Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Tena yupo pingapinga Fc.Mimi nasema Shetani hayupo jehanamu, tuko nae duniani hapa hapa na nina wasiwasi yupo kwenye hii thread maaana kuna comment unazisoma. Unaona kbsa huyu muandika comment sio binadamu ni real devil asee.
Unaongea kwa code sanaHapana. Elisha si kafa leo. Enzi hizo 2008-09. Nafika Rehema kafariki nilishikwa na mshtuko. Akina Rehema ITV alipamba moto huku Akina Elisha Elia marine hassan marine na Bibie marehemu dihaule
Una mawazo kama yanguLakini all the same ulipokuwa ukimwangalia usoni Elisha, kwa watu ambao wana umri mkubwa wa kuishi na kuona mengi (kuishi kwingi ni kuona mengi), clearly huyu alikuwa anaumwa! Niliwahi kusema kuwa huyu hii siyo afya ya kawaida... RIP.... si vizuri kutaja watu lkn kuna mwingine Bwigane naye afya yake huwa siipendi... mnisamehe..
Hata alipokufa yesu wayahudi walishangiliaHapana. Chuki za kibinadamu zipo tu.
Nakukumbusha:
1: Walivyofariki wanajeshi wetu Darfur ( Kikwetes regime) watu walishangilia.
2: Walivyofariki watanzania kule Mkuranga Kibiti 2015 May watu walisema yao.
Tido alivoingia TBC aliwakuza na kuwapa isha Elisha Elia, marine h marine, dihaule, pendael Omar. Iyo 2006.
Kuna telenovela flan ilikuwa kali enz hizo watu tulifuatlia msaada WanaJamv jina ya iyo telenovela. Kuna binti alitoka familia ya kimaskin akasinginziwa akapelekwa jela baba yake alikuwa maskini Lakini alipendwa na mama flan tajiri yuko kwenye wheel chair. Hii tamthilia ilibamba vibaya sana enzi hizo tvt ilipobadilika tbc. Nikumbusheni jamani jina ya iyo tamthilia.
Halafu tido aliwanoa kweli kweli Akina Elia. Unakuta kwenye taarifa ya habari kama kuna tukio la mafuriko wanamuita mtaalamu wanamuhoji katikati ya habari wakimaliza wanaelewa.
Ama Elisha Elia anaweza kumtembela mtaalamu kama dk bana unamuona anakatiza hadi getini naakumhoj.
Nikumbusheni iyo tamthilia.
Rest in peace bro
kama sikosei ni the long weit. mkuu.....Tido alivoingia TBC aliwakuza na kuwapa isha Elisha Elia, marine h marine, dihaule, pendael Omar. Iyo 2006.
Kuna telenovela flan ilikuwa kali enz hizo watu tulifuatlia msaada WanaJamv jina ya iyo telenovela. Kuna binti alitoka familia ya kimaskin akasinginziwa akapelekwa jela baba yake alikuwa maskini Lakini alipendwa na mama flan tajiri yuko kwenye wheel chair. Hii tamthilia ilibamba vibaya sana enzi hizo tvt ilipobadilika tbc. Nikumbusheni jamani jina ya iyo tamthilia.
Halafu tido aliwanoa kweli kweli Akina Elia. Unakuta kwenye taarifa ya habari kama kuna tukio la mafuriko wanamuita mtaalamu wanamuhoji katikati ya habari wakimaliza wanaelewa.
Ama Elisha Elia anaweza kumtembela mtaalamu kama dk bana unamuona anakatiza hadi getini naakumhoj.
Nikumbusheni iyo tamthilia.
Rest in peace bro
Ninadhan ninaweza kukubaliana na wewe kwa upande w elisha..kuna wakat alipoteza dira kabisa alikua mlevi kupindukia na kazini pia aliacha kuja kabisa..wakat huo alikua anahusishwa na mama mmoja hivi wazir wa enz..baadae sana ndhan baaada y canceling ya kutosha ndiyo akawa tena vizuri...
Na kipindi hiki ndiyo alikua anajiweka viziri kuitafuta nyota yake ila bahat mbaya ugonjwa uliomuua umemuua..so so sad kwa familia ya elia watoto wake wawil vanesa na lugano..pole kwao bado wanahitaji mapenzi yake hasa ukizingatia ni single futher..
