Uchaguzi 2020 Mtani wangu Tundu Lissu pokea huu 'Ukweli' wangu japo najua hujaambiwa na unaweza ukawauma Wakupendao

Sema wqtafqnya maarifa Fulani
 
Swali ni kuwa, hao wamejiandikisha kupiga kura?

Mleta mada ana uhakika wapo waliojiandikisha m8 kwa ajili ya ccm. Ss sijajua uhakika unapatikana vipi na kura ni siri.
 
Sawa kachukue 7k yako kaka....
 
USICHOKIJUA

Mtani wangu kutoka Singida Tundu Lissu najua unaweza 'usiamini' ila kwakuwa GENTAMYCINE 'nakupenda' ngoja nikuambie tu ukweli kuwa pamoja na kwamba unaona una Watu ( Wafuasi ) wengi wakiwa nawe kila uendako ila ukweli ni kwamba 'Kitakwimu' ni 25% tu hao unaowaona ndiyo 'Wamejiandikisha' Kupiga 'Kura' mwaka huu na 'Wamehakiki' vyema kabisa Majina yao Vituoni.


Gentamicin takwimu hizi umetoa wapi. Umewauliza hao wafuasi mmoja mmoja au?
umetumia mbinu gani kujua hili?
 
kula ni siri ya mtu, sasa wewe kwa research gan uliyofanya mpaka useme makijan wanawapiga kula milion 8 mpaka hv sasa? kwa kipindi kirefu sana nilikuwa nafuatiliaga mabandiko yako na kuona unaandika hoja zenye mashiko sana lakin kwa hili hapana, nimeshuka kwenye ilo gar lako wadanganye sengine
 
Tukuambie tu mkuu .. chadema imefanya utafiti wao na kujiridhisha kuwa wana kura milion 12 ...ulippsema ccm wana 8,000,000/= hujakosea hzo ndo kura za ccm..hvyo mwaka huu hawana chao
 
Kwani Jiwe ana kipi Cha Kupigiwa kura ? Hakuna hatumtaki arudi kwao Rwanda.
 
Imefanyika na inaweza kuzidi hapo.anyway niwape pole,uzinduzi wa kampeni zenu umeingia dosari,mwanzo mbaya,mrekebishe makosa mapema,mnaweza kosa kura hata laki 5.
Dosari ipi?? Kuwafukuza TBC au
 
Tatizo lenu wana ccm mna vichwa vigumu ..kasema ilitakiwa kuzindua sera leo lkn wameahirisha kutokana na tengua tengua...sera ipp lkn sema hampendi kusikia akiliongelea hilo Jambo kwn ni dosari kwa utawala huu wa awamu ya 5..na inampa lissu credit
 
Tatizo lenu wana ccm mna vichwa vigumu ..kasema ilitakiwa kuzindua sera leo lkn wameahirisha kutokana na tengua tengua...sera ipp lkn sema hampendi kusikia akiliongelea hilo Jambo kwn ni dosari kwa utawala huu wa awamu ya 5..na inampa lissu credit
Amepoteza credit ya watu kumtilia maanani,mbona mambo ya kupigwa risasi na makovu yake ameongelea,nadhani mambo ya tengua tengua ilipaswa inandaliwe press ya vyombo mbalimbali kisha wanatoa tamko,pale palikuwa ni kampeni tu,hakupaswa kuleta longolongo.mkubali tu mlikuwa na bad day today.matokeo yake mkapaniki hasira zote mkamalizia TBC.sasa ngoja uone amsha ya kesho Dodoma,ndio utaona tofauti.
 
Swali ni kuwa, hao wamejiandikisha kupiga kura?

Mleta mada ana uhakika wapo waliojiandikisha m8 kwa ajili ya ccm. Ss sijajua uhakika unapatikana vipi na kura ni siri.
Wamejiandokisha ndiyo au huamini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…