Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu Mwenyezi, Mungu wetu,mfalme wa ulimwengu ,jaji wa kuhukumu ya KWELI TU🙏Naomba tafsiri ya maneno ya sentensi ya hapo mwishoni.
Amina.Mungu Mwenyezi Mungu wetu,mfalme wa ulimwengu ,jaji wa kuhukumu ya KWELI TU[emoji120]
Lugha ziko nyingi duniani....🤣🤣Unaandika vitu gani hivi?
YIDDISH(kiyahudi)Amina.
Samahani ni lugha gani hii?
[emoji106]YIDDISH(kiyahudi)
Amen🙏Rest In Peace fella
Walikuwa na kina Marehemu Joshua Mkhululi Aka Ken Edwards. Alikuwa Anafundisha Chuo Arusha...That Man acha Tuu. Tz ilimfanyia Figisu licha ya Uzalendo wa Hali Ya Juu aliokuwa NaoNadhan kuna uzi humu unamuelezea. Ni mjamaica ila aliishi Bongo kutokana na ile Back to Africa movement so yeye alichagua Tanzania. Ni kwa mujibu wa huo uzi.
Ipi hiyo??Walikuwa na kina Marehemu Joshua Mkhululi Aka Ken Edwards. Alikuwa Anafundisha Chuo Arusha...That Man acha Tuu. Tz ilimfanyia Figisu licha ya Uzalendo wa Hali Ya Juu aliokuwa Nao
Mpaka Anakufa Hakuwahi Kupata Passport ya Tz, Pamoja na Kwamba Alijitolea Kwa Hali na Mali Kusaidia wanafunzi wa Tz... Siwezagi kueleza Kwa Kirefu BossIpi hiyo??
Amen🙏Rest well baba T
Pole kwa familia na wote walioguswa na msiba
si kweli maana hadi mwezi ulopita alikuwa anataka kuhamia Ghana. Katika maisha yake hakukubali kuwa Mtanzania. Alikuwa rafiki wangu wa karibuNi kweli mkuu. Ni mtanzania kutoka Jamaica.
Niliwahi kufika kwake, ni mzee poa Sana.
R.I.P rastaman.
Daaah!why?!!Mpaka Anakufa Hakuwahi Kupata Passport ya Tz, Pamoja na Kwamba Alijitolea Kwa Hali na Mali Kusaidia wanafunzi wa Tz... Siwezagi kueleza Kwa Kirefu Boss
Naona unamfahamuMpaka Anakufa Hakuwahi Kupata Passport ya Tz, Pamoja na Kwamba Alijitolea Kwa Hali na Mali Kusaidia wanafunzi wa Tz... Siwezagi kueleza Kwa Kirefu Boss
Kiswahili je alikubali kukiongea?Daaah!why?!!