TANZIA Mtanzania afariki kwa kupigwa risasi South Africa

Daa sema dizonga kwa chuma dakika tu Rest easy brother..
Yaani Dizonga hakuna tofauti na USA kwa vyuma, utofauti wake kule utasikia mtu kavamia Mall au sehemu yoyote ya alaiki kaanza kutembeza chuma na Dizonga mtu mmoja mmoja wanarambana vyuma.
 
Africa Kusini sio mahali pa mtu kwenda kuishi, imekuwa nchi ya hovyo sana.
Mkuu tunao ndugu watanzania wanayoishi South kwa zaidi ya miaka 15 sasa na hatujawahi kusikia Jambo lolote limewatokea na wanaishi vizuri mpaka Sasa. Wengine wameoa huko na wengine wanarudi kuziona familia zao na kuwaletea dhawadi kedekede.
Kama alivyosema mdau mmoja, vijana wengi wa kibongo kule wanaojihusisha na issues illegally mpaka kupelekea kuuwawa. Sasa kwa mdau kama huyu (pichani) mwonekano wake na hata mahali alipopiga hiyo picha inakupa tafsiri gani?
 
Utashanga kusikia wabongo wenzake wanahusika!..wabongo wengi wanafanya mishe ambazo sio halali.
 
Inasikitisha sana na wengi ni vijana wa Kizanzibari na Kitanga (Vitoto vya masheikh)
 
Mkiambiwa msiende south hamsikii
Kwani hata hapa watu hawauani mkuu. Unaweza ukafa ukiwa ndani mwako umelala ama upo sebuleni. Acha kuwapa wanaume hofu ya kutoenda kutafuta maisha waonapo ndipo mahala sahihi kwao kiutafutaji. Unajua welder wa bongo na sauzi,ama masonry unadhani mnafanana ama mnalipwa kwa rate sawa.
Wewe kaa Hapa hapa kijijini kwenu sijui mnapaita dar na ndio mnajiona Kama Ni mji na huku Ni kijijini Kama panakufaa sio kwa wote. Mtu akazaliwa dar akaishi mpaka akamaliza six Yuko dar anaziona balozi kibao unadhani atakosa nguvu ya kuwaza nje
 
Mwendo wa kuwatembezaa tu south sio bongo mazee kuishi kunahitaji mahesabu na utulivu wa hali ya juu..
 
Muuza Ngada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…