TANZIA Mtanzania afariki kwa kupigwa risasi South Africa

Anamuonekano wa kinunda alikuwa mwizi hiyo bila shaka
 
Africa Kusini sio mahali pa mtu kwenda kuishi, imekuwa nchi ya hovyo sana.
 
Ukienda nchi za watu jitahidi sana kuishi kwa umakini coz uki-mess up kidogo tu, unarudishwa kwenye ndege ya cargo.
Wao wenyewe kwa wenyewe wanapigana vyuma sana tu, hivi karibuni tu kuna rapa maarufu kapigwa risasi.
 
Haaa haaaa vita ni Raha ukiwa umeshawahi pigana mara kadhaa
Wewe
 
Huyo kamanda kama atachomoka hapo Bakhmut hafi tena vitani
 
South kwa sasa usalama mdogo sana. Kitendo cha kuonekana umeenda tu ATM ni hatari ya kifo. Ila wabongo wengi wanaoenda huko wana tabia mbaya. Wengi wao huku TZ walikuwa vibaka. Nawajua vijana kadhaa wa Mburahati & Kigogo waliokuwa vibaka hatari kwa sasa wanaishi South Afrika. Vijana kama wale nikisikia wamepigwa risasi sitashangaa kwasababu hata hapa Tanzania kilichowakimbiza ni kutafutwa na polisi.
 
Tumeshapoteza SHABIKI mmoja wa kutushangilia!
 
Huyu bwana marehemu hiyo ishara tu aliyoionyesha kwenye picha inaashiria alikuwa ni mtu wa namna gani hiyo bila shaka ni Gang sign hivyo alikuwa ni Gang member
 
Yani mtu aisende kisa kuuliwa unaweza kufa umekaa bora kwenda tu
 
Jamii Forum mumeanza kukera. Kwa nini hamuoneshi picha kama zamani. Mnaleta habari nusu nusu!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…