Yaani Dizonga hakuna tofauti na USA kwa vyuma, utofauti wake kule utasikia mtu kavamia Mall au sehemu yoyote ya alaiki kaanza kutembeza chuma na Dizonga mtu mmoja mmoja wanarambana vyuma.Daa sema dizonga kwa chuma dakika tu Rest easy brother..
Mkuu tunao ndugu watanzania wanayoishi South kwa zaidi ya miaka 15 sasa na hatujawahi kusikia Jambo lolote limewatokea na wanaishi vizuri mpaka Sasa. Wengine wameoa huko na wengine wanarudi kuziona familia zao na kuwaletea dhawadi kedekede.Africa Kusini sio mahali pa mtu kwenda kuishi, imekuwa nchi ya hovyo sana.
Mbona hata hapa Nyumbani watu wanauliwa daily!!??Mkiambiwa msiende south hamsikii
Ngada au!!?Mpumalanga Gang hawataki masihara
Ndio maana watanzania wengi hawavuki mipaka, kwa sababu wana akili kama yako.Mkiambiwa msiende south hamsikii
Comment za hivi mnasababisha tuonekane wachawi, kucheka msibani😁Ila sura ya marehemu inaonekana alikuwa mtu kazi?
Inasikitisha sana na wengi ni vijana wa Kizanzibari na Kitanga (Vitoto vya masheikh)Na ni ujinga tu , wanapewa mzigo wanaambiwa kabisa e bana dola 5000 hiyo ulete anaitikia sawa.
Anauza anaanza kutumia km zake.
Siku jamaa wanarudi hela aah blah blah.
Analipa nusu nyingine katumia.
Wanamwambia kabisa tunarudi siku fulani.
Utupe hele iliyobaki au mzigo.
Wanarudi hadithi tena.
Sasa hapo wakiondoka wakirudi ni kukuchapa shaba tu.
Anakuwemo dereva na shubshooter ndani ya gari
Wanajua kijiwe chako
Na vinauliwa vinakuaga vitoto 20-25 year
Kwani hata hapa watu hawauani mkuu. Unaweza ukafa ukiwa ndani mwako umelala ama upo sebuleni. Acha kuwapa wanaume hofu ya kutoenda kutafuta maisha waonapo ndipo mahala sahihi kwao kiutafutaji. Unajua welder wa bongo na sauzi,ama masonry unadhani mnafanana ama mnalipwa kwa rate sawa.Mkiambiwa msiende south hamsikii
Kwa Wataleban Donbas na LohanskUnataka waende wapi?
Muuza Ngada😭😭TANZIA TANZIA TANZIA 😭😭
Ndugu zangu ninawaletea taarifa ya msiba mwingine.
Tumempoteza ndugu yetu Mtanzania mwenzetu bwana Mohammed Ramadhani aliyekuwa akiishi South Africa katika jiji la Cape Town jimbo la Fley.
Ndugu yetu Mohammed amefariki usiku wa jana huko Cape Town kwa kupigwa risasi na mtu asiyejulikana. Kwa Tanzania anatokea mkoa wa Tanga.
Mbele yake nyuma yetu.
🙏🙏🙏View attachment 2624595