Mtanzania Afungua Kesi Mahakamani kuhusu kuzimwa kwa mitandao 2020, Aiomba Mahakama ichukue hatua kali

Umeme ulivyokuwa ukikatika katika miaka hiyo anamshitaki nani hasa Tanesco au mitandao?

Sababu mitandao kufanya kazi hutegemea uwepo wa umeme kwenye minara yao

Hii kesi sijaielewa vizuri

Kila la heri kwa mshtaki mitandao
 
Issue nii nani alifanya mtandao usipatikane ni Tanesco supplier wa umeme kwenye milimgoti ya mawasiliano kwa sababu ya maji ya kuendesha mitambo kuwa chini au ni milingoti ya kurusha network?

Kesi nyepesi sana hii hata mimi sio wakili ningeweza kuwa wakili wa kampuni za mitandao bure bila kulipwa hata mia anieleze vizuri mahaanadhani kitaalamu nini kilisababisha mbona angenikoma huyo
 
Kabisa mkuu , kuna watu wanaona mbali
 
Uneme ulivyokuwa ukikatika katika miaka hiyo anamshitaki nani hasa Tanesco au mitandao?

Sababu mitandao kufanya kazi hutegemea uwepo wa umeme kwenye minara yao

Hii kesi sijaielewa vizuri

Kila la heri kwa mshtaki mitandao
Karibu mahakamani kwa utetezi upande wa Jamhuri
 
Mbona wakati wa aliyetowa hiyo amri hamjafunguwa kesi?

Unafik huo.
Wanatafuta umaarufu tu wa kijinga

Mtandao kuzima kuna factors nyingi mojawapo hali ya hewa angani kiasi kuwa satellite Ray haiwezi fika kwenye dish undergroundi kurusha kwenye minara underground signal ya pili ni tatizo la Tanesco umeme kuzimika zimika kiasi kufanya minara mitumia umeme kutofanya kazi hadi hitilafu Tanesco imalizwe ,tatizo
La tatu ni huko kwa Internet providers kupata tatizo la kiufundi kwenye satellite yao iliyoko angani au tatizo la kiufundi la receiving information centre undergroundi on earth na ku distribute Mb nk kwenye simu kuwa accessible kwenye Internet

Anamshitaki nani sasa kwenye hiyo sheet ya mashtaka? Ataishia kulipa mamilioni ya legal costs kama hajielewi anatafuta umaarufu wa kijinga
.hiyo kesi sio rahisi kama anavyodhani
 
Kijana usinifundishe mambo ya telecommunications.

Kwa kukujuza tu, mitandao ya Tanzania haitegemei satellites, kuna marine cables, miaka mingi sana.
 
Kwa nini mkuu?
Ili uwe na akili unatakiwa uunge mkono hoja yake. Ukiwa tofauti naye tu basi ujue lazima akuone mjinga.
Hiyo ndio kanuni ya baadhi ya watu humu.
 
Karibu mahakamani kwa utetezi upande wa Jamhuri
Yaani hapo sijaingia kwa undani niko juu juu tu

Siri ya uwakili hatakiwi kuonyesha hoja zake zote nzito zingine unabakiza utatoa mahakamani unabakiza kidogo kumtahadharisha wakili huyo mpeleka kesi mahakamani kuwa kuna issues


Check and take into consideration these preliminary issues before taking this case as the advocate of this case
Ni red flag kwa wakili aki go ahead sio big issue tukutane mahakamani
 
Ukienda kusoma andiko langu la “SAUTI YA KESHO: Safari ya Uhuru Katika Vyombo vya Habari na Mtandao Tanzania” utagundua niligusia hili suala katika safari ya kuelekea #TanzaniaTuitakayo 👇🏼.

 
Kama wanaingiza chochote kitu kwa kufungua hiyo kesi naona ni sawa tu. Tunaita ujasiriamali. Washinde au wasishinde kwenye hiyo kesi hakutakuwa na madhara yoyote kwa serikali ya awamu ya 6 chini ya Dr Mama Samia. Wananchi wasiwe na hofu.
Sijakuelewa hofu ya nn kuna vita? Na wananchi ni akina nani hao ambao hawatakiwi kuwa na wasiwasi? Kwamba walivyozima mtandao ilikuwa sahihi? Yaani unaona sawa! Kwahiyo mtu asidai haki au?
 
Kijana usinifundishe mambo ya telecommunications.

Kwa kukujuza tu, mitandao ya Tanzania haitegemei satellites, kuna marine cables, miaka mingi sana.
Marine cable ndio inarusha hewani? Ili kuwafikia watumiaji popote Tanzania? Mijini na vijijini?
 
Ule ulikuwa ni ushamba jazz band! Shwaini wakubwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…