Mtangazaji na DJ wa East Africa Radio, Baba T atimiza miaka 81

Mtangazaji na DJ wa East Africa Radio, Baba T atimiza miaka 81

Kuwa vegetarian kumbe inalipa sana! Ngoja na mm nianze.
 
Mkuu huyu rasta anajua vyakula ambavyo ni dawa.

Nazi inaongeza libido kwa wanaume huna haja ya kula miti shamba mingi au dawa za hospital kuongeza nguvu za kiume.

Chocolate pia inatokana na nuts huongeza libido, sema hii ukila yenye sukari nyingi huongeza mwili kitu ambacho sio kizuri kwa mwanaume.

Ngoja niongezee chachandu.
aphrodisiac-foods.jpg

 
Mkuu huyu rasta anajua vyakula ambavyo ni dawa.

Nazi inaongeza libido kwa wanaume huna haja ya kula miti shamba mingi au dawa za hospital kuongeza nguvu za kiume.

Chocolate pia inatokana na nuts huongeza libido, sema hii ukila yenye sukari nyingi huongeza mwili kitu ambacho sio kizuri kwa mwanaume.


Shukrani kwa maelezo Mkuu.
 
Moja ya vitu vinavyo inspire wengine ni appreciation kwa watu kama hawa. Ukiangalia MTV au BET jinsi wenzetu wanavyothamini legendary kama hawa ni baraka tosha na inspiration kwa wengine. How kitu kikubwa hivi kinapita kirahisi hivi tena kwa mtu wa media? Hivi hawa watu wa media wasipokumbukana nani awakumbuke kwanza?

CC pasco na wadau wengine ...
Mkuu Mtazamo, thanks kwa hii kitu, nilipoingia tasnia ya utangazaji, Jamaa nilimkuta RTD 90s na milimuacha 1995 nilibranch kwenye TV, mpaka leo bado yupo, and still going strong, Jamaa ni Rastafarian, pure vegetarian, anakula natural foods anazolima mwenyewe, hanywi pombe, na he exercise a lot, daily anatembea on foot to and from job!.
HBD Baba T.
P.
 
Kulikuwa na mtangazaji Magic FM alikuwa anapiga reggae za hatari sikumbuki jina vizuri alikuwa anaitwa sijui Kaluta, sijui Warioba simkumbuki.

Alikuwa anapenda sana msemo wa "Who feels knows it"
Anasema "Ukienda sehemu ukikuta watu wana abudu mawe na wewe una abudu mawe hata kama sio imani yako" lengo ni kuendana na jamii au mazingira husika.

Naomba mdau anaelijua jina lake yule mtangazaji /Dj anikumbushe.
 
MTAZAMO,
Nasikia yeye huwa anatembea kwa miguu tu kutoka kwake Salasala hadi ITV na ndio siri ya umri mkubwa lakina anaonekana wa miaka 60
 
Back
Top Bottom