Mh, can you substantiate this statement?he had a brighter future ahead of him.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh, can you substantiate this statement?he had a brighter future ahead of him.
Yale matangazo ya kishondo ni sauti yake? Basi kishindo ndio hichoDuuuh! mzee wa kishindo!!
Ndio mkuu!!yale matangazo ya kishondo ni sauti yake? Basi kishindo ndio hicho
Yani kumsifu Magufuli ni jemedali ndio liwe pengo?Hakika ni pigo. Huyu kijana alikuwa mtangazaji mzuri sana, nilipenda alivyoripoti habari. Chanzo cha kifo sijui ni kitu gani?
Kuwa na degree na Kifo cha jamaa vinahusianaje mkuu?
Lakini all the same ulipokuwa ukimwangalia usoni Elisha, kwa watu ambao wana umri mkubwa wa kuishi na kuona mengi (kuishi kwingi ni kuona mengi), clearly huyu alikuwa anaumwa! Niliwahi kusema kuwa huyu hii siyo afya ya kawaida... RIP.... si vizuri kutaja watu lkn kuna mwingine Bwigane naye afya yake huwa siipendi... mnisamehe..Ndio mkuu!!
Basi Mungu amuweke mahali anakostahili!!Lakini all the same ulipokuwa ukimwangalia usoni Elisha, kwa watu ambao wana umri mkubwa wa kuishi na kuna mengi, clearly huyu alikuwa anaumwa! Niliwahi kusema kuwa huyu hii siyo afya ya kawaida... RIP
Mwambie na mwamba atubu damu za innocent people zinamliliahajui siku wala saa atakapokata ringi pamoja na jeuri yote aliyonayo.Tutubu maana atujui siku wala saa mwana adamu atakapokuja
Kwan mahaba ya mbogamboga ndio yamemuua? Ebu acha itikadi zako za kisiasa kwenye mambo kama haya, ata wanao msifisia lisu nao wanakufa. Kumbuka alikuwa anafanya kaz na umoja wa mataifa pia kwaiyo nao utasema ni wana ccm?Poleni Tbccm,huyo alikuwa hajitambulishi kwa jina la ukoo,Leo ndio nimefahamu ukoo wake ni Mwakalinga maana alikuwa anaishia kwenye Elisha Elia.
Tbccm punguzeni mahaba kwa mbogamboga mtakwisha .Chagua TL mpate uhuru haki na maendeleo
Kutekeleza majukumu yake aliyopewa na mwajiri wake ndo kuwa mwanangu ccm mwaminifu? Hivi nyie vijana mnashida gani? Ulitaka asifanye kazi? Utamwajiri wewe?Alikua na kipindi chake kinaitwa 'kishindo cha JPM'
Itoshe tu kwamba alikua mwana-CCM mwaminifu....tusiseme mengi.
Mola ampokee na kumhifadhi anapostahili.
Ooohh God..!!Mkurugenzi Mkuu Dkt. Ayub Rioba anasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi mwenzetu, Mwandishi wa Habari Elisha Elia, kilichotokea tarehe 24/10/2020 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, alikokuwa amelazwa kwa matibabu.
Taarifa zaidi zitatolewa.
Ninadhan ninaweza kukubaliana na wewe kwa upande w elisha..kuna wakat alipoteza dira kabisa alikua mlevi kupindukia na kazini pia aliacha kuja kabisa..wakat huo alikua anahusishwa na mama mmoja hivi wazir wa enz..baadae sana ndhan baaada y canceling ya kutosha ndiyo akawa tena vizuri...Lakini all the same ulipokuwa ukimwangalia usoni Elisha, kwa watu ambao wana umri mkubwa wa kuishi na kuona mengi (kuishi kwingi ni kuona mengi), clearly huyu alikuwa anaumwa! Niliwahi kusema kuwa huyu hii siyo afya ya kawaida... RIP.... si vizuri kutaja watu lkn kuna mwingine Bwigane naye afya yake huwa siipendi... mnisamehe..
Ukifa wewe tutaambiwa chanzo cha kifo chako.Alikuwa anaumwa nini? Mara nyingi chanzo cha kifo husemwa ila tuliobaki tujifunze kitu
Kuna baadhi institutions, kuzungukana kwingi, ikitokea samaki mmoja akioza basi........Lakini all the same ulipokuwa ukimwangalia usoni Elisha, kwa watu ambao wana umri mkubwa wa kuishi na kuona mengi (kuishi kwingi ni kuona mengi), clearly huyu alikuwa anaumwa! Niliwahi kusema kuwa huyu hii siyo afya ya kawaida... RIP.... si vizuri kutaja watu lkn kuna mwingine Bwigane naye afya yake huwa siipendi... mnisamehe..
afadhali umelona. Yes kuna kuzungukana kwingi sana! TBC inasemekena kuwa ndio mchezo wao!Kuna baadhi institutions, kuzungukana kwingi, ikitokea samaki mmoja akioza basi........
Everyday is Saturday............................... 😎
Uniwakilishe na mimi wa Iringa.Pole nyingi sana kwa mdogo wake Irene na familia kwa ujumla nikifanikiwa nitaenda kumuaga kwa mara ya mwisho.