fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Yaani Dizonga hakuna tofauti na USA kwa vyuma, utofauti wake kule utasikia mtu kavamia Mall au sehemu yoyote ya alaiki kaanza kutembeza chuma na Dizonga mtu mmoja mmoja wanarambana vyuma.Daa sema dizonga kwa chuma dakika tu Rest easy brother..