TANZIA Mtangazaji Mukhsin Mambo alias MC Hammer afariki dunia nyumbani kwake Marekani

TANZIA Mtangazaji Mukhsin Mambo alias MC Hammer afariki dunia nyumbani kwake Marekani

Dooh inasikitisha sana,pole kwa rafiki yako!! Inabidi waanikwe kwenye websites za nje na sio za ndani maana kwa ndani lazima rungu la TCRA litahusika lakini web za kenya hawazuiliwi.
Kuna mdau mmoja hapo anasema tuheshimu privacy. Yaani marehemu awe Na thamani kuliko walio hai.
Information is power.
Kama kuna wanaojulikana kuuganishia wenzao umeme wanatakiwa kuwekwa wazi watu wajihadhari. Sheria yenyewe inayohusu kuwashitaki wanaoambukiza makusudi zimetungwa.

NB: Mzee wa kutandaza miti ukifanikisha,condom tano.
 
InnaLILLAHI...
Kuna kipindi alikuwa anatembea na mama moja lipo pale kwa OMR alishaunguaga yule dada nilijua jamaa hatotoka salama maana wengi waliopita pale waliondoka
[emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
 
Kuna mdau mmoja hapo anasema tuheshimu privacy. Yaani marehemu awe Na thamani kuliko walio hai.
Information is power.
Kama kuna wanaojulikana kuuganishia wenzao umeme wanatakiwa kuwekwa wazi watu wajihadhari. Sheria yenyewe inayohusu kuwashitaki wanaoambukiza makusudi zimetungwa.

NB: Mzee wa kutandaza miti ukifanikisha,condom tano.

Mimi mwenyewe naunga mkono watu wanaosambaza ngoma kusudi wawekwe wazi na washitakiwe kwa mujibu wa sheria mpya!! Wanaangamiza nguvu kazi.
 
DJ Stopper Mukhsin Khalfan Mambo. Bid thee farewell. Kwa heri bro.
 
Kuna mdau mmoja hapo anasema tuheshimu privacy. Yaani marehemu awe Na thamani kuliko walio hai.
Information is power.
Kama kuna wanaojulikana kuuganishia wenzao umeme wanatakiwa kuwekwa wazi watu wajihadhari. Sheria yenyewe inayohusu kuwashitaki wanaoambukiza makusudi zimetungwa.

NB: Mzee wa kutandaza miti ukifanikisha,condom tano.
Kuna mdau mmoja alitoa maoni, afrika maiti inapendwa kuliko mgonjwa, bado tuna safari...
 
Oooh bad news. May his soul Rest in Eternal Peace
 
RIP jamaa alikuwa na haiba ya mtangazaji mahiri sana.
 
Nakumbuka kipind kile cha zile. Drama za uphillipino za. PANGAKO SAYOOO , .THE PROMISE MWAMBA ALIKUWA MTANGAZAJI HATARIIII .KWENYE UP NEXT. RIP .NGULI.....
"Katika mji wa montegacia siasa...............wakati Laurence........."

Daahh muhsin Mambo huyo
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Wametukataza tusiseme "kifo cha ghafla" maana eti mbona tukitongoza wakatupa ghafla mbona hamsemi?

May His Soul RIP
Asemacho mtu kiko akilini mwake. Aliyetamka haya amezoea kutongoza ghafla ghafla.
 
Back
Top Bottom