let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 3,699
- 8,857
Maeneo tofauti ila kitendea kazi unachokihofia ni kile kile.Unazungumzia south afu mfano unatolea marekani Yemen na Ukraine vitu viwili tofauti kabisa
Ukienda nchi za watu jitahidi sana kuishi kwa umakini coz uki-mess up kidogo tu, unarudishwa kwenye ndege ya cargo.
Anamuonekano wa kinunda alikuwa mwizi hiyo bila shaka😭😭TANZIA TANZIA TANZIA 😭😭
Ndugu zangu ninawaletea taarifa ya msiba mwingine.
Tumempoteza ndugu yetu Mtanzania mwenzetu bwana MOHAMMED RAMADHANI aliyekuwa akiishi South Africa katika jiji la Cape Town jimbo la FLEY.
Ndugu yetu MOHAMMED amefariki usiku wa jana huko Cape Town kwa kupigwa risasi na mtu asiyejulikana. Kwa Tanzania anatokea mkoa wa Tanga.
Mbele yake nyuma yetu.
🙏🙏🙏
Anamuonekano wa kinunda alikuwa mwizi hiyo bila shaka
Haaa haaaa Jamaa kila mtu Classmate wake
Wao wenyewe kwa wenyewe wanapigana vyuma sana tu, hivi karibuni tu kuna rapa maarufu kapigwa risasi.Ukienda nchi za watu jitahidi sana kuishi kwa umakini coz uki-mess up kidogo tu, unarudishwa kwenye ndege ya cargo.
Haaa haaaa vita ni Raha ukiwa umeshawahi pigana mara kadhaaSouth tamu, na hizo hamsha hamsha za bunduki ndiyo zinafanya iwe sweeter.
Juzi namsoma jamaa mmoja, kapiga vita Yemen,then kaenda Afghanistan mwaka 2019 alipigwa risasi kidogo afe. baada Biden kuwatoa wanajeshi uko akarudi US, akaoa but Ndoa haikwenda vizuri, akaachana na mke wake. Mara vuuu Bakhmut hiyo, akaamua kubeba mabegi yake kwenda kutulia uko,hadi sasa yuko huko Bakhmut anawindana na warusi.
Anasema maisha ya vita kwake ni raha sana kuliko kitu kingine.
South si pabaya isipokuwa wale wanaokufa kwa kudunguliwa mtutu wengi ni wauza unga.Mkiambiwa msiende south hamsikii
Huyo kamanda kama atachomoka hapo Bakhmut hafi tena vitaniSouth tamu, na hizo hamsha hamsha za bunduki ndiyo zinafanya iwe sweeter.
Juzi namsoma jamaa mmoja, kapiga vita Yemen,then kaenda Afghanistan mwaka 2019 alipigwa risasi kidogo afe. baada Biden kuwatoa wanajeshi uko akarudi US, akaoa but Ndoa haikwenda vizuri, akaachana na mke wake. Mara vuuu Bakhmut hiyo, akaamua kubeba mabegi yake kwenda kutulia uko,hadi sasa yuko huko Bakhmut anawindana na warusi.
Anasema maisha ya vita kwake ni raha sana kuliko kitu kingine.
Tumeshapoteza SHABIKI mmoja wa kutushangilia!Nilibahatika kuwepo hapo Cape Town mwaka mzima ( 2004 ) nikiwa nakaa jirani na aliyekuwa Mchezaji wa Santos FC Mkenya Musa Otieno.
Nilichokibaini hasa hapo Cape Town ukisikia Mtanzania Kauwawa / Kauliwa jua sababu Kuu moja wapo ni kati ya zifuatazo......
1. Kutembea / Kutia hovyo Wake za Makaburu ( Wazungu )
2. Kujiunga na Wauza Dawa za Kulevya kisha Kudhulumiana
3. Tabia ya Udokozi / Uwizi inayosifika kwa Wabongo wengi
Naitakia Kila la Kheri Yanga SC Kesho.
Mkuu kuna jamaa pia amesema hapo juu mjomba wake katoka kuchukua hela ATM tu kapewa, je ni niniSouth si pabaya isipokuwa wale wanaokufa kwa kudunguliwa mtutu wengi ni wauza unga.
Tatizo Wabongo wengi waishio South ni wauza unga na wanawindwa na wenyeji wao na bahati mbaya wanawaponza wenzao wanaoishi maisha ya kiuhalali.Mkuu kuna jamaa pia amesema hapo juu mjomba wake katoka kuchukua hela ATM tu kapewa, je ni nini
Mexico,colombia, Haiti,peru na BoliviaUnataka waende wapi?
Jamii Forum mumeanza kukera. Kwa nini hamuoneshi picha kama zamani. Mnaleta habari nusu nusu!?[emoji24][emoji24]TANZIA TANZIA TANZIA [emoji24][emoji24]
Ndugu zangu ninawaletea taarifa ya msiba mwingine.
Tumempoteza ndugu yetu Mtanzania mwenzetu bwana MOHAMMED RAMADHANI aliyekuwa akiishi South Africa katika jiji la Cape Town jimbo la FLEY.
Ndugu yetu MOHAMMED amefariki usiku wa jana huko Cape Town kwa kupigwa risasi na mtu asiyejulikana. Kwa Tanzania anatokea mkoa wa Tanga.
Mbele yake nyuma yetu.
[emoji120][emoji120][emoji120]View attachment 2624595