Wamzike huko hukoHalafu cha ajabu nimeona wanaomba mchango wa $4,500 za kuweza kurudisha mwili TZ.
Yani mtu aende na kiranga chake mwenyewe cha kutaka kumkosoa Mungu halafu ndugu na jamaa waje kuomba msaada wa kurudisha mwili wake.
Ikiwa alikuwa na pesa za kwenda kuweka matako basi lazima itakuwa ana pesa za kutosha kurudisha masalia ya hayo matako.
Upo kama mimi tuuMliopigwa pasi kama we we ndo ugonjwa wetu wengine, Mimi mwanamke wenye wezere hanivutii kabisa.
Upo deep sana lakini . Maana hakuna aliyeleta maelekezo kama yako hapa mkuu 🤝🙏🙏🙏🙏🤝Yeah mzee ukiingia mtandaoni utaona video za hizo procedure. Namna wanavyovuta yale mafuta na kuyahamisha unaweza usile wala kulala vizuri wiki nzima.
Hii haihusiani na Mungu hajapenda au amependa sababu Wema Sepenga alienda kumkosoa Mungu alipona.Kama nikweli basi mtihani unakufa kwa sababu ya kumkosoa Mungu
'Ukitaka uzuri sharti uzurike.'Mdada wa kitanzania anaejulikana kwa jina la shufaa kitwana tembo amefariki siku ya jana nchini Uturuki wakati anafanyiwa operesheni ya kuongeza makalio na kupunguza tumbo. Bwana ametoa na bwana ametwaa, jina la bwana libarikiwe. Pole ziwafikie familia ya mareemu na marafiki.View attachment 2980499View attachment 2980499
Wanawake na attention ni kama benki na riba. Wanaitafuta kwa gharama yoyote.Ila binadamu wana tamaa sana. Mimi tu kufanyiwa operation ya kizazi nilikuwa naogopa sembuse kuongezewa shepu etc. Mbona tunapendwa tu na u portable wetu. Tena mtu yuko proud na wewe. Ila sababu mapenzi yamekuwa biashara wanawake wanajitoa ufahamu
Kamanda makalioAlazwe pema peponi kamanda
Dah ndio hivyo mzee, kuna vitu huwa tunafuatilia kisha tunapiga kimya hadi yatokee ndipo tunaongea maana dah tukiongea ni ngumu kueleweka.Upo deep sana lakini . Maana hakuna aliyeleta maelekezo kama yako hapa mkuu [emoji1666][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji1666]
Usiongeze shepu rafikiAlazwe pema peponi kamanda
BlessedYaani npo kimbau mbau na sura ngum ila sjawah fikiria marekebsho ata theluthi nusu
Nmekusikia rafiki, nitavaa tu mitraaako ya bandia...Usiongeze shepu rafiki
Huduma ya kukarabati matako na matiti imesogezwa Karibu hapoTumesikia huduma zimesogezwa hapa!
Polpole, maisha yasogee hadi mwendo tutakapomalizaNmekusikia rafiki, nitavaa tu mitraaako ya bandia...
Wenzio wapo kikazi zaidiMbona tunapendwa tu na u portable wetu. Tena mtu yuko proud na wewe. Ila sababu mapenzi yamekuwa biashara wanawake wanajitoa ufahamu
Kataja wapi jina la Mungu hapo?Mkuu, kwenye mambo ya kipuuzi ebu usilitaje bure jina la Mungu wetu