Mkuu hapana siyo hiyo. The long wait ilikuwa ya ufilipino ya kina hyina na Angelo nayo ilikuwa nzuri sana. Ila hii ilikua baada ya long wait ni telenovela ya Mexicokama sikosei ni the long weit. mkuu.....
pole sana kwa familia yote ya kazin na nyumbani.... Mungu awatie nguvu ktk kupindi hiki kigumu sana..... ukiwa hujawahi kupata msiba huwezi kujua uchungu wake.....
Mkuu "ukijaza chuki" si utaishia kuugua vidonda vya tumbo, shinikizo la damu, nk na kisha utakufa wakati yule ambaye umejwnga chuki dhidi yake hana taarifa yoyote kuhusu wewe! Kila jambo baya huwa lina "uzuri" wake sema watu tulio wengi huwa hatufahamu jinsi ya kuangalia upande mzuri tu kwa manufaa ya afya zetu...Mkuu ulisemalo liko sahihi kabisaa but wanasiasa watanzania ndoo wamefanya watanzania kutokuwa na utu,upendo pamoja na huruma .Inapotokea mpendwa wako ameuliwa,amepigwa risasi au amepotea kwa mzingira ya kutatanisha alafu unajua kuwa wanasiasa wameshiriki unafikiri kwenye fikra yako si utajaza chuki? ,kila ukimuona anaemshabikia huyo aliewatendea ubaya ndugu zako nae utamchukia kwani anakutonesha kidonda.Aneua nae anatakiwa ambewe kifo mapema ili asiendelee kuuwa.
Actually kijana anaitwa Elisha Elia Mwakagali, na siyo Mwakalinga.Dah Elisha katangulia? Inasikitisha.
Nakumbuka alioa na kufanya harus na mtangazaji mwenzake hapo hapo TBC na walikuwa wakisoma taarifa pamoja enzi hizo tido yupo na tbc ilikuwa yenyewe.
Enzi hizo still a teenager mbioni kwenda . Nafika k tu nasikia Rehema Mwakagale kafariki ITV
Rest in peace bro
Vanessa ,ni mtoto wa Elisha na Kissa
Nyie kina Eva mimi nawaangalia tu!Eva huyo na ulaku wake kula tunda kaharibu mazima asalalee[emoji848]
mara mojamoja utakuta mama mkwe ameweka katbc sasa utafanyaje au kakifurushi kameishaaKumbe watu mnaangaliaga TBC?
RIP ELisha ELia . Nakumbuka ndoa yako ilioneshwa chereko.
Mungu awatie nguvu wanafamilia
R.I.P home boy wangu.Mkurugenzi Mkuu Dkt. Ayub Rioba anasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi mwenzetu, Mwandishi wa Habari Elisha Elia, kilichotokea tarehe 24/10/2020 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, alikokuwa amelazwa kwa matibabu.
Taarifa zaidi zitatolewa.
Wengi hawajui kuwa huyo kijana ni mjukuu wa Askofu Mwakagali.acha kumuita mwenzio “mavi” kama wewe ni mstaarabu futa hii comment, bora hata yeye amefariki anajulikana Tanzania nzima na ma elfu ya watu wametoa pole,wewe unayemuita Mavi hata humu JF tu hujulikani na ukifa utazikwa bila kufunguliwa uzi humu,be humbe mkuu acha hizo kejeli zako na matusi
yani huyo marehemu hujamfikia kabisa hata robo,mwenzio alikuwa na mishahara miwili serikalini
Ana umaalufu gani zaidi ya kusifia na kuomba mapambio?Mtangazaji maarufu wa TBC Elisha Elia ametutoka akipatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili
Ni huzuni na majonzi
Bwana Ametoa & Bwana Ametwaa
Jina lake lihimidiwe Milele
Taarifa zaidi kutolewa
1. Mavi sija m-refer Elisha, namsema yule aliyesema kuwa pengo halitazibika. Sina mjadala na Elisha! He was agentle guy, sina tatizo naye. Ila hilo la pengo halitazibika nalikataa.acha kumuita mwenzio “mavi” kama wewe ni mstaarabu futa hii comment, bora hata yeye amefariki anajulikana Tanzania nzima na ma elfu ya watu wametoa pole,wewe unayemuita Mavi hata humu JF tu hujulikani na ukifa utazikwa bila kufunguliwa uzi humu,be humbe mkuu acha hizo kejeli zako na matusi
yani huyo marehemu hujamfikia kabisa hata robo,mwenzio alikuwa na mishahara miwili serikalini