TANZIA Mtanzania aliyekuwa anaishi Texas, Marekani afariki kwa ajali ya gari

Kiswahili kigumu nyie.
 
Kwa comment hii,neno lako la kusema kua hakua amekunywa linakosa uhalali,ila ukweli ni kwamba alikua amekunywa,

Au mimi ndio sijui tafsiri ya kunywa watu wangu wa huko Daslamu mnasemaje?

Mmmh jiongeze hapo, kunywa kulewaaa.. Naenda nje ya BOKSI sio kila kitu muandikiwe akina nyie.
 
Doooh ungeandika tu kizungu bibie πŸ˜„

Hakinogi humu kuburudika 🀣
Google translate itanihusu haswaa sasa.. Kiukweli najishangaa maana naona nimeandika sema kimkato.. Kumbe duh!!! πŸ€ΈπŸ½β€β™€οΈπŸ€ΈπŸ½β€β™€οΈπŸ€ΈπŸ½β€β™€οΈ

πŸ˜πŸ€—
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…