Mtanzania afia Uturuki akifanyiwa operesheni ya shepu

Fafanua ishu ya presha hapo View attachment 2980548
Pressure au Shinikizo la damu la juu (HBP) au la chini (LBP) kuna visababishi vingi; lakini pia laweza kutokea ghafla kutokana na mshtuko aupatao mtu kutokana na Tukio lililompata. Unaonaje kama huyu muathirika alishtushwa na matokeo (-ve) ya kilichofanyika au alipozinduka baada ya upasuaji kukamilika (dawa nusukaputi huweza kusababisha mtu kuwa na mawenge anapozinduka) Ila samahani mm sio daktari.
 
Nimeelewa kiasi mkuu shukrani
πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ˜πŸ˜πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
Wana pesa za kuchezea nahisi sababu kubwa ni sisi wanaume tunahonga sana.
 
Mdada mzuri sasa tako la nini,turidhike na tulichopewa,si wanaume wote wanataka haga,halafu wanaume ni wale tu,wewe na take lako kubwa atakudump akatafute slay Queen portable aoe.

Kuwa na matako makubwa ya kutengeneza au kuvaa visponji ni ushamba wa hali ya juu.

Unamkuta mdada mikucha mirefuu kabandika,mikorogo hafai,kope kaweka vile ndefuu,pyuuuuuks.

Binti jipende,urembo feki feki naah.
Kuwa natural,simple make up,enough.
 
Acha kujihesabia haki,ninyi watu mliopandikizwa hizi dini za wazungu na waarabu mnapenda sana kujiona ni wema na huyo mungu wenu kumbe ni ubatili tu,mungu wa biblia na Qur'an ni tafauti sana na Mungu halisi,endelea kujilisha upepo
Kwahiyo Mungu halisi ndiye alimtuma akaongeze matako
 
tena hulo kalio kwa kulichapa makofi alooohπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…