Mtangazaji wa Clouds, Diva the Bawse afunguka ya moyoni kuwa hawezi kuzaa kisa matatizo kwenye uzazi

Hakuna ajuaye kesho yake...Mungu huweza kuonesha ukuu wake hapahapa duniani...huyu demu alitutukana sana sisi wanaume masikini...Tumemsamehe, tumesahau, tutachangia ikibidi!! Full stop!
 
Shida ya hivi vishanKUPE vya kileo vinadhani wanaume wote hawajui Value of Money akimvulia pichu kibenten akimsifia tayari anajiona anaweza kuwa Mahali ya 500ml jinga kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nzuri sana hii ngoja niicopy
 
Wakiwa wanatunzana madola ukiwaambia mnakufuru utasikia "tuacheni jamaniii ni jasho letu, by the way life is too short"
wakianza kuumwa mbio kujinyongesha kwenye mitandao.

wenye mioyo yao watachangia but meee am out.

Sent from Jamii Forums using siemens kidole juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…