TANZIA Mtanzania afariki kwa kupigwa risasi South Africa

TANZIA Mtanzania afariki kwa kupigwa risasi South Africa

Wengine kabla hatujaandika R.I.P hebu tujuze status yake, hakuwa mhalifu?

Huko wabongo wengi wamezamia kwa ajili ya kazi chafu tu na katika taarifa za vifo sijawahi kusikia sababu ya kifo ni maleria au ugonjwa wowote, wengi ni shaba tu.

Kwanini iwe hivyo?
Nina jamaa angu anaendaga sana south Africa, kuna cku nimemuuliza "Huko south Africa hv mnafanyaga ishu gan?" Jamaa akanijibu WE UNADHAN KUNA ISHU KUBWA YOYOTE YA MAANA NDUGU YANGU ZAID YA UIZI
 
1684292631772.png

Hili ndio ghetto lake la South Africa?
 
Marehemu kafa kwa risasi na picha inatumika ya namba 26 wajela jela wazee wa namba wazee wa Sikangaga hooshi pagamisa mfwetu hao ukikutana nao ni utoe mali zote au kifo...Cape Town mtaani wanapenda sana mambo ya jela kuyaishi nje East Coast na West Coast wapo sana huko...R.I.P Baharia
 
Kufeni tu huko, mchango wenu kwa taifa ni mdogo sana kutokana na tabia zenu mbaya.
 
Huyo mwamba wiki mbili sasa zimepita taarifa zao huwa nazipata kwenye group lao la mabaharia



Tayari Kafara limekubali huko South Africa na leo Yanga SC inashinda huko huko South Africa kwa ama Goli 2 - 0 tena au 1 - 0.
 
😭😭TANZIA TANZIA TANZIA 😭😭

Ndugu zangu ninawaletea taarifa ya msiba mwingine.

Tumempoteza ndugu yetu Mtanzania mwenzetu bwana Mohammed Ramadhani aliyekuwa akiishi South Africa katika jiji la Cape Town jimbo la Fley.

Ndugu yetu Mohammed amefariki usiku wa jana huko Cape Town kwa kupigwa risasi na mtu asiyejulikana. Kwa Tanzania anatokea mkoa wa Tanga.

Mbele yake nyuma yetu.
🙏🙏🙏View attachment 2624595
Hiyo picha kapigia Tanga au Capetown?tuanzie hapo kwanza
 
Hawezi pigwa risasi bila sababu.
Kapewa mzigo kauza hela hajawalipa waliompa mzigo.
Matokeo ndio hayo.
Mdogo wangu alikua huko kapigwa visu mara 4, na kuporwa hela kila kukicha ye ilikua mambo ya mapenzi,ana mtoto huko.
Nikalazimisha arudi kwa njia yoyote ndo akachomoka kifo.
Leo hii tungeongea mengine angebaki.
 
Mimi sijawahi kutamani kuishi south Africa! Najivunia kwa hilo
 
1. Kutembea / Kutia hovyo Wake za Makaburu ( Wazungu )
Utakuwa kidume kweli kweli, manake uvuke viunzi vingi

1/ ukutane na mzungu... manake Ulaya maeneo ya weusi wazungu kwanza hawaji huko

2/ akupende mweusi, unatoka Mburahati Magengeni, huna hela, hujasoma, lugha hujui, mgeni mshamba

3/ amsaliti mume wake akupe raha wewe...

Sijui inawezekanaje kwenye nchi yenye historia ya South Africa
 
Sauz sio sehemu ya kuishi kama AKA msauz mwenzao tu alipigwa shaba hadharani itakuwa nyie wageni pesa ipo kweli ila usalama mdogo
Pesa ipo ya aina gani? Kama unataka ya short-cut ya madawa ya kulevya au uhalifu mwingine lazima utapambana na shaba!
 
South si pabaya isipokuwa wale wanaokufa kwa kudunguliwa mtutu wengi ni wauza unga.
Na ni ujinga tu , wanapewa mzigo wanaambiwa kabisa e bana dola 5000 hiyo ulete anaitikia sawa.
Anauza anaanza kutumia km zake.
Siku jamaa wanarudi hela aah blah blah.
Analipa nusu nyingine katumia.
Wanamwambia kabisa tunarudi siku fulani.
Utupe hele iliyobaki au mzigo.
Wanarudi hadithi tena.
Sasa hapo wakiondoka wakirudi ni kukuchapa shaba tu.
Anakuwemo dereva na shubshooter ndani ya gari
Wanajua kijiwe chako
Na vinauliwa vinakuaga vitoto 20-25 year
 
South kupigwa chuma ni dk 0 tu.
Bongo unaweza usife kwa risasi ukafa kwa kugongwa na daladala au kipindupindu. Kifo ni mmojawapo ya gharama za utafutaji.
Apumzike kwa amani huyu Mwamba.
 
Shida ya kubwa ya watanzania wenzetu wanaoenda South Africa ni kujiunga na makundi ya uharifu na kuchukukua madem za watu.
Nature ya wanaume wa kizulu ni kupenda starehe(pombe) uvivu na hivyo kupelekea kuwa tegemezi kwa wanawake zao.Kutokana na kukithiri kwa ulevi inapelekea parfomance dhaifu kwa madem zao.
So madem hawa wakikutana na wabongo tena wabongo walionda kutafuta kule… wanawapelekea moto mpaka wanawasahau Wazulu wenzao na kuwasitishia huduma za kuwalea. Halii sasa ndio inapelekea Mzulu kuingia mawindoni kumsaka mbaya wake.
 
Back
Top Bottom