TANZIA Mtangazaji wa Clouds FM, Ephraim Kibonde afariki dunia. Azikwa makaburi ya Kinondoni,Dar es Salaam

TANZIA Mtangazaji wa Clouds FM, Ephraim Kibonde afariki dunia. Azikwa makaburi ya Kinondoni,Dar es Salaam

Maisha haya ni mafupi,,Ukipata nafasi ya kumwambia mtu unampenda mwambie,akiumwa kampe pole,akikuomba msamaha samehe.,ukimkumbuka mjulie hali..Usiyape majivuno nafasi,tuna muda mchache duniani...
*Uhai ni zawadi, kifo ni lazima..* huu ujumbe utakusaidia sana kwenye Maisha yako

Sent using Jamii Forums mobile app
Word.....!
 
CMG wanapitia wakati mgumu sana, mtoto wa marehemu sheikh yahya aliyatabiri haya.
.
"Mwaka huu watafariki watu maarufu sana hivyo wajitahadhari mno"
"Na waliokuwa wanaonekana wanaanguka ndiyo watakaoamka kijana ommy dimpoz atafanya makubwa sana mwaka huu"
Hayo ni maelezo ya mtabiri nyota na aliyasema haya kutokana na mwaka huu kuingia siku ya jumanne.
R.I.P mlevi mwenzetu.
 
CMG wanapitia wakati mgumu sana, mtoto wa marehemu sheikh yahya aliyatabiri haya.
.
"Mwaka huu watafariki watu maarufu sana hivyo wajitahadhari mno"
"Na waliokuwa wanaonekana wanaanguka ndiyo watakaoamka kijana ommy dimpoz atafanya makubwa sana mwaka huu"
Hayo ni maelezo ya mtabiri nyota na aliyasema haya kutokana na mwaka huu kuingia siku ya jumanne.
Duh..
 
Maisha haya ni mafupi,,Ukipata nafasi ya kumwambia mtu unampenda mwambie,akiumwa kampe pole,akikuomba msamaha samehe.,ukimkumbuka mjulie hali..Usiyape majivuno nafasi,tuna muda mchache duniani...
*Uhai ni zawadi, kifo ni lazima..* huu ujumbe utakusaidia sana kwenye Maisha yako

Sent using Jamii Forums mobile app
.............Hakika brother!tuishi tukiheshimiana.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Back
Top Bottom