapo kilimfanya apate hiyo ajira.

Unatangazaje mpira wakati hujui abc za timu na historia za wachezaji.

Hiyo ndiyo maana halisi ya kuujua mpira pia.

Na angalao na sheria za mpira uzijue kidogo.

Punguza akili nyingi na ujuaji wa kibabalevo na kimwijaku.
You are too local in thinking with low IQ
 
Mzee mzima hovyo unapaka picco


 
Siyo kabla ya mechi ni kwamba wanafuatilia soka haswa, Mimi namkubali sana Nurdin Seleman pamoja na Nazareth Upete wa TBC 1 Hawa wanachambua haswa
Nampenda sana Nazareth Upete vile anaongea kama hana meno mdomoni na kiarabu uchwara basi mimi hoi .

Tena ukute anatangaza mechi niliyobetia huku ishaonesha dalili ya kushinda , aisee huniambii kitu hapo na safari yangu aisee

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Tatizo wanatanga Mpira wa TV live kama wanatangaza Mpira wa radio.
 
Jamaa maneno meeeengi hata hayahusiani na game yenyewe. Akimtaja mchezaji ataanza kumchambua weeee hadi club alizopita, badala ya kutangaza mpira unaochezwa uwanjani yeye ni ujuaji na story tu. Yaani utafikiri yupo kwenye kipindi cha majadiliano.

Too much boring.

Halafu hata tone/sauti yake haiko kiutangazaji wa soka, utafikiri anaimba shairi
Uko sahihi. Halafu kuna siku mchezaji aliumizwa wao wakawa wanasema ni “janja janja” ya wachezaji kujifanya wameumia kumbe hata hawajaguswa.

Hata kabla ya “replay”, niliona mchezaji yule amegongwa kichwani na goti la mchezaji pinzani. Nikasema kama hawajaona ngoja labda kwenye “replay” wataona na kusahihisha kauli zao dhidi ya yule mchezaji.

Hawakufanya hivyo. Yule mchezaji damu zikawa zainavuja na akafungwa bendeji kichwani. Huku damu ikionekana hata kwenye bendeji(band aid), lakini wala hawakufuta kauli yao kuwa ilikuwa janja janja.

Nikawaona wa hovyo sana ukizingatia muda mrefu walioutumia kusema mchezaji yule hakuguswa kabisa bali ni janja janja yake.

Mara nyingi sana wamekuwa wakiniudhi sasa natizama tu kule Dstv 😀
 
You are too local in thinking with low IQ
Kwahiyo high IQ ni kushangaa mtangazaji kuchambua mechi na wachezaji wakati wa kutan gaza.

Kupitia utangazaji watu wanpata elimu ya mpira, sifa za wachezaji, historia na hata wakati mwingine tafsiri ya sheria 17 za mpira.

Gharib Mzinga ni mfano mzuri sana,akitangaza unapaata kujua mengi kuhusu wachezaji,timu na mechi kwa ujumla.

Karibu Mr High IQ.
 
TBC nako yaleyale, akitangaza yule Nazareth na mute sauti
Ana bore sana! Sauti hovyo, ujuaji mwingi aargh.
Katafute mechi zenye watangazaji wanaotangaza jinsi wewe unataka.

Au utangaze wewe mwenyewe ili ujiridhishe. Hahahaaaaa......
 
Mimi huwa naweka kwenye lugha ya kiingereza tu. Hawa waswahili wanafanya kwa kuiga, wanarudia rudia maneno, wanaingiza habari hazihusiani na mpira. Ya tafran tu
Nakazia, wale wa tbc kazi yao kutangaza kwa kuhusisha kauli za kingono ngono ndo wanaona ni utangazaji

Bongo jau
 
Kama wachezaji wanarukaruka tu sasa atatangaza nini?
Au unataka aseme "Guede mwili jumba ana mikimbio mizuri"
 
Back
Top Bottom