Dah, vifua vya watu vinaficha mambo mengi sana, kwahivyo asingefariki ungeendelea kupiga kimya?InnaLILLAHI...
Kuna kipindi alikuwa anatembea na mama moja lipo pale kwa OMR alishaunguaga yule dada nilijua jamaa hatotoka salama maana wengi waliopita pale waliondoka
Kahamia Dom anadundaHivi huyo mama bado yupo au na yeye hiyo grid ya taifa imemuondoa?
Aisee....InnaLILLAHI...
Kuna kipindi alikuwa anatembea na mama moja lipo pale kwa OMR alishaunguaga yule dada nilijua jamaa hatotoka salama maana wengi waliopita pale waliondoka
Basi hata ikitokea US atalaumiwa jiweNi kifo cha ghafla au ni pneumonia?
OMR ni wapi au ni nini?
Napendekeza habari zote za vifo zitolewe na wizari wa afya ili kuepusha TAHARUKI nchiniNi vyema wanaoleta habari za tanzia kutaja chanzo cha kifo kuepusha kuleta utata
Pole sana kwa familia yake pia kwa wafanyakazi wa startv kwa kupoteza hazina.
kifo ni somo tosha kwa sisi tulio baki hai, usiringe ukadhani utaishi Milele hapa duniani, usijeone mzima wa afya ukajifanya wewe ni mwamba na utaishi sana miaka 150!! unakosea,
tuishi maisha ya kumpendeza Mungu wakati wowote.
Sent using Jamii Forums mobile app
1)Samadu Hassan.Apumzike kwa amani. Karibu watangazaji wote wa sahara wa miaka ya 90 na 2000 wamefariki. [emoji22]
Samadu Hasan hatunaye. Hata yule aliyekuwa anafanya nyimbo za kilingala pia.Au ashatangulia mbere ya haki?
Mungu wangu, Sasa kile kipindi Cha kilingala kinaendeshwa na Nani?? Mlingala kafa lini???Samadu Hasan hatunaye. Hata yule aliyekuwa anafanya nyimbo za kilingala pia.
Mungu wangu, Sasa kile kipindi Cha kilingala kinaendeshwa na Nani?? Mlingala kafa lini???