It's undisputable fact that Bob Marley pamoja na kuomba nyimbo zenye ujumbe wa kirasta na kusaidia ukombozi wa Africa na mwafrika ikiwemo kuweka Jamaica kwenye ramani ya dunia kwenye music wa reggae, bado Bob alikuwa na Mambo yake Kama mwanadamu ambayo asingeweza kuwafurahisha kila mtu lakini alifanya alichoweza kwa nafasi yake ikiwemo kutembelea nchinza afrika kwenye mapambano ya kudai Uhuru.
So ukiangalia Kuna kaukweli Ila wao walitegemea awasaidie vipi? Sema jamaa alikuwa Malaya sana kagonga.mademi wa kizungu balaa sijui ana watoto wangapi?