Mtangazaji na DJ wa East Africa Radio, Baba T atimiza miaka 81

nyama nyekundu zinaua mwili
 
Leo nimeonana naye asubuhi nyumbani kwake Tegeta Nyaishozi.Nimemkuta anaongea na kijana mmoja wa pale.Alikuwa anamshauri aache kuvuta bangi.
Kanifurahisha mno.Watu wengi hufikiri most of the rasta man wapenda na kutumia hiyo kitu.
 
Rafiki yangu sana ambaye kila nikiongea nae anamdis sana Bob Marley. Lakini Baba T hadi leo bado hajui kabisa kiswahili
 
Leo nimeonana naye asubuhi nyumbani kwake Tegeta Nyaishozi.Nimemkuta anaongea na kijana mmoja wa pale.Alikuwa anamshauri aache kuvuta bangi.
Kanifurahisha mno.Watu wengi hufikiri most of the rasta man wapenda na kutumia hiyo kitu.
Baba T hatumii hii kitu?
 
duh!! kumbe baba t ana 81?? hbd to him asee,,af huwa ni mtanzania au mjamaika??
 
Namkubali sana Baba T, really rastafarai

Jah bless, anavocal ya kipekee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…