Mtangazaji wa Clouds, Diva the Bawse afunguka ya moyoni kuwa hawezi kuzaa kisa matatizo kwenye uzazi

Washageuza vyanzo vya kujipatia mapato hao tu hamna lolote

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyu si ndio alitukanaga redioni akasema hawezi kuolewa wanaume wa kibongo boxer zao zinanuka! akaenda mbali zaidi na kuda mahari yake iwe si chini ya mil.100!! Acheni Mungu aitwe Mungu! Tunanuka boxer lakini tunazaa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaishi Nchi gani mkuu?hela ya hifadhi si yake tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana sisi wengine hatunaga ujinga wakuatilia watu wapuuzi.kama.hao.wanaojiita eti mastaa sasa huyu.mbona anasura mbovu hiyo Mahali ya 500ml mtu atanunua nini hapo jinga kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani kutoka kuwa The Boss hadi Matonya omba omba aisee dunia kweli ina maajabu yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nami nimewaza namna hii dab atahusika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namwonaga huyu dada mshamba flani alafu limbukeni Mda always ni mwalimu mzuri lakini naskia alufu ya kupigwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…