Mtanzania afia Uturuki akifanyiwa operesheni ya shepu

Nilisikiaga kuna ya Mchina na hayahitaji upasuaji. Yaliishia wapi?
 
Kama ulijua mkuu, co Kama Mungu hamkumjaalia makalio makubwa, hao waturuki wangeyapata wapi ya kumwekea?

Wahindi wana shepu ya kabati na wanaridhika nayo,
Marehemu alikosa hekima, na pia hakulelewa kwa maadili ya dini,
 
Wataalamu hebu watoe elimu ili kina Dada wasi risk maisha yao,

Kipi kinafanya wafe kwenye kuongeza makalio? Hua ni operation wanayakata na kisu? Je damu nyingi huvuja? Maswali ni mengi ila kinachopelekea hasa kifo kwenye hiyo operation hua ni nini?
 
Wataalamu hebu watoe elimu ili kina Dada wasi risk maisha yao,

Kipi kinafanya wafe kwenye kuongeza makalio? Hua ni operation wanayakata na kisu? Je damu nyingi huvuja? Maswali ni mengi ila kinachopelekea hasa kifo kwenye hiyo operation hua ni nini?
Tungepata dactor atujuze, hayo makalio yanaongezwaje, na je hivyo wanavyojaza wanavitoa wapi,

Na pia hayo makalio yanadumu kwa muda gani?
 
Mchangieni
Tujue kwanza ana kianzio (salio-anzia)kiasi gani halafu atamke makadirio ya gharama (budget Estimates) kwa shughuli hiyo ili nasi tujipange kila mtu atachanga kiasi gani - kama hana kitu aambiwe "Mkono mtupu haulambwi".
 
Wanawake ni watu wasioridhika,hivi uzuri wote huo bado alikuwa anatafuta nini?yote ni kutafuta attention,kaaazi kwelikweli....
 
Tujue kwanza ana kianzio (salio-anzia)kiasi gani halafu atamke makadirio ya gharama (budget Estimates) kwa shughuli hiyo ili nasi tujipange kila mtu atachanga kiasi gani - kama hana kitu aambiwe "Mkono mtupu haulambwi".
Au basi azikwe uko uko
 
Sisi mashangazi wenye makalio makubwa kwa kweRi tunaringa mjini hapa. Mungu ametubariki zawadi ya KUDUMU.

Kumbe kuna watu wanayasaka makalio hadi wanafarikii????? Jamaniiiii nimebubujikwa na machozi!

Angenifwata nimmegee kipande cha kalio ajibandikie na superglue na yeye angalau awe mtu katika watu!

Mjini makalio. Mtakufa sana Alaaah 🥱🥱🥱

Cc Lamomy Poor Brain mshamba_hachekwi fundi bishoo
 
Hebu nione
 
Hawa wafage tu watu wanaenda hospitalini sababu ya matatizo ya lazima lakini wewe kisa upo na makalio madogo ndo uende? kwanza huyu lazima alikuwa anajiuza.
Mkuu, Mawazo yako yanaheshimika lakini huyu bibie naye aliona kuwa na makalio madogo ni tatizo kwake au ni kikwazo/changamoto kwake inayomzuia asitoboe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…