Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,654
Mkuu naomba namba zake nimpigie namwelewa sanaRafiki yangu sana ambaye kila nikiongea nae anamdis sana Bob Marley. Lakini Baba T hadi leo bado hajui kabisa kiswahili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu naomba namba zake nimpigie namwelewa sanaRafiki yangu sana ambaye kila nikiongea nae anamdis sana Bob Marley. Lakini Baba T hadi leo bado hajui kabisa kiswahili
Rastafarai never dieAnasubiri nini kufa?
Yeah huyu Ni mtu really sanaNImekusoma mshua....Nilikula hili tango kitambo sana...Ndio nimefungulia macho hapa...Very interesting...
The guy is the legend in TZ!
Jindanganye ujae 18 zangu ndyo utajua kuwa huwa mnauwawa kama kukuRastafarai never die
Rastafarai never die, come on manJindanganye ujae 18 zangu ndyo utajua kuwa huwa mnauwawa kama kuku
kibongo bongo leo huyo angekua anatimiza miaka kama sio 28 basi akizidi 29,dah sijui kwanini hatupo wawazi kweli suala la umri.,.Baba T ...
View attachment 662096
Mkuu huyu rasta anajua vyakula ambavyo ni dawa.
Nazi inaongeza libido kwa wanaume huna haja ya kula miti shamba mingi au dawa za hospital kuongeza nguvu za kiume.
Chocolate pia inatokana na nuts huongeza libido, sema hii ukila yenye sukari nyingi huongeza mwili kitu ambacho sio kizuri kwa mwanaume.
Rekebisha lifestyle mkuuHivi Mimi nitafikisha hata nusu yake kweli?
maana Sijisomi kabisa
Mkuu huyu rasta anajua vyakula ambavyo ni dawa.
Nazi inaongeza libido kwa wanaume huna haja ya kula miti shamba mingi au dawa za hospital kuongeza nguvu za kiume.
Chocolate pia inatokana na nuts huongeza libido, sema hii ukila yenye sukari nyingi huongeza mwili kitu ambacho sio kizuri kwa mwanaume.
Mkuu Mtazamo, thanks kwa hii kitu, nilipoingia tasnia ya utangazaji, Jamaa nilimkuta RTD 90s na milimuacha 1995 nilibranch kwenye TV, mpaka leo bado yupo, and still going strong, Jamaa ni Rastafarian, pure vegetarian, anakula natural foods anazolima mwenyewe, hanywi pombe, na he exercise a lot, daily anatembea on foot to and from job!.Moja ya vitu vinavyo inspire wengine ni appreciation kwa watu kama hawa. Ukiangalia MTV au BET jinsi wenzetu wanavyothamini legendary kama hawa ni baraka tosha na inspiration kwa wengine. How kitu kikubwa hivi kinapita kirahisi hivi tena kwa mtu wa media? Hivi hawa watu wa media wasipokumbukana nani awakumbuke kwanza?
CC pasco na wadau wengine ...
Anasubiri nini kufa?